Barabara Dar kuendelea kuimarishwa
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Saidi Mecki Sadiki akifungua mkutano wa Wajumbe wa Baodi ya Barabara ya Mkoa wea Dar es salaam leo. Kushoto ni Katibu Tawala wa mkoa Bi.Theresia Mmbando na Naibu Waziri wa Kazi Mh.Makongoro Mahanga (kulia).
Na. Aron Msigwa – MAELEZO.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Said Mecki Sadiki amewataka wahandisi wanaosimamia ujenzi wa miradi ya barabara katika jiji la Dar es salaam kuhakikisha kuwa wanawasimamia ipasavyo wakandarasi wanaojenga miradi hiyo ili iweze...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-VEC3ANRMHGQ/VJEcBMl2zlI/AAAAAAACUb0/Soxa7zvYsZo/s72-c/Photo%2Bno%2B2.jpg)
BARABARA ZA JIJINI DAR KUENDELEA KUIMARISHWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-VEC3ANRMHGQ/VJEcBMl2zlI/AAAAAAACUb0/Soxa7zvYsZo/s1600/Photo%2Bno%2B2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-92yksaoWPkU/VJEcBzDl1fI/AAAAAAACUb4/Td-Ae-zOgRI/s640/Photo%2Bno%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DFEBT_9g0mQ/VJEcH2ZIR2I/AAAAAAACUcE/XBpfrxTpQBM/s640/Photo%2Bna%2B7.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JIYs43_D7QM/UvKC1HRnD8I/AAAAAAAFLDA/YdukefPihjk/s72-c/Picha+3.jpg)
BARABARA ZAIDI ZA KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI KUENDELEA KUJENGWA JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-JIYs43_D7QM/UvKC1HRnD8I/AAAAAAAFLDA/YdukefPihjk/s1600/Picha+3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GXC3j4jtx5Y/VoJUd1byVWI/AAAAAAAIPIo/B70c1VSXlfg/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-12-29%2Bat%2B12.32.26%2BPM.png)
TANROADS kuendelea na ujenzi wa barabara ya Kamanga
![](http://2.bp.blogspot.com/-GXC3j4jtx5Y/VoJUd1byVWI/AAAAAAAIPIo/B70c1VSXlfg/s400/Screen%2BShot%2B2015-12-29%2Bat%2B12.32.26%2BPM.png)
Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) inaendelea na ujenzi wa Barabara itokayo Kamanga Ferry kuelekea Sengerema kwa kiwango cha lami ili kurahisisha usafiri na usafirishaji katika eneo hilo.
Hayo yamesemwa leo na Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mwanza Mhandisi Leonard Kadashi alipokuwa akizungumza na Mwandishi wa Habari ofisi kwake kutolea ufafanuzi suala la Barabara ya Kamanga Ferry mpaka Sengerema ambayo haipo katika hali nzuri na kusema mkandarasi yupo na...
11 years ago
Habarileo10 May
Wafurahishwa na kuendelea kwa miradi ya barabara
WAKAZI wa mikoa ya Rukwa na Katavi wameipongeza Serikali kwa kutenga zaidi ya Sh bilioni 19 ili kunusuru ujenzi wa miradi mikubwa mitatu ya barabara kwa kiwango cha lami iliyosimama kwa miezi kadhaa kutokana na uhaba wa fedha.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SU11xMyg3Lw/VXHqgznO-iI/AAAAAAAHcZY/HuG4rqvn9jY/s72-c/unnamedss1.jpg)
wafanyakazi wa Hoteli ya Dar es Salaam Serena waadhimisha siku ya mazingira kwa kufanya usafi maeneo ya barabara jijini dar
Akiongea mara baada ya zoezi hilo la usafi mkurugenzi mkuu wa masoko wa hoteli hiyo ndugu Seraphin Lusala aliwashukuru wafanyakazi wa hoteli hiyo kwa kushiriki katika zoezi hilo la kufanya usafi wa mazingira ili kuonyesha mfano kwa jamii kwamba uchafuzi wa mazingira haukubaliki na...
9 years ago
Mtanzania18 Nov
Dar kuendelea kukosa maji
Na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
WIZARA ya Maji imesema jiji la Dar es Salaam litaendelea kukabiliwa na uhaba wa maji, kutokana na uboreshwaji wa miundombinu yake kushindwa kukamilika kwa wakati.
Hadi sasa mradi mkubwa wa maji kwa ajili ya jiji hilo umefikia wastani wa asilimia 68.
Akitoa taarifa ya miradi inayotekelezwa na kuboresha huduma ya majisafi na majitaka katika jiji hilo, Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Wizara ya Maji na Mifugo, Athumani Sharifu, alisema jiji la Dar es Salaam...
9 years ago
Mtanzania07 Jan
Bomoabomoa kuendelea leo Dar
Na Grace Shitundu, Dar es Salaam
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limesema kazi ya ubomoaji nyumba zilizoko katika Bonde la Mto Msimbazi itaendelea leo katika maeneo ambayo hayako kwenye zuio lililotolewa na Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Bonaventure Baya, alisema zuio lililopo mahakamani linahusu nyumba 681 tu, hivyo wataendelea na kazi katika maeneo yote...
11 years ago
Dewji Blog24 Apr
Jiji la Dar Es Salaam kuendelea kusafishwa
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Saidi Meck Sadiki akitoa taarifa ya kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa (RCC) ofisini kwake jijini Dar es salaam.
Na. Aron Msigwa –MAELEZO.
Jumla ya kata 22 katika manispaa za Ilala, Kinondoni na Temeke zitaingizwa katika mpango wa utengaji wa maeneo maalum (smart area) kwa ajili ya kuboresha usafi wa mazingira jijini Dar es salaam.
Akitoa taarifa ya kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa wa Dar es salaam (RCC) jijini Dar es salaam, Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam...