Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Barabara Dar kuendelea kuimarishwa

Photo no 2

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Saidi Mecki Sadiki akifungua mkutano wa Wajumbe wa Baodi ya Barabara ya Mkoa wea Dar es salaam leo. Kushoto ni Katibu Tawala wa mkoa Bi.Theresia Mmbando na Naibu Waziri wa Kazi Mh.Makongoro Mahanga (kulia).

Na. Aron Msigwa – MAELEZO.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Said Mecki Sadiki amewataka wahandisi wanaosimamia ujenzi wa miradi ya barabara katika jiji la Dar es salaam kuhakikisha kuwa wanawasimamia ipasavyo wakandarasi wanaojenga miradi hiyo ili iweze...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BARABARA ZA JIJINI DAR KUENDELEA KUIMARISHWA

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Saidi Mecki Sadiki akifungua mkutano wa Wajumbe wa Baodi ya Barabara ya Mkoa wea Dar es salaam leo. Kushoto ni Katibu Tawala wa mkoa Bi.Theresia Mmbando na Naibu Waziri wa Kazi Mh.Makongoro Mahanga (kulia).Meneja wa TANROADS mkoa wa Dar es salaam Muhandisi J. Nyamukama akiteta jambo na baadhi ya wahandisi wa ofisi yake leo jijini Dar es salaam wakati wa kikao cha Bodi ya Barabara ya mkoa wa Dar es salaam.Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema(kushoto) na...

 

11 years ago

Michuzi

BARABARA ZAIDI ZA KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI KUENDELEA KUJENGWA JIJINI DAR

Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli (aliyenyoosha mikono) akitoa taarifa kuhusu maendeleo ya utekelezaji wa ujenzi wa barabara za kupunguza msongamano katika jiji la Dar es Salaam wakati alipokutana na Kamati ya Bunge ya Miundombinu. Kulia kwa Waziri Magufuli ni Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi Eng. Gerson Lwenge na anayefuata ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Joseph Nyamhanga. Kushoto kwa Waziri ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu Mhe. Peter Serukamba na...

 

9 years ago

Michuzi

TANROADS kuendelea na ujenzi wa barabara ya Kamanga

Na Raymond Mushumbusi - MAELEZO
Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) inaendelea na ujenzi wa Barabara itokayo Kamanga Ferry kuelekea Sengerema kwa kiwango cha lami ili kurahisisha  usafiri na usafirishaji katika eneo hilo.
Hayo yamesemwa leo na Meneja wa TANROADS Mkoa wa  Mwanza Mhandisi Leonard Kadashi alipokuwa akizungumza na Mwandishi wa Habari ofisi kwake kutolea ufafanuzi suala la Barabara ya Kamanga Ferry mpaka Sengerema ambayo haipo katika hali nzuri na kusema mkandarasi yupo na...

 

11 years ago

Habarileo

Wafurahishwa na kuendelea kwa miradi ya barabara

WAKAZI wa mikoa ya Rukwa na Katavi wameipongeza Serikali kwa kutenga zaidi ya Sh bilioni 19 ili kunusuru ujenzi wa miradi mikubwa mitatu ya barabara kwa kiwango cha lami iliyosimama kwa miezi kadhaa kutokana na uhaba wa fedha.

 

11 years ago

Michuzi

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katikati akiwa na Balozi wa Japan Nchini Masaki Okada kulia wakipita juu ya Daraja la Lugalo mara baada ya kulikagua katika ziara ya Ukaguzi wa Barabara ya Mwenge Tegeta jijini Dar es salaam leo.

 Balozi wa Japan nchini Ndugu Masaki Okada akiwa na Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Said Meck Sadick wakipanda ngazi za daraja la juu la watembea kwa miguu flyover Ubungo...

 

10 years ago

Michuzi

wafanyakazi wa Hoteli ya Dar es Salaam Serena waadhimisha siku ya mazingira kwa kufanya usafi maeneo ya barabara jijini dar

wafanyakazi wa Hoteli ya Dar es Salaam Serena ambao ni wakereketwa wakubwa wa mazingira, waliadhimisha siku hii asubuhi ya leo kwa kufanya usafi barabara ya Ohio kuzunguka mpaka ufukwe wa bahari ya Hindi.
Akiongea  mara baada ya zoezi hilo la usafi mkurugenzi mkuu wa masoko wa hoteli hiyo ndugu Seraphin Lusala aliwashukuru wafanyakazi wa hoteli hiyo kwa kushiriki katika zoezi hilo la kufanya usafi wa mazingira ili kuonyesha mfano kwa jamii kwamba uchafuzi wa mazingira haukubaliki na...

 

9 years ago

Mtanzania

Dar kuendelea kukosa maji

Sharif 01Na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam

WIZARA ya Maji imesema jiji la Dar es Salaam litaendelea kukabiliwa na uhaba wa maji, kutokana na uboreshwaji wa miundombinu yake kushindwa kukamilika kwa wakati.

Hadi sasa mradi mkubwa wa maji kwa ajili ya jiji hilo umefikia wastani wa asilimia 68.

Akitoa taarifa ya miradi inayotekelezwa na kuboresha huduma ya majisafi na majitaka katika jiji hilo, Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Wizara ya Maji na Mifugo, Athumani Sharifu, alisema jiji la Dar es Salaam...

 

9 years ago

Mtanzania

Bomoabomoa kuendelea leo Dar

bomoaNa Grace Shitundu, Dar es Salaam

BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limesema kazi ya ubomoaji nyumba zilizoko katika Bonde la Mto Msimbazi itaendelea leo katika maeneo ambayo hayako kwenye zuio lililotolewa na Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi.

Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam,  Mkurugenzi Mkuu wa NEMC,  Bonaventure Baya,   alisema zuio lililopo mahakamani linahusu nyumba 681 tu, hivyo wataendelea na kazi  katika maeneo yote...

 

11 years ago

Dewji Blog

Jiji la Dar Es Salaam kuendelea kusafishwa

RC DSM - 1

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Saidi Meck Sadiki akitoa taarifa ya kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa (RCC) ofisini kwake jijini Dar es salaam.

Na. Aron Msigwa –MAELEZO.

Jumla ya kata 22 katika manispaa za Ilala, Kinondoni na Temeke zitaingizwa katika  mpango wa utengaji wa maeneo maalum (smart area) kwa ajili ya kuboresha usafi wa mazingira jijini Dar es salaam.

Akitoa taarifa ya kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa wa Dar es salaam (RCC) jijini Dar es salaam, Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani