Barabara Singida zagharimu Sh1.5 bn
Wakala wa Barabara (Tanroads) mkoani Singida, umetumia kiasi cha Sh1.5 bilioni kwa ajili ya kugharamia matengenezo ya makubwa na madogo ya madaraja ya barabara kuu za mkoa kuanzia Aprili hadi Juni mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziBilioni 16 Zaleta Mageuzi Miundombu ya Barabara Manispaa ya Singida
Moja ya barabara za Halmashauri ya Manispaa ya Singida kama inavyoonekana baada ya ujenzi na uwekaji wa taa kukamilka.
Muonekano wa Stendi Kuu ya Halmashauri ya Manispaa ya Singida inayohdumia mabasi ya ndani na nje ya nchi kama inavyoonekana katika picha, mradi huo umetekelezwa kwa gharama ya shilingi Bilioni 3 na kuwezesha mapato...
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
TANROADS Singida yatumia Shilingi bil 1.2 /- kutengeneza barabara
Kaimu meneja TANROADS mkoa wa Singida, Eng.Leonard Kapongo,akitoa ufafanuzi juu ya matengenezo ya barabara za ngazi ya mkoa,kwenye kikao cha 37 cha bodi ya barabara kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Social Training Centre mjini Singida.
Na Nathaniel Limu, Singida
WAKALA wa barabara TANROADS Mkoa wa Sigida imetumia zaidi ya shilingi 1.2 bilioni kugharamia matengenezo ya kawaida kwa barabara kuu yenye urefu wa kilometa 589.2 kati ya Aprili na Juni mwaka huu.
Hayo yamesemwa na...
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Barabara, kilimo vyainua kipato cha wakazi wa Singida
10 years ago
Mwananchi22 Nov
MADHARA: Kucha za bandia zagharimu maisha ya bibi harusi
10 years ago
Dewji Blog07 Feb
Dk. Magufuli akagua barabara yenye urefu wa km 89, Manyoni-Itigi Mkoani Singida
Na Nathaniel Limu, Itigi
Waziri wa ujenzi, Dk. John Pombe Joseph Magufuli, amewakumbusha wafanya biashara wanaosafirisha/mizigo kwa kutumia barabara, wahakikishe wanazingatia uzito uliowekwa kisheria, ili barabara zinazojengwa kwa gharama...
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
Halmashauri ya manispaa ya Singida yaweka taa kandokanodo ya barabara zake kuimarisha ulinzi
Halmashauri ya manispaa ya Singida, yaweka taa kando kando ya barabara zake katika kuimarisha ulinzi na kupendezesha mji.
Taa hizo ambazo katika awamu ya kwanza zimewekwa kwenye barabara ya Arusha inayoanzia Bomani hadi nyumba za kulala ya Victoria karibu na Mwenge sekondari na ile ya Karume Arusha, zote zikiwa na urefu wa kilometa 2.720.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
Halmashauri ya manispaa ya Singida, imeweka taa kando kando ya barabara zake za mjini Singida zenye...
5 years ago
MichuziMAFURIKO YASABABISHA MABWAWA YA KINDAI NA SINGIDAMUNANGI KUFUNGA BARABARA YA MWAJA MKOANI SINGIDA
Wananchi wakipita katika maji baada ya barabara ya Mwaja kujaa maji na kufungwa na Serikali kufuatia mabwawa ya Kindai na Singidamunangi kukumbwa na mafuriko Manispaa ya Singida jana.
Wananchi wakipanda mtumbwi katika eneo la tukio.
Wananchi wakivushwa kwa mtumbwi.
Kibao cha tahadhari cha kufungwa kwa barabara hiyo.
Na Ismail Luhamba, Singida
MVUA zinazoendelea kunyesha mkoani SINGIDA zimekata mawasiliano ya barabara ya Mwaja na Manispaa singida.
Katika historia imejirudia ya maziwa haya...
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
TANROADS Singida yatumia zaidi ya sh 5.1 B kutengeneza barabara zake Julai mwaka jana na februari mwaka huu
Mkuu wa mkoa wa Singida na mwenyekiti wa bodi ya barabara, Dk.Parseko Vicent Kone, akifungua kikao cha bodi ya barabara cha 36 kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa VETA mjini Singida. Kulia (aliyekaa) ni katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan.
Meneja wa wakala wa barabara mkoa wa Singida (TANROADS), Mhandisi Yustaki Kangole, akitoa ufafanuzi juu ya sheria zinazotawala akiba/hifadhi ya barabara kwenye kikao cha 36 cha bodi ya barabara mkoa wa Singida.
Mbunge wa jimbo la...
11 years ago
MichuziDKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM