Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Barabara Singida zagharimu Sh1.5 bn

Wakala wa Barabara (Tanroads) mkoani Singida, umetumia kiasi cha Sh1.5 bilioni kwa ajili ya kugharamia matengenezo ya makubwa na madogo ya madaraja ya barabara kuu za mkoa kuanzia Aprili hadi Juni mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Bilioni 16 Zaleta Mageuzi Miundombu ya Barabara Manispaa ya Singida

Muonekano wa taa katika barabara yakuingia mjini Singida kama ilivyokutwa Machi 27, 2020 baada ya kutekelezwa kwa mradi wa ujenzi wa miundombinu ya mji huo.
Moja ya barabara za Halmashauri ya Manispaa ya Singida kama inavyoonekana baada ya ujenzi na uwekaji wa taa kukamilka.
Muonekano wa Stendi Kuu ya Halmashauri ya Manispaa ya Singida inayohdumia mabasi ya ndani na nje ya nchi kama inavyoonekana katika picha, mradi huo umetekelezwa kwa gharama ya shilingi Bilioni 3 na kuwezesha mapato...

 

10 years ago

Dewji Blog

TANROADS Singida yatumia Shilingi bil 1.2 /- kutengeneza barabara

DSC02592

Kaimu meneja TANROADS mkoa wa Singida, Eng.Leonard Kapongo,akitoa ufafanuzi juu ya matengenezo ya barabara za ngazi ya mkoa,kwenye kikao cha 37 cha bodi ya barabara kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Social Training Centre mjini Singida.

Na Nathaniel Limu, Singida

WAKALA  wa barabara TANROADS Mkoa wa Sigida imetumia zaidi ya shilingi 1.2 bilioni  kugharamia matengenezo ya kawaida kwa barabara kuu yenye urefu wa kilometa 589.2 kati ya Aprili na Juni mwaka huu.

Hayo  yamesemwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Barabara, kilimo vyainua kipato cha wakazi wa Singida

Ukibahatika kuutembelea Mkoa wa Singida na kurejesha kumbukumbu zako miaka 10 nyuma unaweza usiamini yanayotokea hivi sasa kwenye mkoa huo. Unaweza kushangaa na kujiuliza maswali mengi jinsi mkoa huo unavyobadilika na kuvutia watu wengi sasa.

 

10 years ago

Mwananchi

MADHARA: Kucha za bandia zagharimu maisha ya bibi harusi

>“Sijui walitumia gundi ya aina gani kumbandikia kucha mwanangu, mpaka sasa sielewi, mtoto mwenyewe ndiyo huyo huyo mmoja wa kike niliyekuwa nikimtegemea na ndiyo kwanza ndoa yake bado change kabisa hata mwezi mmoja haina, huu ni mtihani mkubwa kwangu na kwa mumewe ambaye wamefunga naye ndoa wiki tatu zilizopita, inauma sana lakini tunamwachia Mungu.”

 

10 years ago

Dewji Blog

Dk. Magufuli akagua barabara yenye urefu wa km 89, Manyoni-Itigi Mkoani Singida

DSC03899

Waziri wa ujenzi Dk.John Magufuli, akipokelewa katika kijiji cha Chaya mpakani mwa Singida na mkoa wa Tabora na Kaimu meneja TANROADS mkoa wa Singida, Matari Masige. Dk.Magufuli alikuwa akitokea mkoa wa Tabora ambako alikuwa kikazi kakagua barabara.

Na Nathaniel Limu, Itigi

Waziri wa ujenzi, Dk. John Pombe  Joseph Magufuli, amewakumbusha wafanya biashara wanaosafirisha/mizigo kwa kutumia barabara, wahakikishe wanazingatia uzito uliowekwa kisheria, ili barabara zinazojengwa kwa gharama...

 

11 years ago

Dewji Blog

Halmashauri ya manispaa ya Singida yaweka taa kandokanodo ya barabara zake kuimarisha ulinzi

DSC00245

Halmashauri ya manispaa ya Singida, yaweka taa kando kando ya barabara zake katika kuimarisha ulinzi na kupendezesha mji.

Taa hizo ambazo katika awamu ya kwanza zimewekwa kwenye barabara ya Arusha inayoanzia Bomani hadi nyumba za kulala ya Victoria karibu na Mwenge sekondari na ile ya Karume Arusha, zote zikiwa na urefu wa kilometa 2.720.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

Halmashauri ya manispaa ya Singida, imeweka taa kando kando ya barabara zake za mjini Singida zenye...

 

5 years ago

Michuzi

MAFURIKO YASABABISHA MABWAWA YA KINDAI NA SINGIDAMUNANGI KUFUNGA BARABARA YA MWAJA MKOANI SINGIDA


Wananchi wakipita katika maji baada ya barabara ya Mwaja kujaa maji na kufungwa na Serikali kufuatia mabwawa ya Kindai na Singidamunangi kukumbwa na mafuriko Manispaa ya Singida jana.
Wananchi wakipanda mtumbwi katika eneo la tukio.
Wananchi wakivushwa kwa mtumbwi.
Kibao cha tahadhari cha kufungwa kwa barabara hiyo.




Na Ismail Luhamba, Singida


MVUA zinazoendelea kunyesha mkoani SINGIDA zimekata mawasiliano ya barabara ya Mwaja na Manispaa singida.

Katika historia imejirudia ya maziwa haya...

 

11 years ago

Dewji Blog

TANROADS Singida yatumia zaidi ya sh 5.1 B kutengeneza barabara zake Julai mwaka jana na februari mwaka huu

DSC07622

Mkuu wa mkoa wa Singida na mwenyekiti wa bodi ya barabara, Dk.Parseko Vicent Kone, akifungua kikao cha bodi ya barabara cha 36 kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa VETA mjini Singida. Kulia (aliyekaa) ni katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan.

DSC07610

Meneja wa wakala wa barabara mkoa wa Singida (TANROADS), Mhandisi Yustaki Kangole, akitoa ufafanuzi juu ya sheria zinazotawala akiba/hifadhi  ya barabara kwenye kikao cha 36 cha bodi ya barabara mkoa wa Singida.

DSC07617

Mbunge wa jimbo la...

 

11 years ago

Michuzi

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katikati akiwa na Balozi wa Japan Nchini Masaki Okada kulia wakipita juu ya Daraja la Lugalo mara baada ya kulikagua katika ziara ya Ukaguzi wa Barabara ya Mwenge Tegeta jijini Dar es salaam leo.

 Balozi wa Japan nchini Ndugu Masaki Okada akiwa na Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Said Meck Sadick wakipanda ngazi za daraja la juu la watembea kwa miguu flyover Ubungo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani