Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAFURIKO YASABABISHA MABWAWA YA KINDAI NA SINGIDAMUNANGI KUFUNGA BARABARA YA MWAJA MKOANI SINGIDA


Wananchi wakipita katika maji baada ya barabara ya Mwaja kujaa maji na kufungwa na Serikali kufuatia mabwawa ya Kindai na Singidamunangi kukumbwa na mafuriko Manispaa ya Singida jana.
Wananchi wakipanda mtumbwi katika eneo la tukio.
Wananchi wakivushwa kwa mtumbwi.
Kibao cha tahadhari cha kufungwa kwa barabara hiyo.




Na Ismail Luhamba, Singida


MVUA zinazoendelea kunyesha mkoani SINGIDA zimekata mawasiliano ya barabara ya Mwaja na Manispaa singida.

Katika historia imejirudia ya maziwa haya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Dk. Magufuli akagua barabara yenye urefu wa km 89, Manyoni-Itigi Mkoani Singida

DSC03899

Waziri wa ujenzi Dk.John Magufuli, akipokelewa katika kijiji cha Chaya mpakani mwa Singida na mkoa wa Tabora na Kaimu meneja TANROADS mkoa wa Singida, Matari Masige. Dk.Magufuli alikuwa akitokea mkoa wa Tabora ambako alikuwa kikazi kakagua barabara.

Na Nathaniel Limu, Itigi

Waziri wa ujenzi, Dk. John Pombe  Joseph Magufuli, amewakumbusha wafanya biashara wanaosafirisha/mizigo kwa kutumia barabara, wahakikishe wanazingatia uzito uliowekwa kisheria, ili barabara zinazojengwa kwa gharama...

 

5 years ago

Michuzi

BODI YA MAJI BONDE LA KATI YAWATAKA WANANCHI KUCHUKUA TAHADHARI KUFUATIA MAFURIKO KWENYE MAZIWA YA KINDAI, MUNANG NA SINGIDANI

 Mhandisi Rasilimali za Maji, Bodi ya Maji Bonde la Kati, Moses Salumbi (kushoto),  akiweka alama za ukomo wa maji ya mafuriko kwenye Maziwa ya Kindai na Munang mkoani Singida jana.Wengine kutoka kulia ni Mhandisi Ujenzi, Danford Samson, Mhandisi Mazingira, Nyagheri Mramba, Afisa wa Maji, Bodi ya Maji  Bonde la Kati, William Mabula na Afisa Maendeleo ya Jamii Mwandamizi wa ofisi hiyo, Nelea Bundala. Athari za mafuriko hayo. Afisa Maendeleo ya Jamii Mwandamizi,  Bodi ya Maji  Bonde la...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yasababisha maafa DR Congo

Nchini Jahmuri ya Kidemokrasia ya Congo katika mji wa Kinshasa, watu zaidi ya 20 wamefariki na nyumba kadhaa kujaa maji kutokana na mafuriko.

 

11 years ago

Dewji Blog

Mperani FC yanyakua ubingwa wa Kamanda Cup kata ya Kindai Singida kwa kuitandika Munangi mabao 2-0 katika fainali

DSC01284

Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa (UVCCM) Taifa kutoka Mkoa wa Singida, Rehema Sombi akimkabidhi Nahodha wa timu ya Soka ya Mperani Fc Maiko Manase Kombe la ubingwa pamoja fedha taslimu shilingi laki moja, Kamanda Cup Kata ya Kindai iliyoandaliwa na Kamanda wa UVCCM wa Kata hiyo Omary Kinyeto.

Na Hillary Shoo, Singida.

TIMU ya soka ya Mperani Fc ya Kata ya Kindai Manispaa ya Singida imefanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano ya Kamanda baada ya kuichapa timu ya Singida Munangi mabao 2-0.

Katika mchezo...

 

10 years ago

GPL

MVUA ILIYONYESHA BAGAMOYO YASABABISHA MAFURIKO

Hizi ni picha tofauti zikienesha taswira ya mvua iliyonyesha Bagamoyo alfajiri ya leo na kusababisha mafuriko. Hayo ni maji yaliyojaa stendi ya mabasi ya…

 

10 years ago

GPL

MVUA KUBWA YASABABISHA MAFURIKO JIJINI MWANZA

Nyumba zikiwa zimezingirwa na maji baada ya mvua kubwa kunyesha jijini Mwanza. Mvua kubwa imenyesha jijini Mwanza  kwa saa tatu na kusababisha mafuriko katika baadhi ya maeneo ya jiji hilo hasa sehemu za Mabatini na kusababisha nyumba nyingi kujaa maji. Mvua hiyo pia imesababisha hasara kubwa ya uharibifu wa mali huku…

 

10 years ago

GPL

MVUA ILIYONYESHA JIJINI MWANZA YASABABISHA MAFURIKO

Nyumba zikiwa zimezingirwa na maji baada ya mafuriko hayo kutokea. Maji yakiwa yamefurika katika moja ya mtaa ya Jiji la Mwanza.…

 

10 years ago

Vijimambo

MVUA YASABABISHA MAFURIKO MOSHI VIJIJINI,MBUNGE LUCY OWENYA AWAFARJI WAATHIRIKA.


Mafuriko makubwa yamevikumba vijiji saba kikiwemo kiwanda cha sukari cha TPC na kuathiri miundombinu pamoja na makazi ya watu kujaa maji. 

Mbunge wa viti maalumu ,Lucy Owenya (Chadema) (kulia)akiwa ameongozana na diwani wa kata ya Arusha Chini ,Rojas Mmari alipotembelea kujionea athari zilizotokana na mafuriko hayo. 

Mbunge Lucy Owenya akitembelea maeneo yaliyo athirika na mafuriko hayo. 

Mbunge Lucy Owenya akitizama sehemu ambayo wananchi walilazimika kuibomoa kwa kushirikiana na uongozi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mvua yasababisha mafuriko Moshi vijijini, Mbunge Lucy Owenya awafariji waathirika

E86A6621

Mbunge wa viti maalumu, Lucy Owenya (Chadema) (kulia) akiwa ameongozana na diwani wa kata ya Arusha Chini, Rojas Mmari alipotembelea kujionea athari zilizotokana na mafuriko hayo.

Mafuriko makubwa yamevikumba vijiji saba kikiwemo kiwanda cha sukari cha TPC na kuathiri miundombinu pamoja na makazi ya watu kujaa maji.

 

Mbunge Lucy Owenya akitizama sehemu ambayo wananchi walilazimika kuibomoa kwa kushirikiana na uongozi wa kiwanda cha TPC ili kuruhusu maji kupita. Mbunge Lucy Owenya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani