Mafuriko yasababisha maafa DR Congo
Nchini Jahmuri ya Kidemokrasia ya Congo katika mji wa Kinshasa, watu zaidi ya 20 wamefariki na nyumba kadhaa kujaa maji kutokana na mafuriko.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-30L0XdpbSqg/XneOu9jVFgI/AAAAAAALkvk/NFBm7AjY66A_1RQ114aMsSPmDO2n35tvgCLcBGAsYHQ/s72-c/P6-2.jpg)
KAMATI YA USIMAMIZI MAAFA KILOMBERO YATAKIWA KUFANYA TATHMINI YA ATHARI ZA MAAFA YA MAFURIKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-30L0XdpbSqg/XneOu9jVFgI/AAAAAAALkvk/NFBm7AjY66A_1RQ114aMsSPmDO2n35tvgCLcBGAsYHQ/s640/P6-2.jpg)
Kufuatia Kaya 250 katika kata ya Msolwa Stesheni katika kijiji cha Nyange Wilayani Kilombero...
11 years ago
Habarileo20 Feb
Mvua yasababisha maafa Kilwa
WAKAZI wa Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi, wanakabiliwa na maafa kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha hivi sasa kusababisha mashamba, nyumba za makazi na majengo ya shule za msingi na sekondari, kuharibiwa Diwani wa Kata ya Mandawa Hassani Nalinga, amesema hayo jana kwenye kikao cha Baraza la Madiwani akichangia hoja kutoka kwenye Kamati ya Jamii, Maendeleo na Mazingira.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MhI6wJOESxCTnr1QB5pgAaGr7ncX4lKf31DqJpMc2TTd8h*QXczQXclDHhZDIhDBXoJpAzL8U120XrcL8Q*VsPh/IMG20141201WA0004.jpg)
MVUA ILIYONYESHA BAGAMOYO YASABABISHA MAFURIKO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jNrZ7iSqItZIXe4nzqziBEiSVoTsbpjjNom1zGYAW9u72OL*LqmCjLFl*DHc6XL1YICV2LxdfYNx6czt7SRhzuG6ukteQb*r/IMG20141202WA0009.jpg?width=650)
MVUA ILIYONYESHA JIJINI MWANZA YASABABISHA MAFURIKO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo78BQXgSTXc9cu5ODlXk6BR-AcEKHA4UemVAzD1FyTqyxV9nZyJ5q7GmewZdl8Q6GiWVo7JoIts*a7ZIb2sLXXW/IMG20150421WA0036.jpg?width=650)
MVUA KUBWA YASABABISHA MAFURIKO JIJINI MWANZA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MMT3MMBZ82E/VNXYpGOVZdI/AAAAAAAHCUU/iii8bqV99lA/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
ajali ya moto yasababisha maafa ukonga Kipunguni usiku wa kuamkia leo jijini Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-MMT3MMBZ82E/VNXYpGOVZdI/AAAAAAAHCUU/iii8bqV99lA/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cCQgH_mJjGA/VNXb92b1czI/AAAAAAAHCUk/PRtTsLh5rgE/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
Dewji Blog05 May
Mvua yasababisha mafuriko Moshi vijijini, Mbunge Lucy Owenya awafariji waathirika
Mbunge wa viti maalumu, Lucy Owenya (Chadema) (kulia) akiwa ameongozana na diwani wa kata ya Arusha Chini, Rojas Mmari alipotembelea kujionea athari zilizotokana na mafuriko hayo.
10 years ago
VijimamboMVUA YASABABISHA MAFURIKO MOSHI VIJIJINI,MBUNGE LUCY OWENYA AWAFARJI WAATHIRIKA.
Mafuriko makubwa yamevikumba vijiji saba kikiwemo kiwanda cha sukari cha TPC na kuathiri miundombinu pamoja na makazi ya watu kujaa maji.
Mbunge wa viti maalumu ,Lucy Owenya (Chadema) (kulia)akiwa ameongozana na diwani wa kata ya Arusha Chini ,Rojas Mmari alipotembelea kujionea athari zilizotokana na mafuriko hayo.
Mbunge Lucy Owenya akitembelea maeneo yaliyo athirika na mafuriko hayo.
Mbunge Lucy Owenya akitizama sehemu ambayo wananchi walilazimika kuibomoa kwa kushirikiana na uongozi...
5 years ago
MichuziMAFURIKO YASABABISHA MABWAWA YA KINDAI NA SINGIDAMUNANGI KUFUNGA BARABARA YA MWAJA MKOANI SINGIDA
Wananchi wakipita katika maji baada ya barabara ya Mwaja kujaa maji na kufungwa na Serikali kufuatia mabwawa ya Kindai na Singidamunangi kukumbwa na mafuriko Manispaa ya Singida jana.
Wananchi wakipanda mtumbwi katika eneo la tukio.
Wananchi wakivushwa kwa mtumbwi.
Kibao cha tahadhari cha kufungwa kwa barabara hiyo.
Na Ismail Luhamba, Singida
MVUA zinazoendelea kunyesha mkoani SINGIDA zimekata mawasiliano ya barabara ya Mwaja na Manispaa singida.
Katika historia imejirudia ya maziwa haya...