Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bastian Schweinsteiger kufungiwa na FA

FA-Rungu-1

Kiungo wa Manchester United, Mjerumani Bastian Schweinsteiger 31, anakabiliwa na adhabu ya kufungiwa mechi tatu na chama cha soka England (FA) kutokana na kitendo chake cha kumpiga kiwiko mlinzi wa Westham United, Winston Reid katika mchezo uliomalizika kwa sare ya bila kufungana Jumamosi iliyopita.

wes

Schweinsteiger anatakiwa hadi Alhamis hii, saa sita mchana kukubali au kukataa kosa hilo baada ya FA kumuadhibu Jumatatu hii.

FA-Rungu-1

Chama cha waamuzi kupitia video wamebaini kosa hilo la Bastian...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Man United imesajili Bastian Schweinsteiger

Manchester United imekubaliana na Bayern Munich kumsajili kiungo cha kati wa Ujerumani Bastian Schweinsteiger

 

10 years ago

Africanjam.Com

BASTIAN SCHWEINSTEIGER HONOURED TO BE FIRST GERMAN TO PLAY FOR MANCHESTER UNITED


Bastian Schweinsteiger is honoured to become the first German to play for Manchester United and believes the team can do a 'great job' this season.The World Cup winner joined the Red Devils in a £15million deal from Bayern Munich on Saturday and is seen as the man to bring some authority to United’s midfield.
Schweinsteiger is pleased to be the first of his countrymen to play for Manchester United and told MUTV: 'It’s a big honour. I had a joke with Wayne [Rooney] about it before, but it’s a...

 

10 years ago

Africanjam.Com

BASTIAN SCHWEINSTEIGER AGREES TERMS ON MANCHESTER UNITED TRANSFER


Manchester United have agreed a stunning deal to sign Bayern Munich midfielder Bastian Schweinsteiger, according to reports emerging in Germany.The Red Devils’ well-documented summer search for a high profile central midfielder has led to links with Southampton enforcer Morgan Schneiderlin, but it appears a move for the German has now been prioritised.
And German daily BILD has revealed that Schweinsteiger informed the Bavarians of his desire for a new challenge, citing United manager and...

 

9 years ago

Africanjam.Com

BASTIAN SCHWEINSTEIGER TO SUE COMPANY MAKING "NAZI SOLDIER TOY" THAT LOOKS LIKE HIM

Bastian Schweinsteiger is considering taking legal action against a Hong Kong company making Nazi dolls that bear a striking resemblance to him.The Manchester United midfielder's management company put the matter into the hands of their German-based lawyers earlier this week.
The dolls, named 'World War II Army Supply Duty - Bastian', are made in China by Dragon in Dream.The company told German paper Bild any resemblance was "purely coincidental"."We don't sell any figures which resemble...

 

9 years ago

BBCSwahili

Schweinsteiger kufungiwa Mechi 3.

Kiungo wa Manchester United Bastian Schweinsteiger yupo hatarini kufungiwa Mechi 3 za ligi kuu ya England kwa kosa la Kinidhamu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Man U yamwinda Schweinsteiger na Ramos

Klabu ya Manchester United ina hamu ya kumsajili kiungo wa kati wa Bayern Bastian Schweinsteiger na mlinzi wa Real Madrid Sergio Ramos.

 

9 years ago

Dewji Blog

FA yamfungia michezo mitatu Schweinsteiger, sababu hii hapa

Manchester-United-Man-United-News-Man-United-Transfers-Transfer-News-Bastian-Schweinsteiger-Schweinsteiger-Man-United-Man-597414

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Chama cha Soka cha Wingereza FA imemfungia kiungo wa Manchester United, Bastian Schweinsteiger (pichani) kwa michezo mitatu baada ya kumchezea vibaya mchezaji wa West Ham United, Winston Reid

Katika taarifa ya FA inasema Schweinsteiger alifanya kosa hilo katika mchezo wa jumamosi wakati timu hizo zilipokutana na kutoka sare ya bila kufungana.

FA ilisema Schweinsteiger alimpiga kwa kiwiko Reid wakati wakigombea mpira na refa wa mchezo huo, Mark Clattenburg hakuona...

 

9 years ago

Bongo5

Chama cha soka England (FA) chamfungia rasmi Schweinsteiger mechi 3

wes

Chama cha soka cha England ( FA) kimetangaza rasmi kumfungia kiungo wa Manchester United, Bastian Schweinsteiger Mechi 3.

FA-Rungu-1

Adhabu hii inaanza mara moja baada ya Mjerumani huyo kuamua kutopinga mashitaka yake kwa kosa ambalo refa hakuliona na badala yake kuhukumiwa kwa ushahidi wa mkanda wa video.

wes

Schweinsteiger mwenye miaka 31, anadaiwa kumpiga beki wa West Ham Winston Reid kwa mkono walipokuwa wakigombea mpira wa free kick katika mechi ya ligi kuu England iliyomalizika 0-0 Jumamosi...

 

10 years ago

Africanjam.Com

VIDEO: BEATS BY DRE PRODUCED AN AWESOME ADVERT ABOUT SCHWEINSTEIGER MOVE TO MANCHESTER UNITED



Beats by Dre ensured that Bastian Schweinsteiger ended his spell at Bayern Munich in style with a farewell video ahead of the midfielder's imminent move to Manchester United.The 30-year-old, who won eight Bundesliga titles, seven DFB Pokal trophies and one Champions League during his time at the Allianz Arena, is on the verge of completing a switch to Old Trafford.
Although he had a contract with Pep Guardiola's side until 2016, the midfielder has described an opportunity to be reunited with...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani