Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BATULI ACHEZEA SHARUBU ZA KAJALA

Imelda Mtema
STAA wa filamu za Kibongo, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ ameonekana kuchezea ‘sharubu’ za Kajala baada kuweka picha ya kiazi kwenye mtandao wake wa kijamii wa Instagram kitu ambacho kimeonekana ni kumkejeli staa mwenzake huyo kutokana na Wema Sepetu kumuita kiazi. Staa wa filamu za Kibongo, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’. Akichezesha taya na Amani baada ya kubanwa kwa nini aliweka picha...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Simba yavutwa sharubu

Makosa ya mabeki wa Simba yaliyofanywa dakika za majeruhi, yaliipa sare ya kwanza msimu huu baada ya kufungana 2-2 na Coastal Union ya Tanga katika mechi ya kupendeza iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jana.

 

10 years ago

Mtanzania

Azam yaivuta sharubu Simba

Pg 32NA WAANDISHI WETU
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Azam ilivuta sharubu za Simba baada ya kuilazimisha sare ya bao 1-1 kwenye mchezo wa ligi uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jana.

Timu hizo ziliingia uwanjani zikiwa na kumbukumbu ya ushindi kwenye mechi zilizopita, Simba iliichapa Ndanda mabao 2-0, huku Azam ikiichabanga Kagera Sugar mabao 3-1.

Licha ya Simba kupata bao la mapema dakika ya 18 lililofungwa na Emmanuel Okwi, aliyetumia makosa ya kipa wa Azam,...

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA YAVUTWA SHARUBU NA POLISI MOROGORO

Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akishangilia bao aliloifungia timu yake wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya Polisi ya Morogoro uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam siku ya Jumamosi Sept 27, 2014. Kushoto ni Ramadhani Singano 'Messi'Golikipa wa Polisi Morogoro, Abdul Ibad akijaribu kuokoa bila mafanikio kiki iliyopigwa na mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa...

 

11 years ago

GPL

MNYAMA ASHIKWA SHARUBU JIJINI MBEYA

Mshambuliaji hatari wa Simba SC, Amissi Tambwe akiwania mpira na mchezaji wa Prison. Mashabiki wa Simba wakiishangilia timu yao ndani ya uwanja wa Sokoine, Jijini Mbeya.…

 

11 years ago

GPL

VAI ACHEZEA KICHAPO

Stori: Gladness Mallya KICHAPO! Mwigizaji wa filamu za Kibongo, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’ amechezea kichapo ‘vitasa’ kutoka kwa bwana’ke aliyetajwa kwa jina la Boniface Matiku ‘Bonny’. Vai akiugulia maumivu ya kipigo hevi kutoka kwa bwana'ke. Kwa mujibu wa sosi wetu, ishu hiyo ilijiri hivi karibuni mishale ya usiku nyumbani kwa msanii huyo maeneo ya Mwananyamala-Hospitali...

 

11 years ago

GPL

AUNTY LULU ACHEZEA KICHAPO

MSANII wa filamu Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ hivi karibuni alijikuta akichezea kichapo kutoka kwa mpenzi wake anayejulikana kwa jina la Amani baada ya kutaka kwenda klabu usiku bila kumtaarifu. Msanii wa filamu Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ akipozi. Kwa mujibu wa majirani, tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo walimsikia msanii huyo akipiga mayowe na walipotoka walimuona...

 

10 years ago

GPL

MKE AFUMANIA, ACHEZEA KICHAPO!

Mashaka kisusi
NDANI ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, mama mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja, mkazi wa maeneo ya stendi, wilayani Misungwi mkoani Mwanza anadaiwa kuchezea kichapo kutoka kwa mumewe baada ya kumfumania akiwa na kimada, Risasi Jumamosi linatiririka. Akivuja damu baada ya kuminyiwa kichapo. Tukio hilo lililowaacha watu midomo wazi lilijiri mwanzoni mwa wiki hii ambapo kwa mujibu wa mashuhuda, awali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Cheka achezea kichapo Urusi

BONDIA Francis Cheka ‘SMG’ juzi alichezea kichapo kwa kupigwa kwa ‘KO’ raundi ya sita kutoka kwa bondia Fedor Chudinov raia wa Urusi pambano lililofanyika katika ukumbi wa Dynamo Palace of Sports, mjini Krylatskoye,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani