BATULI: SIJAVUNJA UCHUMBA WA ROSE NDAUKA
![](http://api.ning.com:80/files/jPvKO*I18G8h6aUIcQBs7NmUpRA1k0dZ1p7cgZlqbNFPJU1ftFhhp70hN0TBmjKTs61ujSXpJ6VvDux9NCJ8cYouxz5nwnbY/batuli.jpg)
Stori: RHODA JOSIAH MSANII wa filamu Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ ameshangazwa na madai kuwa, anahusika kuvunjika kwa uchumba wa msanii mwenzake Rose Ndauka na kueleza kuwa hayo ni maneno ya watu wasiomtakia mema. Msanii wa filamu Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni kufuatia madai hayo, Batuli alisema hajawahi kuwa na uhusiano wowote na bwana wa Rose (Malick) na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9h2OjxKkWd4yUxUkjwP9bMCstSqjhHXKtOSX2b1bq0cSWXRcOr8iLFQkN9hiP6t7r-kp3PSg-MIjNRB6RjuH3Bna7uXTCHJ/rose.jpg)
WANAWAKE 2 WATAJWA KUVUNJA UCHUMBA WA ROSE NDAUKA
STAA wa filamu Bongo, Rose Ndauka ameanika ukweli kuhusu uhusiano wake na aliyekuwa mchumba wake Malick Bandawe baada ya kuwagundua wanawake wawili aliozaa nao mbali na yeye. Staa wa filamu Bongo, Rose Ndauka. Kwa mujibu wa chanzo chetu, Rose aliamua kufungasha virago vyake na kurudi kwa mama yake mzazi maeneo ya Kigogo baada ya kugundua kwamba mchumba’ake huyo alizaa na wanawake wawili tofauti na yeye ambaye ni wa tatu....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdG71GPfFwGFYD4N-17mGEJ7HjyeTk-DOYEW*llgkpalgREYJo*MtqoaAlaJcY*yFFBjFFINPHq-Aszow9bcJZiKCNuAG6Tq/rose.jpg)
ROSE NDAUKA ASEMA UCHUMBA WAKE NGANGARI
Stori: Gladness Mallya
MWIGIZAJI nyota wa filamu, Rose Ndauka ameibuka na kukanusha vikali uvumi uliozagaa kuwa uchumba wake na Malick Bandawe umevunjika na kusema siyo kweli kwani bado upo ngangari kuliko kawaida. Mwigizaji nyota wa filamu Bongo, Rose Ndauka akipopzi. Akistorisha na gazeti hili juzikati, mwigizaji huyo anayeishi na mchumba wake huyo, alisema uvumi huo hauna msingi kwa sababu asubuhi ya siku hiyo (Jumatatu)...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXIS3tmwemZVfI7fxN06186Gpdkni8m4rkklRpiwp*kyM0ZeW4DMJRlJZv0doMF6IapIQCE5M8fd*RTc2tS8sUvg/Rose.jpg?width=650)
ROSE NDAUKA ADAIWA KUMTIBULIA DILI BATULI
Stori:Hamida Hassan na Gladness Mallya
Mastaa wawili, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ na Rose Ndauka wamedaiwa kuwa kwenye bifu chanzo kikidaiwa ni Rose kumtibulia mwenzake dili la ile project ya kusafisha jiji iliyofanyika hivi karibuni. Malkia wa filamu za kibongo Yobnesh Yusuph ‘Batuli’. Akizungumza na Ijumaa kwa sharti la kutotajwa jina lake, chanzo kilisema, wazo la project ile alikuwa nalo Batuli...
10 years ago
Bongo530 Sep
Rose Ndauka na Chiwaman waachana, ndoto za ndoa zayeyuka, Rose athibitisha
Msanii wa filamu Rose Ndauka ambaye alikuwa mbioni kufunga ndoa na mzazi mwenzake, msanii wa kundi la TNG, Malick Bandawe maarufu kama King Chiwaman wameachana kutokana na kutoelewana ndani ya mahusiano yao. Rose Ndauka na Chiwaman Akizungumza na bongo5 leo, Rose amesema wamejaribu kukaa chini na kuyaweka sawa mahusiano yao lakini imeshindika na kuona sulihisho […]
10 years ago
GPLALIYEKUWA MCHUMBA WA ROSE NDAUKA, MALICK BANDAWE ATEMBELEA GPL, AFUNGUKA KISA CHA KUACHANA NA ROSE
Mwanamuziki Chiwa Malick Bandawe wakati akihojiwa na Global TV Online leo. Malick akijibu baadhi ya maswali ya wanahabari wakati akihojiwa na Global TV Online.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycFhwt31oy7U4ORJMENKY9BM6cqo15IegDzbC7n1d97ePI0XcoH-v985NhQeTjaCBff5nAQq5UdcSNLl6xS5qoLU/rose.jpg)
ROSE NDAUKA HAKAMATIKI
Stori: Musa Mateja
Acha kabisa! Baada ya kuachana na aliyekuwa mchumba’ke, Malick Bandawe kisha kurudi kwao, Kigogo jijini Dar, staa grade one wa Bongo Movies, Rose Donatus Ndauka anadaiwa hivi sasa hakamatiki hivyo hakauki viwanja. Staa grade one wa Bongo Movies, Rose Donatus Ndauka akiinjoi uhuru wa kuwa 'Single' Viwanja. Uchunguzi wa Ijumaa Wikienda ambalo limekuwa likimnyatia kwa ukaribu Rose unaonesha kwamba tangu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u325ipbpd7r6sNXtBn71TOLW-G0NnokLcITIabRTPB5gbLawG4qmRtpa7BNIp5PYtKdfLreQ*DhJGaNWun1hd2pfvUVylc2O/rose.jpg?width=650)
ROSE NDAUKA AJIFUNGUA
Stori: Imelda Mtema
STAA wa filamu Bongo, Rose Ndauka amejifungua mtoto wa kike kwa njia ya upasuaji mwanzoni mwa wiki hii katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili iliyopo jijini Dar. Rose Ndauka. Akizungumza na gazeti hili, Rose Ndauka alisema anamshukuru sana Mungu kwa kumjaalia kujifungua salama huku mwanaye huyo akiwa na afya njema. “Ki ukweli kabisa namshukuru sana Mungu kwa zawadi ya mtoto kwa maana nimejifungua...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*54juLYOTrMJxrKNqOuR-M4fDCPv1x9H*oBGThNbC4V1h-jNEeF2F7BAgNmz*LDit-JsHLN2opGnrrt6IZYC9IDVNyeDzY3v/GGGGHVV.jpg?width=650)
ROSE NDAUKA, MANECKY LAIVU!
BRIGHTON MASALU
MAHABA niue! Staa wa sinema za Kibongo, Rose Donatus Ndauka na Prodyuza wa Lebo ya AM Records, Emmanuel Saimon Sawando ‘Manecky’ wamenaswa ‘laivu’ wakiwa katika mapozi ya kimahaba mazito jambo lililozua minong’ono miongoni mwa wengi. Staa wa sinema za Kibongo, Rose Donatus Ndauka akiwa na Prodyuza wa Lebo ya AM Records, Emmanuel Saimon Sawando ‘Manecky’. Tukio hilo...
11 years ago
GPLROSE NDAUKA ASAFISHA JIJI
Wakitoka kwenye viwanja vya mnazi mmoja kuelekea Lumumba kuanza kazi. Meya wa wilaya ya Ilala, Jerry Slaa akiwa kazini. Wakiwa…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania