Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bayo Na Imbori -30

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Akiwa kwenye chumba katika uangalizi maalumu Hospitali, Imbori anachomwa sindano yenye madini ya chumvi-sumu yaitwayo Acetate ukiwa ni mchongo alioupanga Josephine kwa lengo la kummaliza msichana huyo baada ya kuponea chupuchupu alipopigwa risasi.Tambaa nayo…

MADINI ya chumvi-sumu aliyochomwa Imbori yanasambaa kwenye mwili wake, kwa kasi ya ajabu anapoteza kiwango kikubwa cha maji kiasi kwamba hata Dk. Donard Mand alipokwenda kumjulia hali alishangazwa na upungufu...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

New Music: Bayo The Great — Kitimtim

5a9baf06-53aa-486f-a224-e9ae2a0258c0

Ngoma mpya ya rapper Bayo The Great ‘Kitimtim’ iliyotayarishwa na Mesen Selekta. Kwenye ngoma hii Bayo ameonesha uwezo wake mkubwa wa dancehall na beat yenye ladha ya Kitanzania inaupendezesha zaidi.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

New Music: Bayo – Tell Me (Cardiac Bass Riddim)

dogo

Hii ni riddim mpya kutoka kwa msanii Bayo, ngoma inaitwa Tell Me. Riddim iliyotumika ni cardiac bass ambayo baadhi ya hit song kutoka kwenye riddim hiyo ni pamoja na Paper Loving ya Chris Martin, Up ya Alaine, Before I Leave ya Jah Cure na nyingine nyingi. Enjoy.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Bongo5

Wasanii waliofanikiwa kimataifa wawe tayari kuwapa wengine ‘connection’ — Bayo

Rapper na msanii wa dancehall, Bayo amekiri kuwa muziki wa Tanzania umefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika jukwaa la kimataifa lakini ametaka wasanii waliotangulia kuwa tayari kuwaonesha njia wasanii wengine pia. Bayo ambaye pia ni mfanyakazi wa taasisi isiyo ya kiserikali inayojihusisha na masuala ya vijana visiwani Zanzibar amesema kwa kufanya hivyo Tanzania itakuwa na wawakilishi […]

 

5 years ago

Michuzi

BAYO:OLE WAKE ATAKAYEKAMATWA ANASHIRIKI KILIMARATHON BILA KUWA NA NAMBA SHERIA ITAKUSHUGHULIKA NAE


Pichani ni Mratibu na Mkurugenzi wa mbio za Kilimarathon John Bayo



Na Vero Ignatus,Arusha.

Tahadhari imetolewa kwa wakimbiaji wa mbio za KiliMarathoni ambao wanatumia namba zilizokwisha kutumika miaka iliyopita kuacha mara moja kwani jambo hilo halitafungiwa macho bali sheria itachukua mkondo wake.

Akizungumza Mratibu na Mkurugenzi wa mbio hizo John Bayo alisema kuwa tabia hiyo siyo njema kwani inawanawanyima huduma wale wote waliolipia namba hizo kwaajili ya mbio 2020

‘’Mwaka jana tulipata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani