BAYO:OLE WAKE ATAKAYEKAMATWA ANASHIRIKI KILIMARATHON BILA KUWA NA NAMBA SHERIA ITAKUSHUGHULIKA NAE
Pichani ni Mratibu na Mkurugenzi wa mbio za Kilimarathon John Bayo
Na Vero Ignatus,Arusha.
Tahadhari imetolewa kwa wakimbiaji wa mbio za KiliMarathoni ambao wanatumia namba zilizokwisha kutumika miaka iliyopita kuacha mara moja kwani jambo hilo halitafungiwa macho bali sheria itachukua mkondo wake.
Akizungumza Mratibu na Mkurugenzi wa mbio hizo John Bayo alisema kuwa tabia hiyo siyo njema kwani inawanawanyima huduma wale wote waliolipia namba hizo kwaajili ya mbio 2020
‘’Mwaka jana tulipata...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo26 Feb
MBUNGE KENYA AMFUKUZA KAZI MFANYAKAZI WAKE BAADA YA KUKATAA KUFANYA NAE MAPENZI
![Susan Wambui Maina](http://www.hekaheka.com/wp-content/uploads/2015/02/SUSAN-WAMBUI.jpg)
![Juja MP Francis Munyua Waititu](http://www.hekaheka.com/wp-content/uploads/2015/02/index2.jpg)
Sacking people through texts its nothing new.
Recently Juja MP Francis Munyua Waititu sacked one of his employees Susan Wambui through text.
But that is not the shocking part…
The Juja Member of Parliament is believed to have demanded sex from Wambui and when she did not agree to his demands, he gave her the sack via text.
Wambui who works as a secretary at the Juja CDF Offices shared the texts sent to her by the Juja MP on...
5 years ago
BBCSwahili24 Feb
Albamu ya Justin Bieber ya 'Changes' yavunja rekodi kuwa namba moja
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bf3qBTWMVA*kjR3rCT8Ofjy6LC8aBLDcEg1nJWu5tg2po5nysR3FKGDS03g6Y-TmlYBZWH-cOMR2-Dou9RJCmS3UT*MfZzS4/REHEMA.jpg?width=650)
LULU: OLE WAKE MTU AMFUATE BWANA’NGU
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-AKYztlnEv-U/VKI0eEHcyfI/AAAAAAADTYM/rI3EafiYGZk/s72-c/Police-Coach-Goran-warns-LLB-to-expect-fightback-in-Kigali.png)
BAADA YA MAXIMO, SASA PHILI SIMBA OUT NA HUYU NDIYO MRITHI WA WAKE NAE SIJUI ATADUMU SIMBA NA YANGA NI SHIDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-AKYztlnEv-U/VKI0eEHcyfI/AAAAAAADTYM/rI3EafiYGZk/s1600/Police-Coach-Goran-warns-LLB-to-expect-fightback-in-Kigali.png)
Phiri raia wa Zambia amesema ni suala la kawaida kumtokea kocha, hivyo hana kinyongo na uongozi wa klabu hiyo.
"Wamenitaarifu kuhusiana na kuachishwa kazi, hili si jambo jipya, ingawa niliona tungeweza kubadilisha mambo.
"Najua Simba wanataka kufanya vizuri, hivyo siwezi kumlaumu mtu na utaona mwendo wa timu yetu ulivyokuwa," alisema Phiri.
Phiri amesema anasubiri kiasi cha fedha alichokuwa anadai ambacho hakueleza...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JfVNsmuxaGw/Uwp1L3igGrI/AAAAAAAFPLI/OgF3oLDRMAU/s72-c/IMG_1823.jpg)
10 years ago
Bongo512 Jan
Mtu ahack namba ya simu ya AY, awaomba mamilioni watu wake wa karibu
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/BEN-POL-1.jpg?width=650)
BEN POL AFUNGUKIA UHUSIANO WAKE NA MISS TANZANIA NAMBA 2, PART 1
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/nl24sNjFx74/default.jpg)
11 years ago
GPLUTII WA SHERIA BILA SHURUTI BADO NI TATIZO