Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAYO:OLE WAKE ATAKAYEKAMATWA ANASHIRIKI KILIMARATHON BILA KUWA NA NAMBA SHERIA ITAKUSHUGHULIKA NAE


Pichani ni Mratibu na Mkurugenzi wa mbio za Kilimarathon John Bayo



Na Vero Ignatus,Arusha.

Tahadhari imetolewa kwa wakimbiaji wa mbio za KiliMarathoni ambao wanatumia namba zilizokwisha kutumika miaka iliyopita kuacha mara moja kwani jambo hilo halitafungiwa macho bali sheria itachukua mkondo wake.

Akizungumza Mratibu na Mkurugenzi wa mbio hizo John Bayo alisema kuwa tabia hiyo siyo njema kwani inawanawanyima huduma wale wote waliolipia namba hizo kwaajili ya mbio 2020

‘’Mwaka jana tulipata...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE KENYA AMFUKUZA KAZI MFANYAKAZI WAKE BAADA YA KUKATAA KUFANYA NAE MAPENZI

Susan Wambui MainaJuja MP Francis Munyua Waititu       Susan Wambui Maina              Juja MP Francis Munyua Waititu
Sacking people through texts its nothing new.
Recently Juja MP Francis Munyua Waititu sacked one of his employees Susan Wambui through text.

But that is not the shocking part…
The Juja Member of Parliament is believed to have demanded sex from Wambui and when she did not agree to his demands, he gave her the sack via text.
Wambui who works as a secretary at the Juja CDF Offices shared the texts sent to her by the Juja MP on...

 

5 years ago

BBCSwahili

Albamu ya Justin Bieber ya 'Changes' yavunja rekodi kuwa namba moja

Albamu ya saba ya Justin Bieber ya 'Changes' imeibuka nambari moja kwenye chati ya Billboard na kupiku rekodi iliyowekwa na Elvis Preseley miaka 59 iliyopita.

 

11 years ago

GPL

LULU: OLE WAKE MTU AMFUATE BWANA’NGU

Stori: Gladness Mallya YELEUUWI! Msanii asiyeishiwa matukio Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ amewatemea cheche wanaomnyemelea mpenzi wake aliyemtaja kwa jina moja la Amani, akiwataka waache mara moja kwani akiwagundua atawatembezea kichapo. Aunty Lulu. Akipiga stori na mwanahabari wetu, Aunty Lulu aliweka ‘pleini’ kuwa ameshatonywa baadhi ya majina ya wanawake japokuwa hana uhakika kama ni kweli...

 

10 years ago

Vijimambo

BAADA YA MAXIMO, SASA PHILI SIMBA OUT NA HUYU NDIYO MRITHI WA WAKE NAE SIJUI ATADUMU SIMBA NA YANGA NI SHIDA

Kocha Patrick Phiri amesema ametaarifiwa kuhusiana na kibarua chake kusitishwa.
Phiri raia wa Zambia amesema ni suala la kawaida kumtokea kocha, hivyo hana kinyongo na uongozi wa klabu hiyo.
"Wamenitaarifu kuhusiana na kuachishwa kazi, hili si jambo jipya, ingawa niliona tungeweza kubadilisha mambo.
"Najua Simba wanataka kufanya vizuri, hivyo siwezi kumlaumu mtu na utaona mwendo wa timu yetu ulivyokuwa," alisema Phiri.
Phiri amesema anasubiri kiasi cha fedha alichokuwa anadai ambacho hakueleza...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Bongo5

Mtu ahack namba ya simu ya AY, awaomba mamilioni watu wake wa karibu

Mtu asiyejulikana amehack namba ya Tigo ya AY na kuanza kuwaomba mamilioni watu wake wa karibu. AY ambaye kwa sasa yupo jijini Nairobi, Kenya, ameiambia Bongo5 kuwa anashangaa kugundua kuwa namba yake ya simu inapatikana wakati chip anayo yeye na haipo kwenye simu. Fundi Frank ni miongoni mwa marafiki wa AY walioombwa fedha na mtu […]

 

9 years ago

GPL

BEN POL AFUNGUKIA UHUSIANO WAKE NA MISS TANZANIA NAMBA 2, PART 1

Ben Pol katika pozi kwenye studio za Global TV Online. MUZIKI wa Bongo Fleva unazidi kuchana mawingu kila kunavyokucha, ambapo ukizungumzia wasanii wanaotoa mchango mkubwa katika muziki huo ni vigumu sana katika ‘listi’ yako kumsahau mkali wa RnB, Benard Paul ‘Ben Pol’. Alianza gemu mwaka 2010 baada ya kutoka na kibao cha Nikikupata, baada ya hapo amewika kwa vibao vikali vingi kama vile, Jikubali,...

 

11 years ago

GPL

UTII WA SHERIA BILA SHURUTI BADO NI TATIZO

Dereva bodaboda akiwa mikononi mwa polisi baada ya kuwakimbia na baadaye kunaswa. Dereva huyo akiwa chini ya ulinzi. DOGO mmoja ambaye ni dereva wa bodaboda amejikuta akimaliza siku vibaya baada ya kukiuka sheria za usalama barabarani na kuwakimbia polisi ambao walimtolea uvivu kwa kumkimbiza na baadaye kufanikiwa kumtia mikononi. (Picha zote na Gabriel… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani