Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New Music: Bayo – Tell Me (Cardiac Bass Riddim)

dogo

Hii ni riddim mpya kutoka kwa msanii Bayo, ngoma inaitwa Tell Me. Riddim iliyotumika ni cardiac bass ambayo baadhi ya hit song kutoka kwenye riddim hiyo ni pamoja na Paper Loving ya Chris Martin, Up ya Alaine, Before I Leave ya Jah Cure na nyingine nyingi. Enjoy.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

New Music: Bayo The Great — Kitimtim

5a9baf06-53aa-486f-a224-e9ae2a0258c0

Ngoma mpya ya rapper Bayo The Great ‘Kitimtim’ iliyotayarishwa na Mesen Selekta. Kwenye ngoma hii Bayo ameonesha uwezo wake mkubwa wa dancehall na beat yenye ladha ya Kitanzania inaupendezesha zaidi.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Steve RnB — Pole Pole (Tropical Riddim)

Baada ya tour ndefu za nje ya nchi akiwa na bendi ya In Africa, mwimbaji wa RnB Tanzania, leo September 18th, 2014, ameachia single yake mpya inayoitwa ‘Pole Pole’ ambayo iko kwenye midundo ya Reggae (Tropical Riddim). Isikilize

 

10 years ago

BBC

Made in Ghana, bass-ed in London

The Ghanaian sound gets remixed for UK dance floors

 

9 years ago

Global Publishers

Bayo Na Imbori -30

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Akiwa kwenye chumba katika uangalizi maalumu Hospitali, Imbori anachomwa sindano yenye madini ya chumvi-sumu yaitwayo Acetate ukiwa ni mchongo alioupanga Josephine kwa lengo la kummaliza msichana huyo baada ya kuponea chupuchupu alipopigwa risasi.Tambaa nayo…

MADINI ya chumvi-sumu aliyochomwa Imbori yanasambaa kwenye mwili wake, kwa kasi ya ajabu anapoteza kiwango kikubwa cha maji kiasi kwamba hata Dk. Donard Mand alipokwenda kumjulia hali alishangazwa na upungufu...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

TheCitizen

LAKE ZONE: Dawn in cardiac surgery

MWANZA.Bugando Medical Centre (BMC)has officially begun performing open heart surgeries and other complicated operations, a big relief to patients who earlier sought the services outside the country.

 

9 years ago

Bongo5

Wasanii waliofanikiwa kimataifa wawe tayari kuwapa wengine ‘connection’ — Bayo

Rapper na msanii wa dancehall, Bayo amekiri kuwa muziki wa Tanzania umefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika jukwaa la kimataifa lakini ametaka wasanii waliotangulia kuwa tayari kuwaonesha njia wasanii wengine pia. Bayo ambaye pia ni mfanyakazi wa taasisi isiyo ya kiserikali inayojihusisha na masuala ya vijana visiwani Zanzibar amesema kwa kufanya hivyo Tanzania itakuwa na wawakilishi […]

 

9 years ago

Michuzi

UFAHAMU VYEMA MOYO WAKO "CARDIAC ARRHYTHMIA"

‘Cardiac Arrhythmia’ ni pale mtu anapokuwa na mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida au yanayodunda sana. 

Mwili una mfumo asili wa umeme unaosaidia moyo kufanya kazi. Mfumo huu husababisha moyo kutanuka na kusinyaa ambapo husababisha damu kuingia na kutoka kwenye moyo; umeme kwa kawaida hufuata mkondo na mapigo ya moyo kwa kasi ya kawaida. 

Ingawa, kama mkondo wa kawaida wa umeme huu ukivurugwa moyo hushindwa kufanya kazi na kusababisha mapigo ya moyo ama kwenda taratibu sana, haraka sana au...

 

5 years ago

BBC

Burundi President Pierre Nkurunziza dies of 'cardiac arrest'

Burundi President Pierre Nkurunziza died suddenly after being admitted to a hospital on Saturday.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani