Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


#BBHotshots: Idris apeta, Samantha na Mr. 265 wayaaga mashindano

Mwakilishi wa Tanzania aliyesalia kwenye shindano la Big Brother Africa, Idris Sultan ataendelea kuipeperusha bendera ya nchi yake baada ya Jumapili hii kuokolewa na kura za mashabiki barani kote. Hata hivyo Idris anaweza akawa amejeruhiwa kwa mara ya kwanza baada ya rafiki yake wa karibu, Samantha wa Afrika Kusini kuondolewa. Mrembo huyu ameungana na mwakilishi […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Idris Sultan: Mimi na Samantha tumeachana

IdrisSamantha1

Idris Sultan na Samantha wa Afrika Kusini hawapo tena pamoja – kwa mujibu wa mshindi huyo wa Big Brother Africa 2014.

IdrisSamantha1

Akiongea Jumapili, November 15 kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM, Idris alithibitisha kuwa uhusiano wao umeshavunjika.

Samantha na Idris walikuwa wamefika mbali zaidi kwenye uhusiano wao kiasi cha mrembo huyo waliyefahamiana kwenye shindano hilo kuja Tanzania na kuishi na Idris kwa wiki kadhaa.

11351782_200458186953510_849931754_n
Idris akiwa na mtangazaji wa kipindi cha The Playlist, Lil Ommy

“It’s...

 

10 years ago

TheCitizen

SEEN&HEARD: Idris and Samantha are the toast of Dar

>One week after Idris joined the millionaire’s club after winning the BBA Hotshots in South Africa, the 21-year old has scored on another front.

 

5 years ago

Michuzi

Stanbic Tanzania yatoa afueni ya madeni kwa wateja zaidi ya 265

Kufuatia athari za kiuchumi zilizosababishwa na mlipuko wa ugonjwa wa kirusi cha Corona (COVID-19) benki ya Stanbic Tanzania imetangaza kutoa unafuu wa malipo ya mikopo kwa wateja wake kwa muda wa miezi 3 hadi 6. Afueni hiyo ya malipo iliyoanza mwezi Aprili ikilenga sekta ya utalii pekee, hivi sasa imeongezwa na kulenga sekta zingine kama vile usafirishaji, nishati na wafanyabiashara wa kati na wadogo. 
Hatua hiyo ni sehemu ya mikakati endelevu yenye lengo la kuwawezesha wateja wa benki hiyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Magese apeta BET

Miss Tanzania 2001, Millen Magese amenyakuwa tuzo ya heshima ya BET (Global Good) kutokana na misaada anayotoa kwa jamii kupiga vita ugonjwa wa maumivu wakati wa hedhi (Endometriosis).

 

9 years ago

Habarileo

Manji akatwa, Fella apeta

MWENYEKITI wa klabu ya Yanga, Yusuf Manji ameenguliwa kuwania kugombea nafasi ya udiwani kata ya Mbagala Kuu huku msimamizi wa kazi za wasanii Saidi Fella akipitishwa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Nyalandu apeta kura za maoni CCM

DSC00960

Katibu wa CCM Singida vijijini. Mwanamvua Khamisi Killo, akitangaza matokeo ya uchaguzi ubunge jimbo la Singida kaskazini.(Picha zote na Nathaniel Limu). 

DSC00971

Mgombea ubunge jimbo la Singida kaskazini CCM, Lazaro Samwel Nyalandu, akiwashukru baadhi ya wapiga wake kwa kumpa kura za kutosha.Nyuma ni mke wake Faraja Kotta.

DSC00955

Mgombea ubunge jimbo la Singida kaskazini kupitia CCM, Lazaro Samwel Nyalandu,akibebwa juu juu na wapiga kura na mashabiki wake kwenye viwanja vya CCM mkoa.

DSC00954

Lazaro Samwel...

 

11 years ago

BBC

The search for Samantha Lewthwaite

The search for 7/7 bomber's wife, Samantha Lewthwaite

 

10 years ago

GPL

SAMANTHA WA BBA KUTUA DAR

Mshiriki wa BBA kutoka Afrika Kusini, Samantha. SAMANTHA KUTUA DAR: Mshiriki wa BBA kutoka Afrika Kusini, Samantha leo anatarajiwa kutua nchini kuungana na mshindi wa Mil. 514 za shindano hilo, Idris Sultan!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani