Magese apeta BET
Miss Tanzania 2001, Millen Magese amenyakuwa tuzo ya heshima ya BET (Global Good) kutokana na misaada anayotoa kwa jamii kupiga vita ugonjwa wa maumivu wakati wa hedhi (Endometriosis).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-8p0Y_KYDSwo/VVuRRG86atI/AAAAAAAABjQ/VxVu04JSZxE/s72-c/Millen-Happiness-Magese.jpg)
MILLEN MAGESE KUIWAKILISHA TANZANIA KWENYE BET AWARDS 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-8p0Y_KYDSwo/VVuRRG86atI/AAAAAAAABjQ/VxVu04JSZxE/s400/Millen-Happiness-Magese.jpg)
9 years ago
Habarileo17 Aug
Manji akatwa, Fella apeta
MWENYEKITI wa klabu ya Yanga, Yusuf Manji ameenguliwa kuwania kugombea nafasi ya udiwani kata ya Mbagala Kuu huku msimamizi wa kazi za wasanii Saidi Fella akipitishwa.
10 years ago
Dewji Blog04 Aug
Nyalandu apeta kura za maoni CCM
Mgombea ubunge jimbo la Singida kaskazini CCM, Lazaro Samwel Nyalandu, akiwashukru baadhi ya wapiga wake kwa kumpa kura za kutosha.Nyuma ni mke wake Faraja Kotta.
Mgombea ubunge jimbo la Singida kaskazini kupitia CCM, Lazaro Samwel Nyalandu,akibebwa juu juu na wapiga kura na mashabiki wake kwenye viwanja vya CCM mkoa.
Lazaro Samwel...
10 years ago
Bongo516 Nov
#BBHotshots: Idris apeta, Samantha na Mr. 265 wayaaga mashindano
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
Hassan Mazala apeta kura za maoni CCM jimbo la Singida mjini
Mshindi wa kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kuwania nafasi ya Ubunge jimbo la Singida Mjini, Hassan Mazala akiwa katika moja ya shughuli za kuimalisha chama ndani ya jimbo hilo la Singida mjini (Picha na Maktaba ya modewjiblog).
Modewjiblog team
(Singida). Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa (MNEC) Manispaa ya Singida, Hassan Mazala ameweza kupenya kwenye kinyang’anyiro cha kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika kuwania Ubunge Jimbo la Singida Mjini, kwa...
9 years ago
Mwananchi14 Aug
Dokta Seif aanguka Rufiji, Silaa apeta Ukonga kura za maoni CCM
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bZNJW1evZi8/Vb4j1mxCyzI/AAAAAAAHtUU/K53pP31nYM0/s72-c/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
Diwani Muhidini Bunaya Sanya aka "JEMBE LA MPINI WACHUMA' wa Kata ya Kimbiji apeta
![](http://2.bp.blogspot.com/-bZNJW1evZi8/Vb4j1mxCyzI/AAAAAAAHtUU/K53pP31nYM0/s640/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-D5NJaF0WwB8/U4xbas_qRLI/AAAAAAAFnOg/GmBQwztGzeg/s72-c/unnamed+(26).jpg)