Behind the scenes: Picha 15 za shooting ya video ya wimbo wa Victoria Kimani f/ Diamond & Ommy Dimpoz-Prokoto
Hizi ni picha za ‘behind the scenes’ za uchukuaji wa video ya wimbo wa muimbaji wa Kenya, Victoria Kimani uitwao ‘Prokoto’, ambao kawashirikisha Ommy Dimpoz na Diamond. Video ilifanyika Ijumaa (July 11) jijini Dar es salaam na kuongozwa na director wa Kenya Kevin Bosco.
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL28 Aug
11 years ago
GPL14 May
10 years ago
Bongo514 Aug
New Video: Victoria kimani aachia video ya ‘Prokoto’ aliyoshoot Tanzania na kuwashirikisha Diamond na Dimpoz
Mwimbaji wa Kenya, Victoria Kimani ameachia video yake mpya ya ‘Prokoto’ aliyowashirikisha mastaa wa Bongo Diamond Platnumz pamoja na Ommy Dimpoz. Victoria ambaye pia yuko chini ya label ya Chocolate City ya Nigeria wiki chache zilizopita alimleta director wa Kenya, Kevin Bosco Jr na kushoot ‘Prokoto’ katika mazingira ya Dar es salaam. Audio imefanywa na […]
10 years ago
Bongo516 Sep
Behind The Scenes: Utengenezwaji wa video ya Ommy Dimpoz ‘Ndagushima’ Uingereza
Sina shaka umeshaitazama video ya Ommy Dimpoz ‘Ndagushima’ iliyofanyika nchini Uingereza na kuongozwa na director Mnigeria Mr. Moe Musa. Hii ni ‘behind the scenes’, wakati wa utengenezwaji wa video hiyo ambayo baada ya kukamilika kwa mara ya kwanza ilianza kuoneshwa Exclusive na kituo cha kimataifa cha MTV Base.
9 years ago
Bongo501 Oct
Picha: Huyu ndio msanii wa Kenya aliyemshirikisha Diamond baada ya Victoria Kimani
Collabo ya mwisho ya Diamond Platnumz na msanii wa Kenya ni ile aliyoshirikishwa na Victoria Kimani kwenye wimbo Prokoto alikuwemo Ommy Dimpoz pia. Akothee na Diamond wakiwa studio Baada ya hapo, Diamond amekuwa akifanya ngoma na wasanii wa Nigeria, Afrika Kusini na Marekani zaidi. Hata collabo na wasanii wenzake wa Bongo zimekuwa za nadra pia […]
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/mGytmWX5VY4/default.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania