BENJAMIN MKAPA AMNADI JK JIKUMBUSHE HII
![](http://img.youtube.com/vi/2v0MPflnlm8/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 Aug
Taasisi Benjamin Mkapa yakusanya bil. 1/-
TAASISI ya Benjamini Mkapa HIV/AIDS Foundation (BMAF) imekusanya zaidi ya Sh bilioni 1.3 ikiwa ni fedha taslimu pamoja na ahadi katika harambee iliyofanyika jijini hapa kwa ajili ya mradi wa kuimarisha huduma za afya.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/BKlpQyeV1_k/default.jpg)
10 years ago
Michuzi11 Jan
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XpK_uEuFGow/XnudcjoHuAI/AAAAAAALlC0/gw9bEcOK8LElZ9rTMUlLOmNneYydGBRwACLcBGAsYHQ/s72-c/59474c04-0bd8-4b85-9bd3-1ac842b5a37b.jpg)
TAASISI YA BENJAMIN MKAPA YAMWAGA AJIRA 307 ZA WATUMISHI WA AFYA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-XpK_uEuFGow/XnudcjoHuAI/AAAAAAALlC0/gw9bEcOK8LElZ9rTMUlLOmNneYydGBRwACLcBGAsYHQ/s640/59474c04-0bd8-4b85-9bd3-1ac842b5a37b.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akieleza jambo wakati wa kikao na Waandishi wa habari, kilichofanyika Jinjini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/658735b0-7fae-4a05-8d4c-38422f40c5f4.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akiongea na Waandishi wa habari.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/414f7e28-ac98-4662-9c1e-f947fe20df8a.jpg)
Mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya Benjamin Mkapa Dkt. Ellen Mkondya akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa Habari, katika Mkutano ulioongozwa na Waziri wa Afya leo Jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/67a650b7-10e6-40a9-a68d-b1e5c5f27311.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb0wEmiAmgzgN01Z2sYoL55lLclLS*6SyICPJ0oV9KQ9ooo6Du1IHREFW5PBzCeNQykCmytZb7o1E-WSQsbBwK79/1mkapanamagufuli.jpg?width=650)
RAIS MSTAAFU BENJAMIN MKAPA ALIPOMKABIDHI DK. MAGUFULI NAKALA ZA VITABU VYA HOTUBA ZAKE
Rais Mstaafu awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa (kushoto) akimkabidhi Dk. John Magufuli nakala za vitabu vya hotuba zake. Nakala za vitabu vya hotuba za Rais Mstaafu awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa alivyomkabidhi Magufuli .
Rais Mstaafu awamu ya Tatu Benjamin William…
11 years ago
Michuzi31 Jul
MARAIS WASTAAFU THABO MBEKI, FESTUS MOGAE NA BENJAMIN MKAPA WAKUTANA DAR ES SALAAM
![1a](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/1a2.jpg)
![2a](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/2a2.jpg)
10 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU BENJAMIN MKAPA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KATIKA MAZISHI YA MEJA JENERALI HERMAN LUPOGO
PICHA...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/1a2.jpg)
MARAIS WASTAAFU THABO MBEKI, FESTUS MOGAE NA BENJAMIN MKAPA WAKUTANA DAR ES SALAAM
Marais wastaafu Thabo Mbeki wa Afrika Kusini na Festus Mogae wa Botswana wakiigia kwenye chumba cha Mkutano katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam leo wakati wa mkutano wa mwaka wa Africa Readership Forum ulioandaliwa na Taasisi ya Uongozi Institute jijini Dar es salaam ambao ulikuwa unajadili changamoto mbalimbali zinazozikabili nchi za Afrika na kuangalia masuala mbalimbali ikiwa ni pamoja na hatua za kushughulikia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-n7DsnPd7bHU/XnNUUy2jTCI/AAAAAAALkbE/UO0ZoGFduZ4ff3k2lRHDJtMdqxsbaUXQwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B1.29.27%2BPM.jpeg)
MTAMBO WA KISASA WA KUVUNJA MAWE KWENYE MFUMO WA MKOJO BILA UPASUAJI WATUA HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA
Charles James, Globu ya JamiiHOSPITALI ya Benjamin Mkapa ya jijini Dodoma imezindua huduma ya kwanza ya kisiasa ya kuvunja mawe kwenye mfumo wa mkojo bila kufanya upasuaji.
Huduma hiyo imezinduliwa baada ya kuwasili kwa mtambo wa kisasa unaotumia mionzi katika kufanya huduma hiyo tofauti na awali ambapo wagonjwa walikua wakifanyiwa upasuaji.
Akizungumza na wandishi wa habari leo jijini Dodoma, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali hiyo, Dkt. Alphonce Chandika amesema huduma hiyo itafanyika kwa mara...
Huduma hiyo imezinduliwa baada ya kuwasili kwa mtambo wa kisasa unaotumia mionzi katika kufanya huduma hiyo tofauti na awali ambapo wagonjwa walikua wakifanyiwa upasuaji.
Akizungumza na wandishi wa habari leo jijini Dodoma, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali hiyo, Dkt. Alphonce Chandika amesema huduma hiyo itafanyika kwa mara...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania