Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Meet the Leader -- Interview with H.E. Benjamin Mkapa Former President o...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Voice Of America

Official: S. Sudan President, Rebel Leader to Meet in Tanzania


Voice of America
Official: S. Sudan President, Rebel Leader to Meet in Tanzania
Voice of America
NAIROBI—. An official in South Sudan's Foreign Ministry says President Salva Kiir is expected to meet with rebel leader Riek Machar in Tanzania. The meeting comes as the government and rebels continue talks to end a violent political conflict that has torn ...
South Sudan rivals meet in new bid to end civil warMiddle East Online
Warring South Sudan rivals meet in TanzaniaGlobalPost
Tanzania hosts S....

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Habarileo

Taasisi Benjamin Mkapa yakusanya bil. 1/-

TAASISI ya Benjamini Mkapa HIV/AIDS Foundation (BMAF) imekusanya zaidi ya Sh bilioni 1.3 ikiwa ni fedha taslimu pamoja na ahadi katika harambee iliyofanyika jijini hapa kwa ajili ya mradi wa kuimarisha huduma za afya.

 

5 years ago

Michuzi

TAASISI YA BENJAMIN MKAPA YAMWAGA AJIRA 307 ZA WATUMISHI WA AFYA.




Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akieleza jambo wakati wa kikao na Waandishi wa habari, kilichofanyika Jinjini Dodoma.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akiongea na Waandishi wa habari.

Mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya Benjamin Mkapa Dkt. Ellen Mkondya akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa Habari, katika Mkutano ulioongozwa na Waziri wa Afya leo Jijini Dodoma.



Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,...

 

11 years ago

GPL

RAIS MSTAAFU BENJAMIN MKAPA ALIPOMKABIDHI DK. MAGUFULI NAKALA ZA VITABU VYA HOTUBA ZAKE

Rais Mstaafu awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa (kushoto) akimkabidhi Dk. John Magufuli nakala za vitabu vya hotuba zake. Nakala za vitabu vya hotuba za Rais Mstaafu awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa alivyomkabidhi Magufuli .
Rais Mstaafu awamu ya Tatu Benjamin William…

 

11 years ago

Michuzi

MARAIS WASTAAFU THABO MBEKI, FESTUS MOGAE NA BENJAMIN MKAPA WAKUTANA DAR ES SALAAM

1aMarais wastaafu Thabo Mbeki wa Afrika Kusini na Festus Mogae wa Botswana wakiigia kwenye chumba cha Mkutano katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam leo wakati wa mkutano wa mwaka wa Africa Readership Forum ulioandaliwa na Taasisi ya Uongozi Institute jijini Dar es salaam ambao ulikuwa unajadili changamoto mbalimbali zinazozikabili nchi za Afrika na kuangalia masuala mbalimbali ikiwa ni pamoja na hatua za kushughulikia changamoto hizo.2aRais mstaafu wa wa Afrika Kusin Thabo Mbeki ...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS MSTAAFU BENJAMIN MKAPA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KATIKA MAZISHI YA MEJA JENERALI HERMAN LUPOGO

 Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa na mkewe wakiweka shada la maua katika kaburi la Meja Jenerali mstaafu, Herman Lupogo wakati wa mazishi yake katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Meja Lupogo alifariki Oktoba 19 katika hospitali ya Jeshi ya Lugalo. 
 Mke wa marehemu akiweka shada la maua. Familia ikiweka shada la maua. Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange akiweka shada la maua. Mashada ya maua yakiwekwa. Heshima kwa marehemu Meja Jenerali Herman Lupogo.
PICHA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani