BENKI KUU YA TANZANIA YAELEZA FAIDA ZA UWEKEZAJI KWENYE DHAMANA ZA SERIKALI
BENKI Kuu ya Tanzania (BOT) imeeleza azma yake ya kuendelea kuhamasisha taasisi za Umma, wawekezaji binafsi pamoja na kuweka jitihada za kuwawekea mfumo wawekezaji wadogo katika mwitikio wa uwekezaji wa dhamana za Serikali ambao una faida hasa katika kuongeza kipato na kutopoteza Fedha inayowekwa.
Akizungumza leo jijini Arusha katika semina inayotolewa kwa waandishi wa habari za Uchumi na Fedha, Meneja wa Idara ya Masoko na Fedha wa Benki kuu ya Tanzania (BoT), Lameck Kakulu amesema kuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Faida, changamoto za Mfuko wa Dhamana ya Uwekezaji
UWEKEZAJI ni dhana pana ambayo kila mtu anaweza kuitazama kulingana na shughuli anazozifanya. Mfano mzuri ni mzazi anapompeleka mtoto shule ni uwekezaji kwenye sekta ya elimu. Ili uwekezaji uweze kufanyika...
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Masoko ya fedha, dhamana za serikali na faida zake
ASILIMIA kubwa ya watanzania hawafahamu maana ya masoko ya fedha, soko la dhamana za serikali na faida zake, jambo linalowafanya wengi kuwekeza mamilioni ya fedha kwenye biashara ambazo mwisho wa...
11 years ago
MichuziWATANZANIA WASHAURIWA KUWEKEZA NA DHAMANA YA UWEKEZAJI TANZANIA
Wito Huo Umetolewa na Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano Kutoka Dhamana ya uwekezaji Tanzania Bwana Daudi Mbaga Wakati Akitoa Mada Kwenye Semina ya wafanyakazi Wanaokaribia Kustafu Inayoendelea Mkoani Morogoro.
Alisema Kwamba Watanzania Wengi huwa hawajui Nini Cha Kufanya Pindi Wanapostaafu Hali Inayosababisha Watanzania...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-VSWWKB7JosM/U6LlR_EG0SI/AAAAAAABA_g/tLyGZx6K34U/s72-c/g5.jpg)
MFUKO WA DHAMANA YA UWEKEZAJI TANZANIA (UTT) WAVUTIA WENGI KATIKA MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-VSWWKB7JosM/U6LlR_EG0SI/AAAAAAABA_g/tLyGZx6K34U/s1600/g5.jpg)
Ofisa Mafuzo wa Mfuko wa Dhamana ya Uwekezaji Tanzania (UTT), Hilder Lyimo akitoa maelezo kwa baadhi ya watu waliohudhuria Monesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, leo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-W0ZUJ834-G0/U6LEbvMBk0I/AAAAAAABA-A/1RBel3HXzug/s1600/g3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pdQ6kY_33W4/XnMxUXt7CGI/AAAAAAALkZ8/8TuBqBbszRAifZi-IWmVraN73LYba9BUwCLcBGAsYHQ/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wi0UxkVfhqE/Xufkt3ZLn7I/AAAAAAALt-E/-n5K7AVHqS0-7eppGtYWC0dSBYRRnsoFgCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
KAMATI YA BAJETI YAELEZA ILIVYOKUWA IKIWASILISHA MAOMBI KWA SERIKALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA MITANO KUOMBA KUONDOLEWA USHURU KWENYE CHUPA ZA MVINYO
![](https://1.bp.blogspot.com/-wi0UxkVfhqE/Xufkt3ZLn7I/AAAAAAALt-E/-n5K7AVHqS0-7eppGtYWC0dSBYRRnsoFgCLcBGAsYHQ/s400/maxresdefault.jpg)
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti kupitia kwa Mwenyekiti wa kamati hiyo Mashimba Ndaki amesema kwa miaka mitano sasa kamati hiyo imekuwa ikiwasilisha maombi serikalini ya kuondoa ushuru wa bidhaa kwa chupa zinazotumika kwa ajili ya kufungashia mvinyo unazalishwa nchini.
Akizungumza leo Juni 15,2020 Bungeni Mjini Dodoma Ndaki amesema kwa sasa chupa zinazoingizwa nchini zinatozwa ushuru wa bidhaa kwa asilimia 25, pamoja na tozo nyingine za serikali na hivyo...
9 years ago
MichuziMFUMO WA KIMTANDAO UNAOWEZESHA KUPOKEA NA KUHAMISHA MIAMALA YA KIFEDHA KUTOKA BENKI MOJA KWENDA NYINGINE UNAORATIBIWA NA BENKI KUU YA TANZANIA (BOT)
10 years ago
Zitto Kabwe, MB27 Nov
TAARIFA YA KAMATI KUFUATIA MATOKEO YA UKAGUZI MAALUM WA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KATIKA AKAUNTI YA TEGETA ESCROW ILIYOKUWA KATIKA BENKI KUU YA TANZANIA
TAARIFA YA KAMATI KUFUATIA MATOKEO YA UKAGUZI MAALUM WA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KATIKA AKAUNTI YA TEGETA ESCROW ILIYOKUWA KATIKA BENKI KUU YA TANZANIA
View this document on Scribd![](https://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3424&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HBMfMNDvNhw/VYlEa4KW8WI/AAAAAAAHiuI/4rmXXOIrqpY/s72-c/IMG_3150.jpg)
BENKI KUU YAIBUKA KIDEDEA KWENYE MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-HBMfMNDvNhw/VYlEa4KW8WI/AAAAAAAHiuI/4rmXXOIrqpY/s640/IMG_3150.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SXFrwKZ3-lI/VYlEhYXCX3I/AAAAAAAHiuY/EcZWRxegf8I/s640/IMG_3155.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0_c9cYqvnHc/VYlEeZ-N_cI/AAAAAAAHiuQ/9_3tt6q9F_w/s640/IMG_3160.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LmxJ7tXSh7g/VYlEp4SreHI/AAAAAAAHiug/lLw-WGe1w6c/s640/IMG_3158.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1u_G6KavRvc/VYlErOeoiII/AAAAAAAHiuo/hlR1Xw-Q29c/s640/IMG_3159.jpg)