Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Faida, changamoto za Mfuko wa Dhamana ya Uwekezaji

UWEKEZAJI ni dhana pana ambayo kila mtu anaweza kuitazama kulingana na shughuli anazozifanya. Mfano mzuri ni mzazi anapompeleka mtoto shule ni uwekezaji kwenye sekta ya elimu. Ili uwekezaji uweze kufanyika...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

BENKI KUU YA TANZANIA YAELEZA FAIDA ZA UWEKEZAJI KWENYE DHAMANA ZA SERIKALI

BENKI Kuu ya Tanzania (BOT) imeeleza azma yake ya kuendelea kuhamasisha taasisi za Umma, wawekezaji binafsi pamoja na kuweka jitihada za kuwawekea mfumo wawekezaji wadogo katika mwitikio wa uwekezaji wa dhamana za Serikali ambao una faida hasa katika kuongeza kipato na kutopoteza Fedha inayowekwa.

Akizungumza leo jijini Arusha katika semina inayotolewa kwa waandishi wa habari za Uchumi na Fedha, Meneja wa Idara ya Masoko na Fedha wa Benki kuu ya Tanzania (BoT), Lameck Kakulu amesema kuwa...

 

11 years ago

Michuzi

MFUKO WA DHAMANA YA UWEKEZAJI TANZANIA (UTT) WAVUTIA WENGI KATIKA MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

Watu waliofika katika banda la Mfuko wa Dhamana ya Uwekezaji Tanzania (UTT), wakimsikiliza Ofisa Masoko na Uhusiano wa Mfuko huo, Rahim Mwanga wakati wa Maonesho ya wiki ya Utumishi wa Umma.

Ofisa Mafuzo wa Mfuko wa Dhamana ya Uwekezaji Tanzania (UTT), Hilder Lyimo akitoa maelezo kwa baadhi ya watu waliohudhuria Monesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, leo. Elimu kuhusu mfuko wa Dhamana ya Uwekezaji ilitolewa kwa watu waliofika katika banda...

 

10 years ago

Vijimambo

Wizara ya Fedha ya kutana na uongozi wa Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) nakujadili jinsi ya kufanikisha awamu ya pili ya mfuko huo nchini Tanzania.

Katibu Mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue naye alikuwepo katika ujumbe huo.Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile akifurahia jambo na Mkuu wa mambo ya uchumi wa Mfuko wa changamoto za milenia. Wakiwa pamoja na Kamishna wa Fedha za Nje Bw. Saidi Ngosha Magonya.Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile akifurahia jambo na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue. Wakishuhudiwa na Bw. Abbas Abeid Missana...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Masoko ya fedha, dhamana za serikali na faida zake

ASILIMIA kubwa ya watanzania hawafahamu maana ya masoko ya fedha, soko la dhamana za serikali na faida zake, jambo linalowafanya wengi kuwekeza mamilioni ya fedha kwenye biashara ambazo mwisho wa...

 

11 years ago

Michuzi

WATANZANIA WASHAURIWA KUWEKEZA NA DHAMANA YA UWEKEZAJI TANZANIA

Watanzania Wameshauriwa Kuwekeza kwenye Mifuko Iliyo Chini ya Dhamana ya Uwekezaji Tanzania Kwa Lengo la Kuwekeza kwaajili ya Maisha mara Baada ya Kusataafu.
Wito Huo Umetolewa  na Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano Kutoka Dhamana ya uwekezaji Tanzania Bwana Daudi Mbaga Wakati Akitoa Mada Kwenye Semina ya wafanyakazi Wanaokaribia Kustafu Inayoendelea Mkoani Morogoro.
Alisema Kwamba Watanzania Wengi huwa hawajui Nini Cha Kufanya Pindi Wanapostaafu Hali Inayosababisha Watanzania...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Uwekezaji UTT AMIS na faida zake

WATANZANIA wengi wamepata mwamko wa kuwekeza fedha zao katika biashara mbalimbali lengo likiwa ni kujiongezea kipato na pia kuiongezea thamani fedha yao katika mzunguko. Katika makala haya, Mwandishi Wetu amefanya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Faida, changamoto za bioteknolojia

BIOTEKNOLOJIA ni njia muhimu ya kuchangia maendeleo katika sekta zote za uzalishaji ikiwemo kilimo. Pia bioteknolojia ni nyenzo mpya ya kuboresha sekta za mifugo, misitu na uzalishaji viwandani ili kukidhi...

 

10 years ago

Habarileo

Mkapa kuzindua mfuko wa dhamana wa UDOM

RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa leo anatarajiwa kuzindua Mfuko wa Dhamana na Bodi ya wadhamini ya mfuko huo wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).

 

10 years ago

Michuzi

MIFUKO YA UWEKEZAJI WA PAMOJA INAYOENDESHWA NA UTT AMIS YAPATA FAIDA KUBWA

Afisa Mwendeshaji Mkuu wa UTT AMIS Bw.Simon Migangala akiongea na waandishi wa habari jana Dar es salaam kuhusiana na ufanisi wa mifuko kwa kipindi cha miezi sita iliyopita.
UTT AMIS ndiyo waendeshaji na waanzilishi wa mifuko ya uwekezaji wa pamoja nchini.Mpaka sasa wanaendesha mifuko mitano ya uwekezaji ambayo ni Mfuko wa Umoja, Mfuko wa wekeza Maisha,Mfuko wa Watoto, Mfuko wa Kujikimu na Mfuko wa Ukwasi yenye zaidi ya shilingi bilioni 227.
Bwana Migangala aliwaambia waandishi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani