BENKI YA CRDB KUFANYA MKUTANO MKUU WA MWAKA MEI 10 JIJINI ARUSHA
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk.Charles Kimei akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha. Benki ya CRDB itafanyaka mkutano wake Mkuu wa Mwaka Mei 10 katika ukumbi wa AICC jijini Arusha. (Na Mpiga Picha Wetu)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Klvx9YpDpUs/VUsh9mKoCVI/AAAAAAABY80/bx0zT25HN30/s72-c/kimei.jpg)
BENKI YA CRDB KUFANYA MKUTANO WA ISHIRINI WA WANAHISA JIJINI ARUSHA
Kufuatia anguko la shilingi ya Tanzania dhidi ya dola wafanyabiashara nchini wametakiwa kuona kuwa ni fursa ya wao kijiinua kiuchumi katika biashara zao ndani na nje ya nchi na kuachana na propaganda za wanasiasa ambapo wanalalamikia anguko hilo.
Ambapo hali hiyo imesababisha kupanda kwa bidhaa mbalimbali nchini hali inayotajwa kuongeza ugumu wa maisha ya wananchi sambamba na wafanyabiashara nchini ambao wananunua na kuagiza bizaa kutika nje ya nchi. Hayo yameelezwa...
10 years ago
Dewji Blog07 May
Benki ya CRDB kufanya mkutano wa ishirini wa wanahisa Jijini Arusha kesho
Mkurugenzi mkuu wa Benki ya CRDB Dr,Charles Kimei akiongea na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari jijini Arusha akitoa taarifa ya mkutano mkuu wa ishirini wa wanahisa wa Benki ya Crdb unatarajia kufanyika kesho jijini Arusha. (Habari Picha na Pamela Mollel wa Jamiiblog).
Mkurugenzi mkuu wa Benki ya CRDB, Dr. Charles Kimei, akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari jijini Arusha. Kushoto ni Naibu Mkurugenzi mtendaji huduma mtambuka benki ya CRDB Bi.Esther...
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAFANYA MKUTANO MKUU WA 19 WA WANAHISA WAKE JIJINI ARUSHA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iUDbJ3bxk_k/XuDBFl8_D8I/AAAAAAALtVY/NjfVvh433r8h9cbKuDsLi6Fer1kuB9ZyACLcBGAsYHQ/s72-c/OTMI9922.jpg)
Benki ya CRDB yawaalika wanahisa katika Mkutano Mkuu wa kihistoria wa Mwaka 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-iUDbJ3bxk_k/XuDBFl8_D8I/AAAAAAALtVY/NjfVvh433r8h9cbKuDsLi6Fer1kuB9ZyACLcBGAsYHQ/s640/OTMI9922.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-R22LqxChqI4/XuDBFsVOghI/AAAAAAALtVg/vqu_zEVjkr0-78ito-coa-67i425AnTkQCLcBGAsYHQ/s640/OTMI9920.jpg)
10 years ago
Michuzi15 Oct
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5bvKHJAEhDA/VD438_kuBHI/AAAAAAACsyM/byStL-A7nEs/s72-c/IMG_3282.jpg)
MFUKO WA PENSHENI WA LAPF KUFANYA MKUTANO WA 7 WA MWAKA WA WADAU JIJINI ARUSHA OKTOBA 23-24,2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-5bvKHJAEhDA/VD438_kuBHI/AAAAAAACsyM/byStL-A7nEs/s1600/IMG_3282.jpg)
Mkutano huo utafanyika katika ukumbi wa Kimataifa wa mikutano (AICC),jijini Arusha.Bwa.Victor amesema kuwa kauli mbiu ya mkutano huo ni '' kusherehekea miaka 70 ya...
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YASHIRIKI KONGAMANO LA VIJANA LA BIASHARA LILILOANDALIWA NA TAASISI YA AIESEC JIJINI ARUSHA
Kongamano hilo lilihudhuriwa na Vijana kutoka katika Vyuo Vikuu vya nchi za Afrika Mashariki na kuandaliwa na Taasisi ya AIESEC ambalo hujihusisha na ubunifu wa vipaji vya uongozi miongoni mwa vijana lililofanyika jijini Arusha hivi karibuni katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Hall CDTI- TENGERU, Arusha...
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
ACT kufanya mkutano mkuu Novemba 20 mwaka huu
CHAMA Cha Alliance for Change and Transparance, (ACT-Tanzania), kinatarajia kufanya mkutano mkuu maalum wa Taifa wa chama hicho Novemba 20 mwaka huu. Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu Mkuu wa muda...
9 years ago
MichuziEFM NA BENKI YA DTB KUFANYA USAFI DESEMA 9 MWAKA HUU JIJINI DAR ES SALAAM
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10