MFUKO WA PENSHENI WA LAPF KUFANYA MKUTANO WA 7 WA MWAKA WA WADAU JIJINI ARUSHA OKTOBA 23-24,2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-5bvKHJAEhDA/VD438_kuBHI/AAAAAAACsyM/byStL-A7nEs/s72-c/IMG_3282.jpg)
Pichani (wa tatu kulia),Meneja Matekelezo Mfuko wa Pensheni wa LAPF,Bwa.Victor Kikoti akizungumza na Waandishi wa habari (hawapo pichani),mapema leo katika ofisi zao zilizopo jengo la Millenium Tower,Kijitonyama jijini Dar,kuhusiana na kufanyika kwa mkutano wao wa 7 wa mwaka wa wadau kuanzia Oktoba 23 mpaka 24, 2014.
Mkutano huo utafanyika katika ukumbi wa Kimataifa wa mikutano (AICC),jijini Arusha.Bwa.Victor amesema kuwa kauli mbiu ya mkutano huo ni '' kusherehekea miaka 70 ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi15 Oct
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eDy_eKOraz0/VBLpCMwrB1I/AAAAAAAGjPk/kYXGd4f4RX0/s72-c/48.jpg)
Mkutano wa 24 wa Mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF wamalizika leo jijini Arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-eDy_eKOraz0/VBLpCMwrB1I/AAAAAAAGjPk/kYXGd4f4RX0/s1600/48.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vHp4LaLQyXI/VBLpDLA-UHI/AAAAAAAGjPs/2zwdt20T8EI/s1600/46.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gRGbBT1KpXU/VBFwdaLT7WI/AAAAAAAGi2s/PJ5-65gdD3s/s72-c/34.jpg)
Mkutano wa 24 wa Mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF waendelea leo jijini Arusha
![](http://3.bp.blogspot.com/-gRGbBT1KpXU/VBFwdaLT7WI/AAAAAAAGi2s/PJ5-65gdD3s/s1600/34.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RW80Q5NYUic/VBFwf7J1YzI/AAAAAAAGi20/tofsf_tiJKs/s1600/35.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ap0pun8CbA8/VBA2U4xW1gI/AAAAAAAGieo/WOuzas9MBKU/s72-c/24.jpg)
Mkutano wa 24 wa Mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF waanza rasmi leo jijini Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ap0pun8CbA8/VBA2U4xW1gI/AAAAAAAGieo/WOuzas9MBKU/s1600/24.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TxdS1VylyJk/VBbdxUBhr_I/AAAAAAACq8Y/Uc9iC2f2CNg/s72-c/New%2BPicture.png)
Bilioni 3 kutumika mwaka wa masomo 2014 — 2015 kutoka mfuko wa pensheni wa LAPF kwa wanachama wake.
![](http://1.bp.blogspot.com/-TxdS1VylyJk/VBbdxUBhr_I/AAAAAAACq8Y/Uc9iC2f2CNg/s1600/New%2BPicture.png)
Bilioni 3 kutumika mwaka wa masomo 2014 – 2015 kutoka mfuko wa pensheni wa LAPF kwa wanachama wake.
15 Septemba 2014, Dodoma: Wanachama wa mfuko wa penseni wa LAPF kunufaika na fao jipya lilozinduliwa hivi karibuni nchini kwa Baraka zake Waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI Mh. Hawa Ghasia.
Fao hilo lijulikanalo kama ‘Piga Kitabu na LAPF’ limelenga kuwakopesha wanachama wa LAPF mikopo ya elimu ya juu kwani ni ombi la...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-K-tpVvH8QyE/VEfJY0b95oI/AAAAAAAGssY/wGNNaunROn8/s72-c/unnamed%2B(89).jpg)
Maadhimisho Ya Miaka 70 ya Mfuko wa Pensheni wa LAPF Kuanza Kesho Mjini Arusha
Akizungumza na waandishi wa habari leo mjini Arusha, Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF Bw. Eliud Sanga, amesema maadalizi yote ya mkutano huo, wenye kauli mbiu ya "Maadhimisho ya Miaka 70 ya Ukuaji na Huduma Bora, LAPF", yamekamilika ambapo utakwenda sambamba na maadhimisho ya miaka 70 tangu kuanzishwa kwa Mfuko...
10 years ago
Dewji Blog21 Feb
Waziri Hawa Ghasia azinduwa bodi mpya ya wadhamini ya Mfuko wa Pensheni wa LAPF, jijini Dar
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia akitoa hutuba yake wakati wa uzinduzi wa bodi mpya ua wadhamini ya Mfuko wa Pensheni wa LAPF Dar es Salaam jana.
Mwenyekiti wa Bodi ya Udhamini wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF Profesa, Hasa Mlawa, akizungumza katika hafla hiyo.
Waziri wa Kazi na Ajira Gaudentia Kabaka akichangia jambo kwenye uzinduzi huo.
Mkurugenzi Mkuu wa LAPF, Eliud Sanga akizungumza machache kwenye uzinduzi huo.
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB KUFANYA MKUTANO MKUU WA MWAKA MEI 10 JIJINI ARUSHA