BENKI YA DUNIA YAONYESHA NIA KUENDELEZA MRADI WA MABORESHO MAHAKAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-b-JH7iobJ5k/XleknJNE5iI/AAAAAAALfp0/w2megCSLcMM9HOPqsInwH4skkH_lbWbxwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Na Mary Gwera, Mahakama
Benki ya Dunia imeonyesha nia ya kuongeza fedha za mkopo kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Maboresho ya Huduma za Kimahakama kutokana na utekelezaji mzuri wa mradi huo katika kipindi cha awamu ya kwanza kinachotarajia kukamilika katika mwaka wa fedha 2020/2021.
Mahakama ya Tanzania na Benki ya Dunia ‘WB’ wamefanya mazungumzo juu ya mchakato wa maandalizi ya kuongeza muda na fedha kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Maboresho ya Huduma za Kimahakama.
Mazungumzo hayo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7CdsQHTv-AA/VZkQFKm7nkI/AAAAAAAHnDk/UOAAJGa4P20/s72-c/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
Benki ya Dunia Kanda ya Afrika yaridhishwa na maboresho ya miundombinu ya bandari ya Dar es Salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-7CdsQHTv-AA/VZkQFKm7nkI/AAAAAAAHnDk/UOAAJGa4P20/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
Benki ya Dunia yaridhishwa mradi wa DART
BENKI ya Dunia imeridhishwa na utekelezaji wa mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART), ambao upo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi). Akizungumza...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ELa_s2B9LbA/VYExNbu451I/AAAAAAAHgXs/g4q4Og1hfKo/s72-c/photo%2B1.jpeg)
WARSHA KATI YA MAHAKAMA NA UJUMBE KUTOKA BENKI YA DUNIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ELa_s2B9LbA/VYExNbu451I/AAAAAAAHgXs/g4q4Og1hfKo/s640/photo%2B1.jpeg)
10 years ago
MichuziBenki ya NBC Idara ya Uendeshaji wafanya mkutano kuweka mikakati ya kuendeleza benki
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
BENKI YA DUNIA YAZINDUA MRADI WA UCHIMBAJI MADINI KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA
10 years ago
Dewji Blog14 May
Mradi wa Maboresho Matumizi ya Fedha za Umma Wafanikiwa
Msemaji wa Wizara ya Fedha, Bi. Ingiahedi Mduma (wa kwanza kulia) akitoa ufafanuzi kwa wanahabari wanaoshiriki semina juu ya taarifa ya Mradi wa Maboresho ya Matumizi ya Fedha za Umma (PFMRP) mjini Kibaha. (Picha na Thehabari.com)
MRADI wa Maboresho ya Matumizi ya Fedha za Umma (PFMRP) umefanikiwa kuboresha nidhamu ya matumizi ya fedha za umma hasa katika eneo la ukaguzi wa fedha katika taasisi na idara mbalimbali za Serikali. Kauli hiyo imetolewa jana Mjini Kibaha na Msemaji wa Wizara ya...
10 years ago
Michuzi15 Sep
BENKI YA DUNIA NA SERIKALI IKISHIRIKIANA NA WAWEKEZAJI WAKUBWA WA MADINI WAZINDUA MRADI WA UCHIMBAJI MADINI KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA.
10 years ago
MichuziWIZARA YA FEDHA YAWAPA SEMINA WAANDISHI WA HABARI JUU YA MRADI WA MABORESHO YA MATUMIZI YA FEDHA ZA UMMA
Alisema kuwa Mpaka sasa mradi huo...
11 years ago
MichuziHEIFER INTERNATIONAL TANZANIA YAZINDUA MRADI MKUBWA WA KUENDELEZA SEKTA YA MAZIWA KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI