BENKI YA NBC YAFUTURISHA WATEJA WAKE MJINI ZANZIBAR
Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Kibenki zinazofuata misingi na kanuni za Kiislamu cha Benki ya NBC, Yassir Masoud (kushoto), Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi cha benki hiyo, Mussa Jallow na Ofisa Fedha Mkuu wa NBC, Jaffari Matundu (kushoto) wakishiriki kuchukua mlo wa futari pamoja na baadhi ya wateja wa benki hiyo mjini Zanzibar katika hafla ya futari iliyoandaliwa na NBC kwa wateja wake mjini humo juzi.
Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya NBC, Mussa Jallow (kushoto), akisalimiana...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
BENKI YA NBC YAFUTURISHA WATEJA WAKE MJINI ZANZIBAR
11 years ago
Michuzibenki ya NBC yafuturisha wateja wake jijini Dar
10 years ago
Vijimambo
BENKI YA CBA TANZANIA YAFUTURISHA WATEJA WAKE DAR





.MkurugenzI na Maofisa...
10 years ago
Michuzi
BENKI YA CBA TANZANIA YAFUTURISHA WATEJA WAKE DAR ES SALAAM





.MkurugenzI na Maofisa...
10 years ago
Michuzi
Benki ya NBC yandaa futari kwa wateja wake jijini Dar




11 years ago
Dewji Blog05 May
Benki ya NBC yatoa elimu ya kifedha kwa wateja mjini Morogoro na kufundisha watoto kusoma jijini Dar
Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Said Amanzi (kushoto) akipokea kitabu chenye mafundisho ya kifedha yanayofuata maadili ya kiiislamu kutoka kwa Meneja Tawi wa Benki ya NBC Morogoro, James Ndimbo wakati wa semina iliyoandaliwa kwa wateja wanaotumia huduma za kibenki zinafuata misingi ya kiislamu (NBC Islamic Banking ), iliyofanyika mjini humo hivi karibuni. Anayeangalia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) Mkoa wa Morogoro, Bachoo S. Bachoo.
11 years ago
Michuzi
Benki ya NBC yatoa elimu ya kifedha kwa wateja mjini Morogoro na kufundisha watoto kusoma jijini Dar


10 years ago
Michuzi
BENKI YA WATU WA ZANZIBAR (PBZ) YAFUTARISHA WANA FAMILIA WA BENKI HIYO NA WATEJA WAKE





11 years ago
Michuzi
BENKI YA EXIM YAWAANDALIA FUTARI WATEJA WAKE ZANZIBAR

Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko wa Zanzibar, Mhe. Nassor Mazrui (kulia) akizungumza wakati wa Iftari iliyoandaliwa na Benki ya Exim Tanzania Tawi la Zanzibar kwa ajili ya wateja wake hivi karibuni. Wengine kulia kwake ni baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo na wateja walioalikwa katika tukio hilo.
