Biashara ya nguo za ndani Zanzibar
BIASHARA ya nguo za ndani za mitumba, imeendelea visiwani hapa licha ya Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko, kuagiza biashara hiyo isitishwe mara moja.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo31 Jan
Zanzibar kupiga marufuku nguo za ndani za mitumba
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema nguo za ndani za mitumba zitapigwa marufuku mara baada ya kuanza kutekelezwa kwa sheria ya biashara ya mwaka 2013. Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Juma Duni Haji wakati akiwasilisha utekelezaji wa majukumu ya wizara yake kwa Kamati ya Biashara Fedha na Kilimo kwa mwaka 2014.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8uxEJer_S68/XmPAR6begOI/AAAAAAALhvQ/F-PMH6hoG-0GfiRJNjustggeewOFgWeggCLcBGAsYHQ/s72-c/29c5eeb7-df9e-4ed5-af74-f3cb5a87d074.jpg)
WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA INNOCENT BASHUNGWA ASHIRIKI MKUTANO WA JUKWAA LA KUMI LA BIASHARA ZANZIBAR.
Mkutano huo umefunguliwa Leo 07.03.2020 katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar na Mgeni rasmi alikuwa ni Mwenyekiti wa jukwaa la biashara na Rais wa Zanzibar Mhe .Dkt Ali Mohamed Shein ambae amefungua jukwaa hilo ambalo lengo kuu ni kutazama fursa...
11 years ago
BBCSwahili22 Jan
Mitumba ya nguo za ndani yazagaa TZ
10 years ago
BBCSwahili12 Dec
Nguo za ndani zinazowalinda wanaume
11 years ago
Habarileo27 Jan
Nguo za ndani zaingizwa kinyemela
NGUO za ndani za mtumba zinazouzwa hivi sasa katika masoko mbalimbali hapa nchini zimeingia hapa nchini kwa njia haramu hivyo wauzaji wadogo wanapaswa kuwataja mawakala wakubwa wanaoingiza nguo hizo.
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Nguo za ndani za mitumba zinauzwa Uganda
11 years ago
Habarileo27 Jan
Mbaroni kwa kuuza nguo za ndani
BAADHI ya wafanyabiashara katika masoko makubwa ya Memorial mjini Moshi, Unga Limited na Usa River mkoani Arusha wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuendelea kuuza nguo za ndani za mitumba zilizopigwa marufuku kutokana na kuwa na madhara kiafya.
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
TBS kuwasaka waingizaji wa nguo za ndani
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) litafanya operesheni ya kuwasaka wale wote wanaoingiza nguo za ndani za mitumba nchini. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili jana, Ofisa Mahusiano wa TBS, Roida Andusamile,...