Mbaroni kwa kuuza nguo za ndani
BAADHI ya wafanyabiashara katika masoko makubwa ya Memorial mjini Moshi, Unga Limited na Usa River mkoani Arusha wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuendelea kuuza nguo za ndani za mitumba zilizopigwa marufuku kutokana na kuwa na madhara kiafya.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo24 Jan
30 mbaroni kwa kuuza nguo za ndani za mitumba
WAFANYABIASHARA 30 wa nguo za ndani za mitumba wa jijini Arusha wamekamatwa kwa kufanya biashara hiyo kinyume cha sheria.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjWtQ4*9ufTcQyS6KcX91tK56-OIsxv6oWeXK4Orwb0BaaJY482y24iP6S3e4O1LX8gi64ZDoC-cs9PKe0JeR-MG/mbaroni.jpg)
MAMA MBARONI KWA KUMFUNGIA MWANAYE NDANI
11 years ago
CloudsFM12 Jun
WAGANGA WANAOWATIBU WATEJA WAO KWA KUFANYA NAO NGONO WAKAMATWA, WAKUTWA NA NGUO ZA NDANI 22 ZA WANAWAKE HAO
Polisi Mkoa wa Kinondoni, imewakamata vijana wawili wanaodaiwa kujifanya waganga wanaotoa tiba kwa wanawake, ambao masharti yake ni kushiriki nao ngono bila kinga na kuacha nguo za ndani, ili zifanyiwe dawa zaidi.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alidai vijana hao Juma Hemedi (32) na Abrahman Mulsin, wote wakazi wa Tandika, baada ya kushiriki ngono na wagonjwa wao huwaambia waache nguo za ndani.
Kamanda Kiondo...
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Mbaroni akidaiwa kuuza nyama ya binadamu
10 years ago
Vijimambo25 Mar
Mbaroni wakidaiwa kuuza mfupa wa albino milioni 3/-
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Henry-25March2015.jpg)
Jeshi la Polisi mkoani Kagera, limewatia mbaroni watu wawili kwa tuhuma za kukutwa na mifupa ya viungo vya mwanamke mwenye ulemavu wa ngozi
(albino), Zeulia Justus, aliyefariki dunia mwaka 2006 baada ya kujifungua mtoto katika kijiji cha Rushwa Kata Mshabago Tarafa ya Nshamba Wilaya ya
Muleba, mkoani Kagera.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe, aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni James Lutozi (66) na Emmanuel Karoli (50), wakazi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-a0oPnqdsDRY/U09qvFIk2rI/AAAAAAAFbco/7QqqkxsarzI/s72-c/unnamed+(80).jpg)
watu watatu mbaroni kwa kukutwa na bangi ndani ya basi la new force dodoma
![](http://2.bp.blogspot.com/-a0oPnqdsDRY/U09qvFIk2rI/AAAAAAAFbco/7QqqkxsarzI/s1600/unnamed+(80).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pqfbYhGJkxs/U09qvBT5DqI/AAAAAAAFbcw/Vi92WzBnyvU/s1600/unnamed+(81).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-N4sN91wd6w8/U09qvdy619I/AAAAAAAFbcs/8ZS_1MDZdEg/s1600/unnamed+(82).jpg)
11 years ago
Habarileo27 Jan
Nguo za ndani zaingizwa kinyemela
NGUO za ndani za mtumba zinazouzwa hivi sasa katika masoko mbalimbali hapa nchini zimeingia hapa nchini kwa njia haramu hivyo wauzaji wadogo wanapaswa kuwataja mawakala wakubwa wanaoingiza nguo hizo.
11 years ago
BBCSwahili22 Jan
Mitumba ya nguo za ndani yazagaa TZ