Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bilal, Magufuli, Kova waanguka na helikopta

VIONGOZI wanne wa kitaifa, wamenusurika kufa baada ya helikopta waliyopanda kwa ajili ya kukagua na kuangalia athari za mafuriko jijini Dar es Salaam, kuanguka wakati ikitaka kuruka. Helikopta hiyo ambayo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Bilal, Magufuli,Kova wanusurika kifo ajali ya helikopta Dar

>Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Ghalib Bilal amenusurika kifo katika ajali ya helikopta iliyoanguka katika Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam ilipokuwa ikiruka kwenda kukagua madhara ya mafuriko.

 

11 years ago

GPL

GHARIB BILAL, KOVA, SADICK WANUSURIKA KIFO AJALINI

Makamu wa Rais Dk. Gharib Bilal. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said…

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli akataa kutumia helikopta

MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema katika sehemu kubwa ya kampeni yake, atatumia zaidi usafiri wa barabara ili apate fursa ya kuzijua kwa karibu kero za wananchi katika maeneo mengi ya nchi.

 

9 years ago

Dewji Blog

Dkt. Magufuli ashiriki kutoa heshima za mwisho kwa marehemu Deo Filikunjombe na wenzake wawili waliofariki katika ajali ya Helikopta

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli  akitoa heshima za mwisho mbele ya majeneza ya aliyekuwa Mbunge wa Ludewa(CCM) Marehemu Deo Filikunjombe na wenzake wawili waliofariki katika ajali ya helikopta juzi katika pori la akiba la mbuga ya Selous. Marehemu aliagwa katika hospitali ya jeshi Lugalo jijini Dar es Salaam Oktoba 17, 2015.PICHA NA MICHUZI JR. Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha...

 

9 years ago

Michuzi

DKT MAGUFULI ASHIRIKI KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MAREHEMU DEO FILIKUNJOMBE NA WENZAKE WAWILI WALIOFARIKA KATIKA AJALI YA HELIKOPTA..

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli  akitoa heshima za mwisho mbele ya majeneza ya aliyekuwa Mbunge wa Ludewa(CCM) Marehemu Deo Filikunjombe na wenzake wawili waliofariki katika ajali ya helikopta juzi katika pori la akiba la mbuga ya Selous. Marehemu aliagwa katika hospitali ya jeshi Lugalo jijini Dar es Salaam Oktoba 17, 2015.PICHA NA MICHUZI JR.Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha...

 

10 years ago

Habarileo

Bilal, Magufuli waibukia Dodoma

Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli.WANACHAMA watatu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo wanatarajiwa kuchukua fomu, kuomba ridhaa ya uteuzi wa kuwania urais wa Tanzania, wakati wakiwa hawajatangaza nia kama ilivyo kwa wengi wao.

 

11 years ago

TheCitizen

Bilal, Magufuli escape death in copter crash

>Vice President Mohammed Gharib Bilal and several top government officials narrowly escaped death yesterday when the military helicopter carrying them slammed into a hanger and crashed as it took off.

 

10 years ago

Vijimambo

Vigogo waanguka

Matokeo ya awali ya kura za maoni kwa wagombea udiwani na ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi CCM katika uchaguzi uliofanywa jana katika baadhi ya kata yameanza kutangazwa huku baadhi ya vigogo wakiangushwa vibaya.

Baadhi ya majimbo ya Mkoa wa Dar es Salaam, yamekuwa na upinzani mkali, ambapo aliyekuwa Mbunge wa Segerea, Dk. Makongoro Mahanga na Jimbo la Ukonga na aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa, wameanguka vibaya.

Katika matokeo hayo Jimbo la UKONGA: Anayeongoza ni Ramesh Patel...

 

9 years ago

Mtanzania

Mawaziri waanguka

mtz1Na Waandishi Wetu, Dar, Mikoani

MAWAZIRI mbalimbali waliokuwa wanatetea nafasi zao za ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameangushwa katika kinyang’anyiro hicho.

Walioangushwa ni pamoja na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira aliyekuwa akitetea Jimbo la Bunda Mjini.

Wasira ameangushwa na Esther Bulaya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

Wengine ni Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Kebwe Steven Kebwe (Serengeti) aliyeangushwa na Marwa Chacha Ryoba wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani