Bilal, Magufuli, Kova waanguka na helikopta
VIONGOZI wanne wa kitaifa, wamenusurika kufa baada ya helikopta waliyopanda kwa ajili ya kukagua na kuangalia athari za mafuriko jijini Dar es Salaam, kuanguka wakati ikitaka kuruka. Helikopta hiyo ambayo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Bilal, Magufuli,Kova wanusurika kifo ajali ya helikopta Dar
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
GHARIB BILAL, KOVA, SADICK WANUSURIKA KIFO AJALINI
9 years ago
Habarileo25 Aug
Magufuli akataa kutumia helikopta
MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema katika sehemu kubwa ya kampeni yake, atatumia zaidi usafiri wa barabara ili apate fursa ya kuzijua kwa karibu kero za wananchi katika maeneo mengi ya nchi.
9 years ago
Dewji Blog18 Oct
Dkt. Magufuli ashiriki kutoa heshima za mwisho kwa marehemu Deo Filikunjombe na wenzake wawili waliofariki katika ajali ya Helikopta
![](http://1.bp.blogspot.com/-hHcdjIXgeXA/ViKrWiTW5wI/AAAAAAAIAnw/LHBWlrefWgs/s640/_MG_6798.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o5ZUNtvRiHk/ViKrWIFveYI/AAAAAAAIAns/aP_b98nlW2A/s640/_MG_6803.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z-Oke7Rsxlw/ViKrMN5liWI/AAAAAAAIAnE/3x8hNJ1656s/s640/_MG_6610.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hHcdjIXgeXA/ViKrWiTW5wI/AAAAAAAIAnw/LHBWlrefWgs/s72-c/_MG_6798.jpg)
DKT MAGUFULI ASHIRIKI KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MAREHEMU DEO FILIKUNJOMBE NA WENZAKE WAWILI WALIOFARIKA KATIKA AJALI YA HELIKOPTA..
![](http://1.bp.blogspot.com/-hHcdjIXgeXA/ViKrWiTW5wI/AAAAAAAIAnw/LHBWlrefWgs/s640/_MG_6798.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o5ZUNtvRiHk/ViKrWIFveYI/AAAAAAAIAns/aP_b98nlW2A/s640/_MG_6803.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z-Oke7Rsxlw/ViKrMN5liWI/AAAAAAAIAnE/3x8hNJ1656s/s640/_MG_6610.jpg)
10 years ago
Habarileo04 Jun
Bilal, Magufuli waibukia Dodoma
WANACHAMA watatu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo wanatarajiwa kuchukua fomu, kuomba ridhaa ya uteuzi wa kuwania urais wa Tanzania, wakati wakiwa hawajatangaza nia kama ilivyo kwa wengi wao.
11 years ago
TheCitizen14 Apr
Bilal, Magufuli escape death in copter crash
10 years ago
Vijimambo03 Aug
Vigogo waanguka
![](https://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/7/76/Ccmtanzania.png)
Baadhi ya majimbo ya Mkoa wa Dar es Salaam, yamekuwa na upinzani mkali, ambapo aliyekuwa Mbunge wa Segerea, Dk. Makongoro Mahanga na Jimbo la Ukonga na aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa, wameanguka vibaya.
Katika matokeo hayo Jimbo la UKONGA: Anayeongoza ni Ramesh Patel...
9 years ago
Mtanzania27 Oct
Mawaziri waanguka
Na Waandishi Wetu, Dar, Mikoani
MAWAZIRI mbalimbali waliokuwa wanatetea nafasi zao za ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameangushwa katika kinyang’anyiro hicho.
Walioangushwa ni pamoja na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira aliyekuwa akitetea Jimbo la Bunda Mjini.
Wasira ameangushwa na Esther Bulaya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Wengine ni Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Kebwe Steven Kebwe (Serengeti) aliyeangushwa na Marwa Chacha Ryoba wa...