Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bilal, Magufuli waibukia Dodoma

Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli.WANACHAMA watatu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo wanatarajiwa kuchukua fomu, kuomba ridhaa ya uteuzi wa kuwania urais wa Tanzania, wakati wakiwa hawajatangaza nia kama ilivyo kwa wengi wao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Wasanii wa Bongo Movie waibukia mjini Iringa, watangaza kutembea nchi nzima kwa Bajaj kumuunga mkono Dkt. Magufuli

Baadhi ya Wasanii nyota wa Filamu hapa nchini wakiongozwa na Jacob Steven a.k.a JB wakiwa wamenyanyua juu mikono yao kwa pamoja ni Ushindi sambamba na Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli (wa tatu kushoto),kuonesha kuwa wasanii hao wanamuunga mkono Dkt Magufuli katika mbio zake za kuusaka Urais kwa kutembea nchi nzima kutumia Bajaji zao tano,ambapo Bajaj mojawapo itakuwa na kazi ya kukusanya kadi za wale wanaomua kurudi/kujiunga na chama cha CCM.PICHA ZOTE NA MICHUZI JR-IRINGA

 

9 years ago

Michuzi

WASANII WA BONGO MOVIE WAIBUKIA MJINI IRINGA,WATANGAZA KUTEMBEA NCHI NZIMA KWA BAJAJ KUMUUNGA MKONO DKT MAGUFULI

Baadhi ya Wasanii nyota wa Filamu hapa nchini wakiongozwa na Jacob Steven a.k.a JB wakiwa wamenyanyua juu mikono yao kwa pamoja ni Ushindi sambamba na Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli (wa tatu kushoto),kuonesha kuwa wasanii hao wanamuunga mkono Dkt Magufuli katika mbio zake za kuusaka Urais kwa kutembea nchi nzima kutumia Bajaji zao tano,ambapo Bajaj mojawapo itakuwa na kazi ya kukusanya kadi za wale wanaomua kurudi/kujiunga na chama cha CCM.


 Magufulika staili kama kawa,hata...

 

10 years ago

Michuzi

UPDATES KUTOKA DODOMA: RAIS KIKWETE AFUNGA MKUTANO MKUU WA CCM MJINI DODOMA LEO, KUMTAMBULISHA MAGUFULI UWANJA WA JAMHURI JIONI HII

 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama, wakati wa kuufunga Mkutano huo jioni hii kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM (Dodoma Convition Centre), uliopo Mjini Dodoma. CCM wanafanya mkutano mkubwa wa kumtambulisha Mgombea wao jioni hii kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwatambulisha Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe...

 

10 years ago

Daily News

Bilal, Sitta return forms as Migiro, two others, pick theirs in Dodoma


Bilal, Sitta return forms as Migiro, two others, pick theirs in Dodoma
Daily News
TWO CCM presidential hopefuls - the Vice-President, Dr Mohamed Gharib Bilal and Transport Minister, Mr Samuel Sitta - on Monday returned their union presidential nomination forms at the party's headquarters here after completing the guarantors' seeking ...
Tanzania's former UN top female official vies for presidencyGlobal Times

all 3

 

10 years ago

Michuzi

DKT. MOHAMMED GHARIB BILAL, ARUDISHA FOMU ZA URAIS MJINI DODOMA.

  Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi  CCM, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Fomu zake za kuwania urais, Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara, Rajab Luhwavi, wakati alipowasili kwenye Ofisi za Makao Makuu wa CCM mjini Dodoma leo kwa ajili ya kurejesha Fomu za kuwania urais katika uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Mwezi Oktoba mwaka huu. Kulia ni Mke wa Makamu wa Rais Mama Zakia Bilal. Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi  CCM, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,...

 

10 years ago

Mtanzania

Matapeli waibukia Tanzania Kwanza, Ukawa

Askari kanzu wa Mkoa wa Dodoma wakiwa wamemkamata mtuhumiwa wa utapeli, John Thompson (mwenye suti), anayedaiwa kutapeli fedha za kukodisha  ukumbi kwa ajili ya kuandaa mkutano wa maridhiano kati ya kundi la Tanzania Kwanza na Ukawa katika Ukumbi wa Dodoma Hoteli jana. Picha na Fidelis Felix.

Askari kanzu wa Mkoa wa Dodoma wakiwa wamemkamata mtuhumiwa wa utapeli, John Thompson (mwenye suti), anayedaiwa kutapeli fedha za kukodisha ukumbi kwa ajili ya kuandaa mkutano wa maridhiano kati ya kundi la Tanzania Kwanza na Ukawa katika Ukumbi wa Dodoma Hoteli jana. Picha na Fidelis Felix.

NA FREDY AZZAH, DODOMA

MKUTANO uliotangazwa kwa mbwembwe wa kukutanisha wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na wale wa Tanzania Kwanza, umeyeyuka kiaina huku mwandaaji akilalama kutapeliwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Vijana wa Afrika waibukia Ligi ya Marekani

Kwa muda mrefu wachezaji wa Kiafrika wamekuwa wakienda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bilal, Magufuli, Kova waanguka na helikopta

VIONGOZI wanne wa kitaifa, wamenusurika kufa baada ya helikopta waliyopanda kwa ajili ya kukagua na kuangalia athari za mafuriko jijini Dar es Salaam, kuanguka wakati ikitaka kuruka. Helikopta hiyo ambayo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani