Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bilal, Magufuli,Kova wanusurika kifo ajali ya helikopta Dar

>Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Ghalib Bilal amenusurika kifo katika ajali ya helikopta iliyoanguka katika Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam ilipokuwa ikiruka kwenda kukagua madhara ya mafuriko.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

GHARIB BILAL, KOVA, SADICK WANUSURIKA KIFO AJALINI

Makamu wa Rais Dk. Gharib Bilal. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bilal, Magufuli, Kova waanguka na helikopta

VIONGOZI wanne wa kitaifa, wamenusurika kufa baada ya helikopta waliyopanda kwa ajili ya kukagua na kuangalia athari za mafuriko jijini Dar es Salaam, kuanguka wakati ikitaka kuruka. Helikopta hiyo ambayo...

 

11 years ago

GPL

WAWILI WANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI YA SINZA-MORI

Abiria aliyekuwa kwenye bodaboda ambaye jina lake alikufahamika mara moja.
Bodaboda iliyogongwa ikiwa chini.
Dereva wa lori la mafuta akitoa maelezo kwa askari wa usalama…

 

10 years ago

Vijimambo

MWANAMKE NA MTOTO WAKE WANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI YA NDEGE


Mwanamke mwenye umri mdogo pamoja na mtoto wake wamekutwa wakiwa hai siku tano baada ya ndege waliokuwemo kuanguka kwenye msitu magharibi mwa Colombia.
Mwanamke huyo Maria Nelly Murillo, 18, na mtoto wake wa mwaka mmoja wamekutwa na waokoaji karibu na ndege hiyo yao ndogo aina ya Cessna iliyoanguka kwenye Mkoa wa Choco.
Mkuu wa Kikosi cha Anga cha Kolombia ameelezea kuwa kunusurika kwa mama huyo na mtoto wake ni muujiza. Murillo alikuwa na majeruhi na kuungua lakini mtoto wake alikuwa mzima...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: ZAIDI YA ABIRIA 50 WANUSURIKA KIFO AJALI YA BASI

Zaidi ya abiria 50 wamenusurika kifo eneo la mlima nyoka mkoani Mbeya baada ya Basi la Mbukio Mission lililokuwa linatoka Mbeya kuelekea Dsm kugongana na Lori .Habari kamili tutawaletea kwenye blog yetu ya mbeya yetu sasa tupo kwenye tukio.Kwa hisani ya MbeyaYetu Blog.

 

10 years ago

GPL

ABIRIA 50 WANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI MLIMA NYOKA, MBEYA

Basi la Mbukio Missio muda mfupi baada ya kupata ajali eneo la Mlima Nyoka mkoani Mbeya leo. Lori la mafuta lenye namba za usajili T 332 AGA ambalo dereva wake Godfrey Lyimo (33) alijeruhiwa vibaya na kukimbizwa hospitali kwa matibabu zaidi. Pichani lori hilo la mafuta liliwa…

 

11 years ago

GPL

VIBAKA WANUSURIKA KIFO KIJITONYAMA JIJINI DAR

Vijana wawili waliotaka kupora mkoba wa dada mmoja wakiwa hoi kwa kichapo kutoka kwa wananchi. Mmoja wa vibaka hao akiwa mtaroni baada ya kipondo.…

 

11 years ago

Mwananchi

Watu 56 wanusurika ajali ya ndege Dar

>Watu 56 wamenusurika baada ya ndege ya Shirika la Ndege la Kenya(Kenya Airways) waliyokuwa wakisafiria kupata ajali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Dar es Salaam(JNIA) jana ilipokuwa ikitua.

 

10 years ago

GPL

WATU WATATU WANUSURIKA KUFA KWA AJALI DAR

Mchina aliyekuwamo kwenye gari akizungumza kwa simu, pembeni yake ni askari wa usalama barabarani. Dereva wa Opa ambaye hakufahamika jina lake mara moja.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani