WAWILI WANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI YA SINZA-MORI
Abiria aliyekuwa kwenye bodaboda ambaye jina lake alikufahamika mara moja. Bodaboda iliyogongwa ikiwa chini. Dereva wa lori la mafuta akitoa maelezo kwa askari wa usalama…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWAWILI WANUSURIKA KUFA KWA AJALI SINZA
Hivi ndivyo ilivyokuwa eneo la tukio. WATU wawili akiwemo dereva wa pikipiki na abiria aliyekuwa amebebwa wamenusurika leo kufa baada ya pikipiki yao kugongwa na basi la UDA maeneo ya Sinza jijini Dar es Salaam. (Habari/Picha: Gabriel…
10 years ago
Michuzi
AJALI YA ROLI SINZA MORI LEO JIJINI DAR ES SALAAM



10 years ago
GPL
ABIRIA 50 WANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI MLIMA NYOKA, MBEYA
Basi la Mbukio Missio muda mfupi baada ya kupata ajali eneo la Mlima Nyoka mkoani Mbeya leo. Lori la mafuta lenye namba za usajili T 332 AGA ambalo dereva wake Godfrey Lyimo (33) alijeruhiwa vibaya na kukimbizwa hospitali kwa matibabu zaidi. Pichani lori hilo la mafuta liliwa…
10 years ago
Vijimambo
MWANAMKE NA MTOTO WAKE WANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI YA NDEGE

Mwanamke huyo Maria Nelly Murillo, 18, na mtoto wake wa mwaka mmoja wamekutwa na waokoaji karibu na ndege hiyo yao ndogo aina ya Cessna iliyoanguka kwenye Mkoa wa Choco.
Mkuu wa Kikosi cha Anga cha Kolombia ameelezea kuwa kunusurika kwa mama huyo na mtoto wake ni muujiza. Murillo alikuwa na majeruhi na kuungua lakini mtoto wake alikuwa mzima...
10 years ago
GPL
MAJAMBAZI WAKAMATWA WAKITAKA KUIBA KATIKA BENKI YA NMB TAWI LA SINZA-MORI, DAR
Majambazi hao wakiwa wametiwa pingu baada ya kukamatwa na jeshi la Polisi jijini Dar. ...wakiwa chini ya ulinzi. Wananchi wakiwa eneo la Benki ya NMB Sinza-Mori, Dar wakifuatilia tukio hilo.…
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Wawili wanusurika kifo USA
Wasafisha madirisha wawili mjini New York wanabahati ya kipekee kuepuka kifo baada ya jukwaa walilolitumia kusimama kuvunjika.
10 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: ZAIDI YA ABIRIA 50 WANUSURIKA KIFO AJALI YA BASI
Zaidi ya abiria 50 wamenusurika kifo eneo la mlima nyoka mkoani Mbeya baada ya Basi la Mbukio Mission lililokuwa linatoka Mbeya kuelekea Dsm kugongana na Lori .Habari kamili tutawaletea kwenye blog yetu ya mbeya yetu sasa tupo kwenye tukio.Kwa hisani ya MbeyaYetu Blog.

11 years ago
Mwananchi14 Apr
Bilal, Magufuli,Kova wanusurika kifo ajali ya helikopta Dar
>Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Ghalib Bilal amenusurika kifo katika ajali ya helikopta iliyoanguka katika Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam ilipokuwa ikiruka kwenda kukagua madhara ya mafuriko.
10 years ago
GPLCLUB OLYMPIA YA SINZA-MORI YATEKETEA KWA MOTO
Mwonekano wa lango kuu la Club ya Olympia baada ya kuungua. Askari wa zima moto wakiwa kazini.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania