Bilionea anayeshukiwa kwa wizi aomba hifadhi Uingereza
Bilionea mmoja raia wa India,Nirav Modi anayetuhumiwa kuhusika katika kashfa kubwa ya wizi wa pesa katika mabenki makubwa nchini India.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Watalii bilionea watembelea Hifadhi ya Serengeti
Watalii bilionea 100 kutoka nchi za Ulaya na Marekani wanaotumia ndege binafsi aina ya Boeing BBJ 737 HB-11Q wametembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na kuisifia, wakisema ni moja ya urithi wa dunia unaostahili kutunzwa kwa faida ya vizazi vya sasa na vijavyo.
10 years ago
BBCSwahili14 Mar
Makamu wa rais wa S Leone aomba hifadhi
Makamo wa rais wa Sierra Leone, anasema anaomba hifadhi katika ubalozi wa Marekani, katika mji mkuu wa Sierra Leone, Freetown.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0jwS8IDgkuWdK0xj6jioKWbgPBvbpzvFfTuzZ6booVxEByt0*umZnniY0Mx3z1phEM95npsqQ*1i2cdIWx1R6*R9WHz6y0zT/bilionea.jpg?width=650)
BILIONEA ANASWA KWA UNGA DAR
Na Makongoro Oging' BILIONEA maarufu jijini Dar es Salaam, Ali Khatibu Haji ‘Shkuba’(44) ambaye alikuwa akisakwa kwa muda mrefu na Kikosi Maalum cha Polisi Tanzania kwa madai ya kujihusisha na biashara haramu ya ‘unga’, amenaswa. Vyanzo vililiambia gazeti hili kwamba, mtuhumiwa huyo alikamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar, Februari 23, mwaka huu, saa sita mchana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0kKlVdnL8WFbEUYQaHaWMdtTm*SeHEPhYN6KRUZyZ8NSlbNpgn9ijKNZvZyBHmJzgOpn8kF97t1BFCvkiNwKEF5/BILIONEA.jpg?width=650)
BILIONEA DAR AJIUA KWA RISASI
Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’
NI jambo lililotoa mshtuko kwa Jeshi la Polisi Wilaya ya Kisarawe, mkoani Pwani ambapo Desemba 10, mwaka huu, walikuta mwili wa binadamu ukiwa ndani ya gari lililopinduka, pembeni mwa Barabara ya Kisarawe - Mwaneromango. Mbali na mwili, ndani ya gari hilo aina ya Toyota RAV 4 (milango mitatu new model) lenye namba za usajili T 273 AKP kulikutwa bastola moja, risasi 85 na magazini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaKuN9yFcADh2Pvxwxj-gjY3aMzFFTga*v6gHV2H48l8cgMXINgE2hCmuOS9-3BnQjErQN*jPzBOPrTNowGR-CVE/29CB622E000005783132136Dream_Lover_Mariah_Carey_and_Australian_casino_billionaire_Jamesm34_1434792976897.jpg)
MARIA CAREY AANGUKIA KWA BILIONEA
Nyota wa R&B, Maria Carey akiwa na bilionea, James Packer. CANNES, Ufaransa HISIA ni kitu kingine! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya nyota wa R&B, Maria Carey, 45, kunasa katika penzi la bilionea, James Packer, 47, raia wa Australia.  Maria, aliwahi kuolewa na Nick Cannon lakini waliachana Agosti mwaka jana kwa talaka baada ya kudumu kwenye uhusiano kwa miaka sita wakiwa na watoto wawili mapacha.  Taarifa ni kwamba...
10 years ago
Mwananchi23 Jul
BILIONEA : Hizi ni falsafa za kutajirika kwa ujasiriamali — 5
Mafanikio katika maisha siyo jambo jepesi ambalo linaweza kuja kimiujiza. Mara nyingi ni hatua ambayo inaanzia mbali ikiandamana na mipango, juhudi katika utekelezaji na hata kukabili vikwazo mbalimbali.
10 years ago
Bongo506 Nov
Desire Luzinda aomba radhi kwa kuvuja kwa picha zake za utupu!
Muimbaji wa Uganda, Desire Luzinda amevunja ukimya na ameamua kuomba radhi rasmi kwa picha zake za utupu zilizovuja mtandaoni. Kupitia Facebook, Luzinda ameiomba msamaha familia na mashabiki wake na kukubali kuwajibika kwa kukubali kupiga picha hizo za aibu. Hivi ndivyo alivyoandika: To all my fans in Uganda and all over the world, as you might […]
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-10JxlHGicaQ/VRveT2Z4Y7I/AAAAAAAHOw4/sZmHrocx1C0/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
MAMA AJIFUNGUA MAPACHA WANNE KWA MKUPUO MKOANI KIGOMA, AOMBA MSAADA KWA WATANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-10JxlHGicaQ/VRveT2Z4Y7I/AAAAAAAHOw4/sZmHrocx1C0/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
MKAZI wa Kijiji cha Buzebazeba katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, Zuwena Abdu (29) jana amejifungua watoto mapacha wanne kwa mkupuo katika Hospital ya Mkoa wa Kigoma (Maweni).
Zuwena alisema kuwa watoto aliojifungua wenye jinsia ya kiume ni watatu na mmoja ambaye ni wa mwisho ana jinsia ya kike ,wa kwanza akiwa na uzito wa kilo 1.8,pili 2.5 wa tatu 1.7 na wanne 1.7.
Alisema watoto hao alijifungua jana majira ya saa kumi na mbili jioni salama kwa njia...
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Polisi mbaroni kwa kumburuza mwanamke umbali wa mita 200 kwa tuhuma za wizi
Viongozi na wanaharakati wa haki za binaadamu kutoka kaunti ya Nakuru nchini Kenya wamepaza sauti zao kukemea vitendo vya ukatili unaofanywa na polisi mjini humo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania