Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bilioni 131/- zatengwa elimu bure

RAIS John Magufuli amewahakikishia Watanzania kuwa fedha kwa ajili ya kutimiza ahadi ya kutoa elimu bure kwa shule za msingi na sekondari, zimetengwa Sh bilioni 131 mwezi huu na kupelekwa moja kwa moja katika shule husika.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

BILIONI 137 ZIMETENGWA KWA AJILI YA ELIMU YA BURE - WAZIRI MKUU

SERIKALI imekwishatenga kiasi cha sh. bilioni 137 kwa ajili ya kugharamia utoaji wa elimu ya bure kuanzia Januari hadi Juni, mwakani.
Kauli hiyo imetolewa jana jioni (Jumapili, Desemba 20, 2015) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akizungumza na mamia ya wananchi waliofika kumsikiliza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa uwanja wa mikutano wa Likangala wilayani Ruangwa, mkoani Lindi.
“Kazi ya utumbuaji majipu imezaa matunda kwani tumeweza kupata fedha za kugahrimia elimu ya...

 

11 years ago

Habarileo

Bilioni 13/- zatengwa kwa barabara

SERILKALI imetenga zaidi ya Sh bilioni 13.07 kutengeneza barabara kuukuu za mkoa na sehemu ya barabara za halmashauri mkoa wa Rukwa kwa mwaka wa fedha 2014/15.

 

10 years ago

Habarileo

Zatengwa bilioni 1/- kukabili ukame

OFISI ya Waziri Mkuu kwa ufadhili wa Benki ya Dunia inatarajia kutumia zaidi ya Sh bilioni moja kupunguza athari za ukame uliokithiri katika halmashauri za wilaya za Same, mkoani Kilimanjaro na Kishapu mkoani Shinyanga.

 

9 years ago

Mwananchi

Elimu bure ya Nyerere vs elimu bure ya Magufuli

Nakubaliana na Rais John Magufuli kuwa Watanzania wanahitaji maarifa. Nakubaliana naye kuwa watoto wa maskini wanahitaji elimu, tena elimu yenye maarifa siyo kurundikana darasani tu pasipo maarifa wala kujifunza.

 

10 years ago

Mwananchi

Kampeni za elimu bure zitasaidia kuboresha elimu yetu?

Kipindi cha kampeni za uchaguzi zinapokaribia, ni wakati muhimu sana kwa wananchi kuongeza umakini katika kusikiliza na kuamua ipi ni hoja au ahadi ya msingi kwa mustakbali wa nchi yetu.

 

9 years ago

Habarileo

Muongozo elimu bure waandaliwa

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni Mchome, amesema wizara yake inaandaa mwongozo utakaotoa maelekezo juu ya muundo, mfumo na utaratibu nyumbufu utakaohakikisha kuwa ifikapo Januari mwakani, elimu ya msingi inatolewa bila malipo.

 

10 years ago

Habarileo

SMZ kutoa elimu bure

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein akikagua gwaride la heshima la vikosi vya ulinzi na usalama wakati wa sherehe za miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar zilizofanyika kwenye uwanja wa Amaan mjini Unguja jana. (Picha na Ikulu).SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imefuta ada ya wanafunzi wa shule za msingi, ikiwa ni utekelezaji wa dhamira ya mapinduzi ya kuwapatia wanafunzi wote elimu bure, kama ilivyoasisiwa na Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Abeid Amaan Karume.

 

9 years ago

Habarileo

Askofu aguswa na elimu bure

ASKOFU wa Kanisa Katoliki, Jimbo la Morogoro, Telesphor Mkude ameeleza kuguswa na uamuzi wa Serikali ya Awamu ya Tano wa kutoa elimu bure kuanzia awali hadi Kidato cha Nne jambo ambalo amehimiza Rais John Magufuli aungwe mkono katika hilo.

 

9 years ago

Habarileo

Shule 11 kutohusika elimu bure

WIZARA ya Elimu, Sayansi na Ufundi imetoa waraka wa elimu kuhusu elimumsingi bila malipo na kutoa orodha ya shule za msingi 11 za Serikali ambazo hazihusiki na utoaji wa elimu bure uliotangazwa na Rais John Magufuli. Elimumsingi inajumuisha elimu ya awali, ya msingi na sekondari ambayo itaanza Januari mwakani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani