Bility appeals over Fifa exclusion

Liberia Football Association chairman Musa Bility appeals to Cas over his exclusion from the Fifa presidential elections.
BBC
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBC
Bility appeals against Fifa rejection
9 years ago
BBC
Bility rejected as candidate by Fifa
10 years ago
BBC
Liberia's Bility to make Fifa bid
10 years ago
BBC
Bility submits bid for Fifa presidency
10 years ago
BBC
Caf will not back Bility's Fifa bid
9 years ago
BBCSwahili12 Nov
Bility azuiwa kuwania urais Fifa
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Bility akata rufaa uamuzi wa kumzuia kuwania Fifa
9 years ago
Mtanzania04 Dec
Bility akata rufaa ya kumzuia kuwania urais FIFA
ZURICH, USWIS
RAIS wa Shirikisho la Soka la Liberia, Musa Bility, amekata rufaa kwenye mahakama ya kutatua mizozo ya michezo (Cas), kwa kumzuia kugombea urais wa Shirikisho la Soka Duniani, Fifa.
Rais huyo alizuiwa kuwania kugombea nafasi hiyo na kamati ya uchaguzi ya Fifa kwa madai kwamba hakupita vigezo vya maadili.
Hata hivyo, Bility ameishangaa kamati hiyo kwa maelezo yake ambapo amedai kuwa haijatenda haki, ila kutakuwa na mipango ambayo imepangwa ili kutaka kumharibia.
“Uamuzi wa...
9 years ago
Bongo514 Nov
FIFA yawaondoa Musa Bility na Michel Platini katika kinyang’anyiro cha Urais

Kamati ya uchaguzi ya shirikisho la soka duniani FIFA, imeondoa majina mawili katika kinyang’anyiro cha Urais.
Mmoja wa waliondolewa ni Musa Bility ambaye ni Rais wa chama cha soka cha nchini Liberia. Kamati hiyo imemuondoa Bility kwa sababu za uadilifu baada ya kumchunguza na kujiridhisha kuwa hana sifa ya kubaki kuwa mgombea wa Urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika February 26 mwaka huu.
Mwingine aliyeondolewa katika kinyang’anyiro hicho ni Rais wa UEFA Michel Platini.
Platini...