BIMA YA AFYA NHIF YAKANUSHA KUDAIWA NA HOSPITAL YA RUFAA MBEYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-zYSUa5tQcKs/VlLkE9p7JhI/AAAAAAAAUtk/IlpWZOOIzJU/s72-c/BIMA%2BNHIF.jpg)
Na Mwandishi wetu, Dar es salaam Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya nchini umekanusha kuwepo kwa madai yaliyotolewa na Hospital ya Rufaa Mkoani Mbeya kuwa wanaudai Mfuko jumla ya shilingi bilioni 2 na kwamba wanaudai Mfuko kutoka mwezi Juni, 2015.
Akizungumza jijini Dar es salaam Kaimu Mkurugenzi Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Ndugu Michael Mhando amesema madai yaliyotolewa na Hospitali hiyo ya Rufaa Mkoa wa Mbeya hayana ukweli wowote nakwamba mfuko huo unalipa madai baada ya mtoa huduma...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAMIA WAFURIKA BANDA LA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF), KUPIMA AFYA ZAO KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kbK38GQjNH0/VLkz4KmpZmI/AAAAAAAApbg/lmlzafSSKl8/s72-c/DSC_0639.jpg)
NHIF WAJA NA BIMA YA AFYA YA VIKUNDI VYA WAJASILIAMALI
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umeanzisha huduma ya bima ya afya kwa vikundi vya ujasiriamali,Shirika katika sekta binafsi ili kuweza kila mtanzania anapata huduma ya afya kupitia mfuko huo.
Akizungumza leo na wanavikundi vya ujasiriamali (ASSE),Meneja wa CHF- Makao Makuu ya NHIF,Costantine Makala amesema mfumo huo ni kikoa ambapo kila mmoja atachangia Sh.76,800 kwa mwaka.
Amesema kila mwana kikoa ambaye atalipa malipo hayo atatibiwa na bima ya...
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/1.Mwandishi-wa-Habari-kutoka-Kampuni-ya-Global-PublishersDenis-Mtimakulia-akionesha-kitambulisho-chake-cha-Bima-ya-Afya-kwa-wanahabari-pichani-hawapo..jpg)
NHIF YAKABIDHI KADI ZA BIMA YA AFYA KWA WANAHABARI
10 years ago
VijimamboMAMIA WAFURIKA BANDA LA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF), KUPIMA AFYA ZAO KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
MichuziWAFANYABIASHARA KIGOMA WATAKIWA KUJIUNGA NA MFUKO WA BIMA YA AFYA (NHIF).
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JVnb1WiRM-M/VdLju-UlYZI/AAAAAAAHx8s/wZoci3NsEjs/s72-c/1.jpg)
WANACHAMA WA MFUKO WA BIMA YA AFYA WA NHIF KUTIBIWA KATIKA HOSPITALI YA JESHI LA JWTZ
![](http://1.bp.blogspot.com/-JVnb1WiRM-M/VdLju-UlYZI/AAAAAAAHx8s/wZoci3NsEjs/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EonNdPiTH8U/VdLju_37qyI/AAAAAAAHx8w/fwGAE6cv_is/s640/02.jpg)
WANACHAMA kutibiwa katika hospitali za...
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF) wazindua huduma za madaktari bingwa mkoani Singida!!
10 years ago
MichuziWAJASIRIAMALI TOKA VIKUNDI MBALIMBALI WAHAMASISHWA KUJIUNGA NA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF)
Wajasiriamali toka vikundi mbalimbali wamehamasishwa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) ili kurahisisha matibabu wawapo katika shughuli zao za kawaida,leo katika ukumbi wa Msimbazi Centre jijini Dar es Salaam.
Katika Mpango mpya uliozinduliwa na Mfuko huo ujulikanao kama Mpango wa Kikoa(MATUAL PLAN),Wajasiriamali watakaojiunga na mfuko huo na kuwa wanachama watalipia shilingi 76,800 kwa mwaka ili kupata matibabu kupitia mfuko huo. ...