Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Binti mlemavu wa ngozi anusurika kutekwa

BINTI mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Kulwa Joseph (21) mkazi wa kijiji cha Usonga, Kata ya Silambo wilaya ya Kaliua mkoani Tabora ameponea chupuchupu kutekwa na baada ya kuvamia makazi alikokuwa akiishi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Albino Kaliua anusurika kutekwa

BINTI mwenye ulemavu wa ngozi (Albino), Kulwa Joseph (21), mkazi wa Kijiji cha Usonga Kata ya Silambo Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, ameponea chupuchupu kutekwa baada ya kuvamiwa katika makazi...

 

10 years ago

Mtanzania

Mkono anusurika kutekwa Dar

mkonobcNa Kulwa Karedia

MBUNGE wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono (CCM), amesurika kutekwa na watu wasiofahamika katika eneo la Tangibovu, Dar es Salaam.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana na kusainiwa na Mkono mwenyewe, ilisema tukio hilo lilitokea juzi saa 4:30 asubuhi.
“Nikiwa na wasaidizi wangu wawili tukitoka Bagamoyo tukiwa ndani ya gari langu aina ya Marcedes Benz katika eneo la Mbezi Tangibovu ghafla yalitokea magari mawili ya Toyota Prado na Toyota Land Cruiser VX...

 

11 years ago

Mwananchi

Mtoto wa mwandishi anusurika kutekwa

Kamanda wa polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Robert Boaz amewatahadharisha wazazi wenye watoto wadogo kuwaelimisha wafanyakazi wa ndani kutowakabidhi watoto wao kwa watu wasiowafahamu.

 

9 years ago

Dewji Blog

News Alert: Mlemavu wa ngozi Mkuranga anyofolewa nyama usiku wa kuamkia leo

OLYMPUS DIGITAL CAMERA

Mwenyekiti wa chama cha watu wenye ulemavu Tanzania (TAS) “Tanzania Albino Society” ndugu Ernest Kimaya amedhibitisha kutokea kwa tukio hilo asubuhi ya leo kupitia kipindi cha Radio cha Morning Magic kinachorushwa na Radio ya Magic FM.

Modewjiblog inaendelea kufuatilia taarifa hizi  kwa ukaribu na tutaendelea kuwajuza zaidi hapo baadae.

 

 

10 years ago

GPL

BINTI ATEKWA NA WACHUNA NGOZI

Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela
MBONA majanga! Mrembo aliyejitambulisha kwa jina la Latifa Abdallah (19), mkazi wa Kinondoni –Mkwajuni, Dar amesimulia alivyotekwa na watu aliodai ni wachuna ngozi wakiwa na mwanamke aliyevalia kininja ndani ya gari jeusi. Binti anayetambulika kwa jina la Latifa Abdallah (wa pili kushoto) akiwa na ndugu zake. Akizungumza na Uwazi jijini Dar, juzi, Latifa alidai Oktoba 19,...

 

11 years ago

Mwananchi

AFYA YA NGOZI: Saratani ya ngozi aina ya Melanoma ni hatari kiasi gani?

>Tangu tuanze kuichambua mada hii ya maradhi ya saratani ya ngozi, tumeangazia mambo mbalimbali ikiwamo saratani ni nini, aina za saratani, makundi ya watu yanayoathiriwa zaidi na saratani hii ya ngozi.

 

11 years ago

Mwananchi

AFYA YA NGOZI: Maradhi ya ngozi kwa njia ya ngono

>Baadhi ya maswali tuliyopokea, mengi yalihusu maradhi ya sunzua ambayo kitaalmu yanajulikana kama warts.

 

10 years ago

Michuzi

WIMBI LA KUTEKWA EMAIL ADDRESS

Ndugu Wananchi,
Kuna matukio mengi ya kuteka anuani za watu na kuzitumia kwa maovu hasa kuombea misaada n.k.
Endapo janga hili litakukuta wasiliana nasi ili tuokoe anuani na jumbe zako pamoja na kuzuia maafa yatokanayo na uhalifu huu.Tujulishe mara moja kwa kutuma SMS kwenye simu ifuatayo:
+81-90-8498-9270
Huduma hii ni ya majaribio itatolewa
bure hadi tarehe 30/6/2015.

sent by T.J.Martin.

 

11 years ago

GPL

A - Z KUTEKWA, KUTESWA KWA MWENYEKITI CHADEMA

Makongoro Oging na Haruni Sanchawa
MWENYEKITI wa Chadema wilayani Temeke, jijini Dar Joseph Yona,33, ameeleza A-Z sakata la kutekwa, kuteswa kwake na vijana sita wakati akienda nyumbani kwake Mtoni kwa Azizi Ally. Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Temeke na Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Joseph Yona akipelekwa Kitengo cha Mifupa Muhimbili… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani