Binti mlemavu wa ngozi anusurika kutekwa
BINTI mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Kulwa Joseph (21) mkazi wa kijiji cha Usonga, Kata ya Silambo wilaya ya Kaliua mkoani Tabora ameponea chupuchupu kutekwa na baada ya kuvamia makazi alikokuwa akiishi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
Albino Kaliua anusurika kutekwa
BINTI mwenye ulemavu wa ngozi (Albino), Kulwa Joseph (21), mkazi wa Kijiji cha Usonga Kata ya Silambo Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, ameponea chupuchupu kutekwa baada ya kuvamiwa katika makazi...
10 years ago
Mtanzania18 Dec
Mkono anusurika kutekwa Dar
Na Kulwa Karedia
MBUNGE wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono (CCM), amesurika kutekwa na watu wasiofahamika katika eneo la Tangibovu, Dar es Salaam.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana na kusainiwa na Mkono mwenyewe, ilisema tukio hilo lilitokea juzi saa 4:30 asubuhi.
“Nikiwa na wasaidizi wangu wawili tukitoka Bagamoyo tukiwa ndani ya gari langu aina ya Marcedes Benz katika eneo la Mbezi Tangibovu ghafla yalitokea magari mawili ya Toyota Prado na Toyota Land Cruiser VX...
11 years ago
Mwananchi01 May
Mtoto wa mwandishi anusurika kutekwa
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
News Alert: Mlemavu wa ngozi Mkuranga anyofolewa nyama usiku wa kuamkia leo
Mwenyekiti wa chama cha watu wenye ulemavu Tanzania (TAS) “Tanzania Albino Society” ndugu Ernest Kimaya amedhibitisha kutokea kwa tukio hilo asubuhi ya leo kupitia kipindi cha Radio cha Morning Magic kinachorushwa na Radio ya Magic FM.
Modewjiblog inaendelea kufuatilia taarifa hizi kwa ukaribu na tutaendelea kuwajuza zaidi hapo baadae.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LB6l9Yyl8LDEwyoMVFIVzhVEqEyKC-5iOtb3YXwx9xYWXk*u5BbRHH6*yOc1Mz9buUDgT3T*c2-8XwJp9IS9l7Vgzs5Er-BD/BINTI.jpg)
BINTI ATEKWA NA WACHUNA NGOZI
11 years ago
Mwananchi31 Jan
AFYA YA NGOZI: Saratani ya ngozi aina ya Melanoma ni hatari kiasi gani?
11 years ago
Mwananchi01 Aug
AFYA YA NGOZI: Maradhi ya ngozi kwa njia ya ngono
10 years ago
Michuzi19 Jan
WIMBI LA KUTEKWA EMAIL ADDRESS
Kuna matukio mengi ya kuteka anuani za watu na kuzitumia kwa maovu hasa kuombea misaada n.k.
Endapo janga hili litakukuta wasiliana nasi ili tuokoe anuani na jumbe zako pamoja na kuzuia maafa yatokanayo na uhalifu huu.Tujulishe mara moja kwa kutuma SMS kwenye simu ifuatayo:
+81-90-8498-9270
Huduma hii ni ya majaribio itatolewa
bure hadi tarehe 30/6/2015.
sent by T.J.Martin.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoOS-Y9fATq6J2xcjhneL2XUTHIywOd9BV3dBgy6e84ObZIAHeqOq*9evWkoc38w2qvysWBJMG6K3zsY489vNyIo8/kutekwa.jpg?width=650)
A - Z KUTEKWA, KUTESWA KWA MWENYEKITI CHADEMA