Mtoto wa mwandishi anusurika kutekwa
Kamanda wa polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Robert Boaz amewatahadharisha wazazi wenye watoto wadogo kuwaelimisha wafanyakazi wa ndani kutowakabidhi watoto wao kwa watu wasiowafahamu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
Albino Kaliua anusurika kutekwa
BINTI mwenye ulemavu wa ngozi (Albino), Kulwa Joseph (21), mkazi wa Kijiji cha Usonga Kata ya Silambo Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, ameponea chupuchupu kutekwa baada ya kuvamiwa katika makazi...
10 years ago
Mtanzania18 Dec
Mkono anusurika kutekwa Dar
Na Kulwa Karedia
MBUNGE wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono (CCM), amesurika kutekwa na watu wasiofahamika katika eneo la Tangibovu, Dar es Salaam.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana na kusainiwa na Mkono mwenyewe, ilisema tukio hilo lilitokea juzi saa 4:30 asubuhi.
“Nikiwa na wasaidizi wangu wawili tukitoka Bagamoyo tukiwa ndani ya gari langu aina ya Marcedes Benz katika eneo la Mbezi Tangibovu ghafla yalitokea magari mawili ya Toyota Prado na Toyota Land Cruiser VX...
10 years ago
Habarileo03 Nov
Binti mlemavu wa ngozi anusurika kutekwa
BINTI mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Kulwa Joseph (21) mkazi wa kijiji cha Usonga, Kata ya Silambo wilaya ya Kaliua mkoani Tabora ameponea chupuchupu kutekwa na baada ya kuvamia makazi alikokuwa akiishi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gDF3S0THO9yqjzeiLzp-9yhlc5O0D4*rONSwxL5KszaqEPptZoZMhkbxCx2fqn66ZldByx88Iw8LQsFvvTXDfeccYsOjKQeO/2.jpg?width=650)
MWANDISHI ALBINO ANUSURIKA KIFO MARA MBILI
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Mtoto anusurika baada ya kutumbukia mtoni
11 years ago
BBCSwahili15 May
Mtoto aanguka toka orofa ya 11 anusurika
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYk04kvO7XNpy96T7S8xQbH2YD8vudGBpxMmz5MchTwvqg6*BNoYzaC2eqkIuepmXvr0opSfIxi2MoIIt0aUtSCb/mtoto_anusurika_baada_ya_kuanguka_toka_orofa_ya_11_512x288_bbc_nocredit.jpg?width=600)
MTOTO AANGUKA TOKA GOROFA YA 11 ANUSURIKA
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Mtoto mchanga anusurika kuuawa Kenya