Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto wa mwandishi anusurika kutekwa

Kamanda wa polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Robert Boaz amewatahadharisha wazazi wenye watoto wadogo kuwaelimisha wafanyakazi wa ndani kutowakabidhi watoto wao kwa watu wasiowafahamu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Albino Kaliua anusurika kutekwa

BINTI mwenye ulemavu wa ngozi (Albino), Kulwa Joseph (21), mkazi wa Kijiji cha Usonga Kata ya Silambo Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, ameponea chupuchupu kutekwa baada ya kuvamiwa katika makazi...

 

10 years ago

Mtanzania

Mkono anusurika kutekwa Dar

mkonobcNa Kulwa Karedia

MBUNGE wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono (CCM), amesurika kutekwa na watu wasiofahamika katika eneo la Tangibovu, Dar es Salaam.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana na kusainiwa na Mkono mwenyewe, ilisema tukio hilo lilitokea juzi saa 4:30 asubuhi.
“Nikiwa na wasaidizi wangu wawili tukitoka Bagamoyo tukiwa ndani ya gari langu aina ya Marcedes Benz katika eneo la Mbezi Tangibovu ghafla yalitokea magari mawili ya Toyota Prado na Toyota Land Cruiser VX...

 

10 years ago

Habarileo

Binti mlemavu wa ngozi anusurika kutekwa

BINTI mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Kulwa Joseph (21) mkazi wa kijiji cha Usonga, Kata ya Silambo wilaya ya Kaliua mkoani Tabora ameponea chupuchupu kutekwa na baada ya kuvamia makazi alikokuwa akiishi.

 

10 years ago

GPL

MWANDISHI ALBINO ANUSURIKA KIFO MARA MBILI

OJUKU ABRAHAM/Amani MWANDISHI wa habari mwandamizi, Henry Mdimu ambaye ni Albino, aliyejiteua kuwa Balozi wa kuwatetea walemavu wa ngozi kwa kuanzisha kampeni aliyoiita Imetosha, kutokana na kukithiri kwa mauaji dhidi yao, amesema alinusurika kuuawa mara mbili na watu alioamini walihitaji viungo vyake, Amani lina data kamili. Mwandishi wa habari mwandamizi, Henry Mdimu. Akizungumza na gazeti hili juu ya nia yake hiyo ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto anusurika baada ya kutumbukia mtoni

Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja amenusuriwa kutoka mtoni zaidi ya saa 14 baada ya gari lao kutumbukia

 

11 years ago

BBCSwahili

Mtoto aanguka toka orofa ya 11 anusurika

Mtoto mwenye mwaka mmoja anusurika baada ya kuanguka toka orofa ya 11

 

11 years ago

GPL

MTOTO AANGUKA TOKA GOROFA YA 11 ANUSURIKA

Mtoto aanguka toka orofa ya11anusurika. Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja amenusurika kifo baada ya kuanguka kutoka orofa ya 11 ya jengo moja mjini Minnesota Marekani. Vyombo vya habari katika jimbo hilo vimeripoti kuwa Musa Dayib, amevunjika mkono mara mbili na kwa sasa anapumua kwa usaidizi wa mashine japo madaktari wanamtarajia kuishi.
Musa aliteleza katikati ya mianya inayozingira sebule yao katika orofa ya 11 ya mjengo huo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto mchanga anusurika kuuawa Kenya

Mila na desturi za Jamii ya Bukusu huwauwa Watoto waliotokana na mahusiano ya maharimu au jamaa wa familia moja

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani