Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto anusurika baada ya kutumbukia mtoni

Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja amenusuriwa kutoka mtoni zaidi ya saa 14 baada ya gari lao kutumbukia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Mtoto wa mwaka mmoja afariki dunia baada ya kutumbukia Kisimani Mbeya

msangi rp

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi.

Na Emanuel Madafa, Mbeya

Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi saba  Promis Dank mkazi wa bwawani wilaya ya Chunya amefariki dunia njiani akiwa anapelekwa hospitali baada ya kutumbukia kisimani.

Tukio hilo limetokea Novemba  112  majira ya saa 12 asubuhi huko kitongoji cha Railway,  kata ya Bwawani, wilaya ya Chunya, mkoa wa Mbeya.

Inadaiwa kuwa, mtoto huyo baada ya kutumbukia kwenye kisima hicho ambacho kilikuwa wazi, aliokolewa akiwa hai...

 

11 years ago

Michuzi

RIDHIWANI KIKWETE AHANI MSIBA WA WATOTO WAWILI WALIOPOTEZA MAISHA BAADA YA KUTUMBUKIA KWENYE KISIMA CHA MAJI,KIWANGWA

 Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete (kushoto) akiwa na Bw. Geofrey Nestory pamoja na Mkewe,Renata Pascal ambao ni Wazazi wa Watoto wawili,Jesca Geofrey (5) na Redempta Geofrey (2) waliopoteza maisha hivi karibuni kwa kutumbukia kwenye kisima cha maji,wakati alipofika Nyumbani kwa wazazi hao ambao ni Wakazi wa Kijiji cha Msinune,Kata ya Kiwangwa leo Machi 22,2014 kuhani msiba wa Watoto hao.Wazazi hao walimueleza Ndg....

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya kupotea kwa wiki mbili, staa wa soka Ivory Coast amekutwa amefariki mtoni Ujerumani …

Ikiwa ndani ya wiki zisizo pungua tatu ulimwengu wa soka umepokea taarifa za vifo vya wanasoka wawili, mchezaji wa timu ya taifa ya Honduras Arnold Peralta na aliyekuwa mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya El Salvador Alfred Pacheco. January 2 ulimwengu wa soka umepokea taarifa za kifo cha beki wa zamani wa timu ya taifa ya […]

The post Baada ya kupotea kwa wiki mbili, staa wa soka Ivory Coast amekutwa amefariki mtoni Ujerumani … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtoto wa mwandishi anusurika kutekwa

Kamanda wa polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Robert Boaz amewatahadharisha wazazi wenye watoto wadogo kuwaelimisha wafanyakazi wa ndani kutowakabidhi watoto wao kwa watu wasiowafahamu.

 

10 years ago

GPL

ANUSURIKA KUFA BAADA YA KUGONGWA NA BODABODA

Polisi akizungumza jambo katikati ya mashuhuda wa ajali hiyo. Kundi la watu likiwa limemzunguka mwanamke aliyegongwa na bodaboda (haonekani).  Kushoto (mwenye bodaboda akiwa na shati jeupe) ni mtu aliyemgonga mwanamke huyo. Na Gabriel Ng’osha/GPL  MWANAMKE mmoja ambaye jina lake halikufahamika amenusurika katika ajali  baada ya kugongwa  na bodaboda  (pikipiki) maeneo ya Ubungo mnamo saa… ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mtoto aanguka toka orofa ya 11 anusurika

Mtoto mwenye mwaka mmoja anusurika baada ya kuanguka toka orofa ya 11

 

11 years ago

GPL

MTOTO AANGUKA TOKA GOROFA YA 11 ANUSURIKA

Mtoto aanguka toka orofa ya11anusurika. Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja amenusurika kifo baada ya kuanguka kutoka orofa ya 11 ya jengo moja mjini Minnesota Marekani. Vyombo vya habari katika jimbo hilo vimeripoti kuwa Musa Dayib, amevunjika mkono mara mbili na kwa sasa anapumua kwa usaidizi wa mashine japo madaktari wanamtarajia kuishi.
Musa aliteleza katikati ya mianya inayozingira sebule yao katika orofa ya 11 ya mjengo huo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto mchanga anusurika kuuawa Kenya

Mila na desturi za Jamii ya Bukusu huwauwa Watoto waliotokana na mahusiano ya maharimu au jamaa wa familia moja

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani