Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto aanguka toka orofa ya 11 anusurika

Mtoto mwenye mwaka mmoja anusurika baada ya kuanguka toka orofa ya 11

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MTOTO AANGUKA TOKA GOROFA YA 11 ANUSURIKA

Mtoto aanguka toka orofa ya11anusurika. Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja amenusurika kifo baada ya kuanguka kutoka orofa ya 11 ya jengo moja mjini Minnesota Marekani. Vyombo vya habari katika jimbo hilo vimeripoti kuwa Musa Dayib, amevunjika mkono mara mbili na kwa sasa anapumua kwa usaidizi wa mashine japo madaktari wanamtarajia kuishi.
Musa aliteleza katikati ya mianya inayozingira sebule yao katika orofa ya 11 ya mjengo huo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Breaking Newsss!!! Mtoto wa mwaka mmoja na nusu aanguka gorofa ya 5 flati za Mwenge Magorofani

DSC00528

Katika hali hisiyo ya kawaida, mtoto mmoja ambaye jina lake halijafahaamika ameanguka mchana wa leo kutoka juu ya jengo la gorofa, gorofa ya tano, huko maeneo ya kota za jeshi, Mwenge Magorofani..

Kwa mujibu wa mashuhuda walioshuhudia tukio hilo wameelea kuwa, mtoto huyo hadi sasa ameumia vibaya sehemu za kichwani na kutoka damu nyingi, ambapo awali alikimbizwa hospitali ya Lugalo na baadae amepelekwa Muhimbili.

 kwa taarifa zaidi zitaendelea kuwajia hivi punde.

0719076376.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtoto wa mwandishi anusurika kutekwa

Kamanda wa polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Robert Boaz amewatahadharisha wazazi wenye watoto wadogo kuwaelimisha wafanyakazi wa ndani kutowakabidhi watoto wao kwa watu wasiowafahamu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto anusurika baada ya kutumbukia mtoni

Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja amenusuriwa kutoka mtoni zaidi ya saa 14 baada ya gari lao kutumbukia

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto mchanga anusurika kuuawa Kenya

Mila na desturi za Jamii ya Bukusu huwauwa Watoto waliotokana na mahusiano ya maharimu au jamaa wa familia moja

 

9 years ago

Mtanzania

Mtoto wa Wasira anusurika kuchomwa moto Bunda

Mh.StephenWassiraNa Shomari Binda, Bunda

MGOMBEA ubunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Jimbo la Bunda Mjini, Ester Bulaya, amesema amemwokoa mtoto wa Waziri wa Chakula na Ushirika, Stephen Wasira, aliyetaka kuchomwa moto ndani ya nyumba na wananchi kwa madai ya kugawa rushwa.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Bunda jana, Bulaya alisema mtoto huyo aliyejulikana kwa jina la  Kambarage, alikumbana na mkasa huo juzi kwenye Kata ya Kunzugu eneo la Bukore.

Alisema Kambarage akiwa na...

 

11 years ago

GPL

MTOTO ANUSURIKA KUFA KWA AJALI TABATA-DAR

Mtoto Sadam akiwa amejeruhiwa mikononi baada ya kugongwa na gari aina ya Toyota Carry eneo la Tabata West Mtoto Sadam akionekana baada ya kunusurika na ajali hiyo…

 

11 years ago

Mwananchi

Mtoto wa miaka 13 anusurika kuchinjwa na baba yake mzazi

Mwanafunzi wa darasa la tatu Shule ya Msingi Majengo, wilayani Kahama, mkoani Shinyanga amelazwa katika Hospitali ya wilaya baada ya kunusurika kifo kutokana na jaribio la kuchinjwa na baba yake mzazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani