Mtoto aanguka toka orofa ya 11 anusurika
Mtoto mwenye mwaka mmoja anusurika baada ya kuanguka toka orofa ya 11
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYk04kvO7XNpy96T7S8xQbH2YD8vudGBpxMmz5MchTwvqg6*BNoYzaC2eqkIuepmXvr0opSfIxi2MoIIt0aUtSCb/mtoto_anusurika_baada_ya_kuanguka_toka_orofa_ya_11_512x288_bbc_nocredit.jpg?width=600)
MTOTO AANGUKA TOKA GOROFA YA 11 ANUSURIKA
10 years ago
Dewji Blog15 Apr
Breaking Newsss!!! Mtoto wa mwaka mmoja na nusu aanguka gorofa ya 5 flati za Mwenge Magorofani
Katika hali hisiyo ya kawaida, mtoto mmoja ambaye jina lake halijafahaamika ameanguka mchana wa leo kutoka juu ya jengo la gorofa, gorofa ya tano, huko maeneo ya kota za jeshi, Mwenge Magorofani..
Kwa mujibu wa mashuhuda walioshuhudia tukio hilo wameelea kuwa, mtoto huyo hadi sasa ameumia vibaya sehemu za kichwani na kutoka damu nyingi, ambapo awali alikimbizwa hospitali ya Lugalo na baadae amepelekwa Muhimbili.
kwa taarifa zaidi zitaendelea kuwajia hivi punde.
0719076376.
11 years ago
Mwananchi01 May
Mtoto wa mwandishi anusurika kutekwa
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Mtoto anusurika baada ya kutumbukia mtoni
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Mtoto mchanga anusurika kuuawa Kenya
9 years ago
Mtanzania10 Sep
Mtoto wa Wasira anusurika kuchomwa moto Bunda
Na Shomari Binda, Bunda
MGOMBEA ubunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Jimbo la Bunda Mjini, Ester Bulaya, amesema amemwokoa mtoto wa Waziri wa Chakula na Ushirika, Stephen Wasira, aliyetaka kuchomwa moto ndani ya nyumba na wananchi kwa madai ya kugawa rushwa.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Bunda jana, Bulaya alisema mtoto huyo aliyejulikana kwa jina la Kambarage, alikumbana na mkasa huo juzi kwenye Kata ya Kunzugu eneo la Bukore.
Alisema Kambarage akiwa na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FBfnXTo9RIF7nj7T40MA4zRKCEYvIwlltgSUhKpOF-hErwovEMkk-IR7MEiMKzs66R6rJ*BnZ6lmBiQ3B1ErCxlk94ZU8nnU/MtotoSadamakiwaamejerehuliwamikononi.jpg?width=650)
MTOTO ANUSURIKA KUFA KWA AJALI TABATA-DAR
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Mtoto wa miaka 13 anusurika kuchinjwa na baba yake mzazi