Breaking Newsss!!! Mtoto wa mwaka mmoja na nusu aanguka gorofa ya 5 flati za Mwenge Magorofani
Katika hali hisiyo ya kawaida, mtoto mmoja ambaye jina lake halijafahaamika ameanguka mchana wa leo kutoka juu ya jengo la gorofa, gorofa ya tano, huko maeneo ya kota za jeshi, Mwenge Magorofani..
Kwa mujibu wa mashuhuda walioshuhudia tukio hilo wameelea kuwa, mtoto huyo hadi sasa ameumia vibaya sehemu za kichwani na kutoka damu nyingi, ambapo awali alikimbizwa hospitali ya Lugalo na baadae amepelekwa Muhimbili.
kwa taarifa zaidi zitaendelea kuwajia hivi punde.
0719076376.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYk04kvO7XNpy96T7S8xQbH2YD8vudGBpxMmz5MchTwvqg6*BNoYzaC2eqkIuepmXvr0opSfIxi2MoIIt0aUtSCb/mtoto_anusurika_baada_ya_kuanguka_toka_orofa_ya_11_512x288_bbc_nocredit.jpg?width=600)
MTOTO AANGUKA TOKA GOROFA YA 11 ANUSURIKA
10 years ago
Bongo501 Jun
Nimejipa break ya masuala ya uhusiano kwa karibia mwaka mmoja na nusu — AY
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-O8QviIT6bFk/Vfq_mt0SrhI/AAAAAAAH5lY/TT9TVsj-Dy0/s72-c/IMG-20150917-WA0031.jpg)
BREAKING NEWSSS!!!! UONGOZI WA NCCRA-MAGEUZI WATOFAUTIANA NDANI YA "UKAWA"
![](http://4.bp.blogspot.com/-O8QviIT6bFk/Vfq_mt0SrhI/AAAAAAAH5lY/TT9TVsj-Dy0/s640/IMG-20150917-WA0031.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zifhJL5uS68/VfrE0gJMmlI/AAAAAAAH5lo/oFoilpgm3T0/s640/IMG-20150917-WA0033.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz61mtUTz9nD1KEnSjyJcN5-XP71nTWmkMQWKBqdImnp28FrxBbHG1U*YlvRqtMCB9ylOJUvJcMylsToEEssBdg52/flora.jpg)
FLORA MVUNGI: MVUNGI NDOA MWAKA MMOJA, MTOTO MMOJA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnXCiHu78EKtaS8LMjlA5eFg*mMIMZpfdlVTa0LKWg4qGmMkjXXksS3g3oMO9*Ab5waLTUJLfotvJ0E-AHRNtOaT/mtoto.jpg)
MTOTO MWAKA MMOJA ABAKWA
10 years ago
Dewji Blog11 Jan
MTUKURU waua mtoto wa mwaka mmoja Singida
Kamanda wa polisi mkoa wa Singida, ACP Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake.
Na Nathaniel Limu, Singida
POLISI mkoani Singida inamshikilia mwanamke mmoja kwa tuhuma ya kusababisha kifo cha mtoto wa mwaka mmoja na mama mtoto kulazwa baada ya kunywa pombe ya ‘Mtukuru’ nyumbani kwa mtuhumiwa.
Kamanda wa polisi mkoa, Thobias Sedoyeka alimtaja mwanamke anayeshikiliwa kuwa ni Anastazia Kadama (35) mkazi wa kijiji cha Msule, Misughaa wilayani Ikungi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx8UjAaansOwysHrvPgp4YySotBfqb908hNnCJL95AYeFU2udJM47RyF00VjV0JmvZOfOPxvvvnEdDidGVyVpRu0/TOT0OO.jpg)
MTOTO MWAKA MMOJA ATELEKEZWA, OFM YAMUOKOA
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Mtoto wa mwaka mmoja afariki dunia baada ya kutumbukia Kisimani Mbeya
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi.
Na Emanuel Madafa, Mbeya
Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi saba Promis Dank mkazi wa bwawani wilaya ya Chunya amefariki dunia njiani akiwa anapelekwa hospitali baada ya kutumbukia kisimani.
Tukio hilo limetokea Novemba 112 majira ya saa 12 asubuhi huko kitongoji cha Railway, kata ya Bwawani, wilaya ya Chunya, mkoa wa Mbeya.
Inadaiwa kuwa, mtoto huyo baada ya kutumbukia kwenye kisima hicho ambacho kilikuwa wazi, aliokolewa akiwa hai...