MWANDISHI ALBINO ANUSURIKA KIFO MARA MBILI
![](http://api.ning.com:80/files/gDF3S0THO9yqjzeiLzp-9yhlc5O0D4*rONSwxL5KszaqEPptZoZMhkbxCx2fqn66ZldByx88Iw8LQsFvvTXDfeccYsOjKQeO/2.jpg?width=650)
OJUKU ABRAHAM/Amani MWANDISHI wa habari mwandamizi, Henry Mdimu ambaye ni Albino, aliyejiteua kuwa Balozi wa kuwatetea walemavu wa ngozi kwa kuanzisha kampeni aliyoiita Imetosha, kutokana na kukithiri kwa mauaji dhidi yao, amesema alinusurika kuuawa mara mbili na watu alioamini walihitaji viungo vyake, Amani lina data kamili. Mwandishi wa habari mwandamizi, Henry Mdimu. Akizungumza na gazeti hili juu ya nia yake hiyo ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 May
Mtoto wa mwandishi anusurika kutekwa
10 years ago
Mwananchi07 Mar
MAUAJI ALBINO: Albino: Adhabu ya kifo sawa
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
Albino Kaliua anusurika kutekwa
BINTI mwenye ulemavu wa ngozi (Albino), Kulwa Joseph (21), mkazi wa Kijiji cha Usonga Kata ya Silambo Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, ameponea chupuchupu kutekwa baada ya kuvamiwa katika makazi...
10 years ago
GPLANUSURIKA KIFO UBUNGO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycMvbjqO9ikayxyhkFlpUsFWWvI4dwIoFrr8zgIAJIHoxvu4sdrX4OfB8ili-oe*tEnuukJodGgoEuhImI7E1BOQ/msung.gif?width=650)
MSUNGU ANUSURIKA KIFO
11 years ago
Habarileo14 Dec
Lowassa anusurika kifo
ABIRIA kadhaa akiwemo Waziri Mkuu wa zamani ambaye kwa sasa ni Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, wamenusurika kufa baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kupasuka matairi yote manne ya nyuma wakati ilipokuwa ikitua katika Uwanja wa Ndege wa Arusha uliopo eneo la Kisongo, jana mchana.
10 years ago
GPLMAMA ANUSURIKA KIFO
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Mbowe anusurika kifo ajalini
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amenusurika kifo baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka jijini Mwanza kwenda wilayani Ngara, Kagera kupata ajali. Ajali hiyo ilitokea jana...