BINTI ATEKWA NA WACHUNA NGOZI
![](http://api.ning.com:80/files/LB6l9Yyl8LDEwyoMVFIVzhVEqEyKC-5iOtb3YXwx9xYWXk*u5BbRHH6*yOc1Mz9buUDgT3T*c2-8XwJp9IS9l7Vgzs5Er-BD/BINTI.jpg)
Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela MBONA majanga! Mrembo aliyejitambulisha kwa jina la Latifa Abdallah (19), mkazi wa Kinondoni –Mkwajuni, Dar amesimulia alivyotekwa na watu aliodai ni wachuna ngozi wakiwa na mwanamke aliyevalia kininja ndani ya gari jeusi. Binti anayetambulika kwa jina la Latifa Abdallah (wa pili kushoto) akiwa na ndugu zake. Akizungumza na Uwazi jijini Dar, juzi, Latifa alidai Oktoba 19,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo03 Nov
Binti mlemavu wa ngozi anusurika kutekwa
BINTI mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Kulwa Joseph (21) mkazi wa kijiji cha Usonga, Kata ya Silambo wilaya ya Kaliua mkoani Tabora ameponea chupuchupu kutekwa na baada ya kuvamia makazi alikokuwa akiishi.
11 years ago
Mwananchi31 Jan
AFYA YA NGOZI: Saratani ya ngozi aina ya Melanoma ni hatari kiasi gani?
11 years ago
Habarileo01 Apr
'Mawakili wengi ni wachuna fedha'
ONGEZEKO la Mawakili wa Kujitegemea wanaotetea wananchi katika mahakama za ngazi ya wilaya na mkoa nchini linadaiwa kusababisha mafuriko ya wanasheria hao ambapo baadhi sasa wamebainika kutumia fursa hiyo vibaya kwa ajili ya kujipatia fedha badala ya kuwatetea wananchi ili wapate haki yao kwa wakati.
11 years ago
Mwananchi01 Aug
AFYA YA NGOZI: Maradhi ya ngozi kwa njia ya ngono
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-RHmNVf9reuPUcH5PFszX5mfR64PoyY--vFOFoyvNdGkDRhLfB7MnzwwOb8VjOUNIjmJYMelY8RO4TRiJDSz0wa/Afande.jpg?width=650)
POLISI ATEKWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwLO6VB1VFlx97ZE2VTx2GjjLnz7pzn7CQlEgUYPAhhEYeaPtIZJbVVIWJPAs*RbXAPwT5fVF26PLFa9jxZtTFJ5/21.jpg?width=650)
MWANAFUNZI ATEKWA, AUAWA
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Mbunge CHADEMA atekwa
HUKUMU ya wagombea ubunge wa Jimbo la Kalenga inatarajiwa kujulikana leo baada ya wakazi wake kupiga kura za kumchagua mbunge. Uchaguzi huo unafanyika kutokana na kifo cha William Mgimwa, aliyefariki...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LB6l9Yyl8LDkzUFMtE*noWtEqXHn*bt94wwyJIwdkIgVRxHl53lcr-GBEPfJYc*KDllEWH-CKdSyCDg9EgL51uOU4amiwpWD/ccm.jpg)
MWANACCM ATEKWA, AUAWA
11 years ago
Habarileo12 Aug
Dereva bodaboda atekwa, auawa
MWENDESHA pikipiki maarufu kama bodaboda, Nuru James (19), ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wasiofahamika wilayani hapa, mkoani Mara.