Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANACCM ATEKWA, AUAWA

Stori: Denis Mtima na Haruni Sanchawa
UKATILI! Watu wasiojulikana wameyakatisha maisha ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM),  Tawi la Mkwajuni, Kigamboni jijini Dar,  Ibrahim Hamis (30).Tukio hilo la kusikitisha na lililowaacha midomo wazi wakazi wa eneo hilo, lilijiri usiku wa saa mbili hivi karibuni. Waombolezaji wakiubeba mwili wa aliyekuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MWANAFUNZI ATEKWA, AUAWA

Na Waandishi Wetu
DUNIA imekwisha jamani! Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari ya Mabibo, Dar, Irene Said (15) ametekwa, amebakwa na kuuawa kikatili kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili huku ikidaiwa kuwa, kijana mmoja asiyejulikana alifika nyumbani kwao, Kigogo Luhanga na kutaka kiroba na mtu mmoja waongozane akabebe ndizi. Polisi wakiwa wamebeba mwili wa marehemu. Akizungumzia...

 

11 years ago

Habarileo

Dereva bodaboda atekwa, auawa

MWENDESHA pikipiki maarufu kama bodaboda, Nuru James (19), ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wasiofahamika wilayani hapa, mkoani Mara.

 

10 years ago

GPL

DENTI WA KIDATO CHA NNE ATEKWA, AUAWA

Stori: Haruni Sanchawa
SIMANZI! Mwanafunzi wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari ya Abdu Jumaa iliyopo Kitunda, jijini Dar es Salaam, Enock Mseti (20) alitekwa na watu wasiojulikana kisha kuuawa kikatili na maiti yake kutupwa kando ya reli hivi karibuni. Mwili wa Enock Mseti ukiandaliwa kwa ajili ya mazishi. Akizungumza na gazeti hili nyumbani kwake Kitunda, baba mzazi wa marehemu, Reuben Mseti alisema kijana wake...

 

10 years ago

GPL

MTOTO MWINGINE ATEKWA, AUAWA, AKATWA NYETI

Stori: Mwandishi wetu          
WIMBI la utekaji na mauaji ya watoto katika Jiji la Dar bado ni tishio kufuatia wiki iliyopita, maiti ya mtoto Nuru Mohamed (7) mkazi wa Majohe Kichangani Wilaya ya Ilala, kuokotwa ikiwa imeharibika vibaya, tena baadhi ya viungo vyake vikiwa vimenyofolewa. Mtoto Nuru Mohamed (7) aliyetekwa na kuuawa na mtu asiyefahamika. Tukio hilo la kusikitisha lilitokea Novemba 6,...

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE ATEKWA, AUAWA, MAITI YALIWA NA MBWA

Stori: Haruni Sanchawa, Bagamoyo MAMA mmoja mkazi wa Kijiji cha Bago, Kata ya Kiwangwa Tarafa ya Msata wilayani Bagamoyo, mkoani Pwani aliyefahamika kwa jina la Asha Mrisho (pichani), amekutwa ameuawa na kufukiwa kwenye shamba la mananasi. Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Bago, Maulid Omary Tamla akionesha sehemu alipofukiwa marehemu Asha Mrisho kwa mara ya kwanza . Katika tukio hilo, mama huyo inadaiwa  aliaga kuwa...

 

10 years ago

GPL

POLISI ATEKWA

Haruni Sanchawa na Shani Ramadhani Askari Polisi wa Kikosi  cha Tazara jijini Dar es Salaam  kinachosimamia ulinzi na usalama wa Reli ya Tanzania na  Zambia  aliyetajwa kwa jina la PC Gineneko, ametekwa kisha kuporwa bunduki aina ya SMG ikiwa na risasi 30 , Mei 27, mwaka  huu. PC Gineneko akiwa na majeraha baada ya kuvamiwa na majambazi. Watekaji hao mara baada ya kumpora bunduki askari huyo eneo la Yombo, Ilala...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge CHADEMA atekwa

HUKUMU ya wagombea ubunge wa Jimbo la Kalenga inatarajiwa kujulikana leo baada ya wakazi wake kupiga kura za kumchagua mbunge. Uchaguzi huo unafanyika kutokana na kifo cha William Mgimwa, aliyefariki...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwandishi MCL atekwa, apigwa

Mwandishi wa Habari wa Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd mkoani Mara, Christopher Maregesi amejeruhiwa na kulazwa Hospitali ya Bunda, baada ya kundi la watu wanaodaiwa kuwa wanachama wa moja ya vyama vya siasa wakiwa na viongozi wao kumteka ambapo walimmpiga, kumtesa na kumjeruhi huku wakimpora vitendea kazi vyake ikiwamo kamera.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani