POLISI ATEKWA
![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-RHmNVf9reuPUcH5PFszX5mfR64PoyY--vFOFoyvNdGkDRhLfB7MnzwwOb8VjOUNIjmJYMelY8RO4TRiJDSz0wa/Afande.jpg?width=650)
Haruni Sanchawa na Shani Ramadhani Askari Polisi wa Kikosi cha Tazara jijini Dar es Salaam kinachosimamia ulinzi na usalama wa Reli ya Tanzania na Zambia aliyetajwa kwa jina la PC Gineneko, ametekwa kisha kuporwa bunduki aina ya SMG ikiwa na risasi 30 , Mei 27, mwaka huu. PC Gineneko akiwa na majeraha baada ya kuvamiwa na majambazi. Watekaji hao mara baada ya kumpora bunduki askari huyo eneo la Yombo, Ilala...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo27 Mar
Mfanyabiashara atekwa, Polisi wamuokoa
POLISI mkoani Singida inashikilia watu watatu, akiwemo mganga wa tiba asilia kutoka Tanga, kwa tuhuma za kumteka nyara mfanyabiashara mkazi wa Manyoni.
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Mbunge CHADEMA atekwa
HUKUMU ya wagombea ubunge wa Jimbo la Kalenga inatarajiwa kujulikana leo baada ya wakazi wake kupiga kura za kumchagua mbunge. Uchaguzi huo unafanyika kutokana na kifo cha William Mgimwa, aliyefariki...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LB6l9Yyl8LDkzUFMtE*noWtEqXHn*bt94wwyJIwdkIgVRxHl53lcr-GBEPfJYc*KDllEWH-CKdSyCDg9EgL51uOU4amiwpWD/ccm.jpg)
MWANACCM ATEKWA, AUAWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwLO6VB1VFlx97ZE2VTx2GjjLnz7pzn7CQlEgUYPAhhEYeaPtIZJbVVIWJPAs*RbXAPwT5fVF26PLFa9jxZtTFJ5/21.jpg?width=650)
MWANAFUNZI ATEKWA, AUAWA
11 years ago
BBCSwahili27 Jul
Mke wa mwanasiasa atekwa Cameroon
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LB6l9Yyl8LDEwyoMVFIVzhVEqEyKC-5iOtb3YXwx9xYWXk*u5BbRHH6*yOc1Mz9buUDgT3T*c2-8XwJp9IS9l7Vgzs5Er-BD/BINTI.jpg)
BINTI ATEKWA NA WACHUNA NGOZI
11 years ago
Habarileo12 Aug
Dereva bodaboda atekwa, auawa
MWENDESHA pikipiki maarufu kama bodaboda, Nuru James (19), ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wasiofahamika wilayani hapa, mkoani Mara.
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Mwandishi MCL atekwa, apigwa
11 years ago
Habarileo08 Jan
Kigogo Chadema atekwa, ateswa
MGOGORO unaoendelea ndani ya Chadema una uhusiano na tukio la kutekwa na kuteswa kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wa Wilaya ya Temeke, Joseph Yona, Polisi imesema.