Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BMTL —COPY CAT TANZANIA LIMITED YAZINDUA MFUMO WA MITANDAO.

Mkuu wa Biashara za Kimtandao wa Copy Cat Tanzania Limited,Jonnavithola Prasad akizungumza na waandishi wa habari juu uzinduzi wa kifaa cha kuzuia wizi wa mtandao na jinsi walivyojipanga katika kutoa ushauri wa kifaa hicho katika hafla  hiyo ilifanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam jana.Mshauri wa Teknolojia na Biashara wa Copy Cate Tanzania Limited, Nathalie Ayonga akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya uzinduzi wa kifaa cha kuzuia wizi wa mtandao,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

BMTL yabadili jina la kibiashara na kuwa Copy Cat rasmi

BMTL CEO

Afisa Mtendaji Mkuu wa BMTL, Copy Cat, Bw Mike Holtham akizungumza na mmoja wa wageni waalikwa katika sherehe hizo za kuzindua jina jipya nchini na kuzungumza na wateja wao.

.Yapata Afisa Mtendaji Mkuu Mpya

.yawa wakala rasmi wa bidhaa za Samsung Tanzania 

Na Damas Makangale, MOblog Tanzania

KAMPUNI ya Business Machines Tanzania Limited (BMTL) imebadilisha rasmi jina lake la biashara kwenda kwenye kampuni yake mama ya Copy Cat katika harakati zake za kupanua wigo wa biashara...

 

9 years ago

Dewji Blog

‘What The Copy Cat Tanzania Ltd Does in Imaging Solutions’

DSC_1872Copy Cat Tanzania Ltd Chief Executive Officer (CEO), Mr Mike Holtham. Said that the company represents Ricoh and distributes their products throughout East Africa, including Tanzania with experience of more than 20 years across East Africa.

[Dar es Salaam-TANZANIA] The Copy Cat Group is proud to represent Ricoh and to distribute and service Ricoh products throughout East Africa, including Tanzania.

The Copy Cat group’s experience of more than 20 years across East Africa in IT & Office...

 

9 years ago

Vijimambo

CONNECTMOJA TECHNOLOGIES LIMITED WAZINDUA MFUMO MPYA WA SCHOOL MANAGEMENT SYSTEM

Kampuni ya Connectmoja Technologies  inayoendesha shughuli zake hapa nchini Tanzania leo imezindua Mfumo madhubuti unaojulikana kwa jina la  KSchool  Management system.



Akizungumza na wana habari, Mtaalamu wa utafiti na ukuzaji wa Masoko Bw. Fred Crich amewaambia wanahabari kwamba Kampuni yao ya ConnectMoja Technologies  imejikita zaidi katika kuhakikisha inasaidia sekta ya elimu na uwekezaji kukua pamoja na maendeleo ya Teknolojia hapa Nchini.




Bw. Crich amesema mfumo  huu umewalenga wamiliki...

 

9 years ago

Vijimambo

WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII YAZINDUA MFUMO WA UTUNZAJI WA TAARIFA ZA VITUO VYA AFYA TANZANIA BARA

 Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Donan Mmbando (kulia), akibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi wa mfumo wa taarifa ya vituo vya afya nchini uliofanyika Dar es Salaam leo asubuhi. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Tehama wa   wizara hiyo, Hermes Rulagirwa na Ofisa wa Tehama, Kenani Mwansasu. Hapa ni kupongezana baada ya uzinduzi huo.
 Mkuu wa Kitengo cha Tehama wa   wizara hiyo, Hermes Rulagirwa (kulia), akizungumza na wanahabari. Wadau mbalimbali wa sekta ya Afya wakiwa kwenye...

 

5 years ago

BBCSwahili

China yazindua mfumo wa kutambua unyanyasaji

Mji wa Yiwu nchini China umeanzisha mfumo utakaowezesha watu kufahamu kiwa wapenzi wao wana historia ya unyanyasaji kabla ya kufunga ndoa.

 

9 years ago

Global Publishers

NMB yazindua mfumo wa kisasa wa taarifa za mikopo

NMB-1Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc Ineke Bussemaker akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa za mikopo uliozinduliwa na Benki hiyo. Mfumo huo utatutumika kwenye kanzi data ya Mikopo ya Benki hiyo ( CRB’s) kwa lengo la kuwawezesha wateja wakubwa na wadogo wa wanaoomba mikopo kuipata ndani ya siku 1 hadi 4 .NMB -2Afisa Mkuu Udhibiti wa Hasara wa Benki ya NMB Bw. Tom Borghols (wa pili kutoka kushoto) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa Habari (hawapo...

 

5 years ago

Michuzi

Zantel yazindua BongaMpakaBasi kuwawezesha wateja kupiga simu mitandao yote kwa gharama nafuu

Katika kuleta unafuu wa huduma za mawasiliano nchini, Kampuni ya simu ya Zantel leo imezindua bidhaa ya bando ijulikanayo kama ‘BongaMpakaBasi’ili kuwawezesha wateja wake kupiga simu kwenda mitandao yote kwa gharama nafuu.
Huduma hiyo, itawafanya wateja wa Zantel kupiga simu kwenda mitandao mingine kwa gharama ileile ya kupiga ndani ya mtandao kupitia kifurushi kimoja cha ‘BongaMpakaBasi’.Bidhaa hiyo inatajwa kuchochea shughuli za kiuchumi na kijamii hapa nchini.
Akizungumza wakati wa uzinduzi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wizara ya Afya yazindua mfumo wa utunzaji wa taarifa wa ‘e-Health’ nchini

DSC_0832

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Donan Mmbando akitoa hotuba yake ya kuzindua mfumo wa utunzaji wa taarifa za vituo vya afya vya  Tanzania Bara jijini Dar es Salaam.

DSC_0838

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Donan Mmbando akionyeza kitufe kuashiria uzinduzi rasmi wa mfumo wa utunzaji wa taarifa za vituo vya afya vya  Tanzania Bara jijini Dar es Salaam.

DSC_0862

Baadhi ya wadau wakiwa katika uzinduzio huo.(Magreth Kinabo – Maelezo).

Beatrice Lyimo- MAELEZO

Serikali...

 

5 years ago

Michuzi

NCAA YAZINDUA MFUMO WA UTALII MTANDAO KUWAUNGANISHA WADAU MBALIMBALI DUNIANI.


Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Prof. Adolf Mkenda akiongea na Menejimenti ya NCAA wakati wa uzinduzi wa mfumo wa Utalii kwa Njia ya Mtandao (Tourism Web Camera) katika Ofisi za Mamlaka hiyo.
Sehemu ya wajumbe wa Menejimenti ya NCAA wakifuatilia uzinduzi huo
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Prof. Adolf Mkenda (wa pili kulia) akizungumza na Kamishna wa Uhifadhi NCAA Dkt Freddy Manongi (kushoto) na Kamishna wa Uhifadhi wa Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) Prof. Dos...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani