BMTL —COPY CAT TANZANIA LIMITED YAZINDUA MFUMO WA MITANDAO.
Mkuu wa Biashara za Kimtandao wa Copy Cat Tanzania Limited,Jonnavithola Prasad akizungumza na waandishi wa habari juu uzinduzi wa kifaa cha kuzuia wizi wa mtandao na jinsi walivyojipanga katika kutoa ushauri wa kifaa hicho katika hafla hiyo ilifanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam jana.
Mshauri wa Teknolojia na Biashara wa Copy Cate Tanzania Limited, Nathalie Ayonga akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya uzinduzi wa kifaa cha kuzuia wizi wa mtandao,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog15 Apr
BMTL yabadili jina la kibiashara na kuwa Copy Cat rasmi
Afisa Mtendaji Mkuu wa BMTL, Copy Cat, Bw Mike Holtham akizungumza na mmoja wa wageni waalikwa katika sherehe hizo za kuzindua jina jipya nchini na kuzungumza na wateja wao.
.Yapata Afisa Mtendaji Mkuu Mpya
.yawa wakala rasmi wa bidhaa za Samsung Tanzania
Na Damas Makangale, MOblog Tanzania
KAMPUNI ya Business Machines Tanzania Limited (BMTL) imebadilisha rasmi jina lake la biashara kwenda kwenye kampuni yake mama ya Copy Cat katika harakati zake za kupanua wigo wa biashara...
9 years ago
Dewji Blog01 Oct
‘What The Copy Cat Tanzania Ltd Does in Imaging Solutions’
Copy Cat Tanzania Ltd Chief Executive Officer (CEO), Mr Mike Holtham. Said that the company represents Ricoh and distributes their products throughout East Africa, including Tanzania with experience of more than 20 years across East Africa.
[Dar es Salaam-TANZANIA] The Copy Cat Group is proud to represent Ricoh and to distribute and service Ricoh products throughout East Africa, including Tanzania.
The Copy Cat group’s experience of more than 20 years across East Africa in IT & Office...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uQ5Su1x8bp4/VhZh2qrTrqI/AAAAAAAAWsI/4xj4lGcCV8I/s72-c/banner.png)
CONNECTMOJA TECHNOLOGIES LIMITED WAZINDUA MFUMO MPYA WA SCHOOL MANAGEMENT SYSTEM
![](http://3.bp.blogspot.com/-uQ5Su1x8bp4/VhZh2qrTrqI/AAAAAAAAWsI/4xj4lGcCV8I/s640/banner.png)
Akizungumza na wana habari, Mtaalamu wa utafiti na ukuzaji wa Masoko Bw. Fred Crich amewaambia wanahabari kwamba Kampuni yao ya ConnectMoja Technologies imejikita zaidi katika kuhakikisha inasaidia sekta ya elimu na uwekezaji kukua pamoja na maendeleo ya Teknolojia hapa Nchini.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Uwf_wyN5h0s/VhZhwsBHBOI/AAAAAAAAWsA/dxEBE2J6nNo/s640/CATA3.png)
Bw. Crich amesema mfumo huu umewalenga wamiliki...
9 years ago
VijimamboWIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII YAZINDUA MFUMO WA UTUNZAJI WA TAARIFA ZA VITUO VYA AFYA TANZANIA BARA
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
China yazindua mfumo wa kutambua unyanyasaji
9 years ago
Global Publishers16 Dec
NMB yazindua mfumo wa kisasa wa taarifa za mikopo
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc Ineke Bussemaker akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa za mikopo uliozinduliwa na Benki hiyo. Mfumo huo utatutumika kwenye kanzi data ya Mikopo ya Benki hiyo ( CRB’s) kwa lengo la kuwawezesha wateja wakubwa na wadogo wa wanaoomba mikopo kuipata ndani ya siku 1 hadi 4 .
Afisa Mkuu Udhibiti wa Hasara wa Benki ya NMB Bw. Tom Borghols (wa pili kutoka kushoto) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa Habari (hawapo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b6-3nGbVi0Q/XlaR5UgS5HI/AAAAAAAEFz8/HTXgsTASh-8vqILkIW6e74ZAXeiXYhTggCLcBGAsYHQ/s72-c/2dec0f48-c958-40c0-b6b4-572f1efcbd7b.jpg)
Zantel yazindua BongaMpakaBasi kuwawezesha wateja kupiga simu mitandao yote kwa gharama nafuu
Huduma hiyo, itawafanya wateja wa Zantel kupiga simu kwenda mitandao mingine kwa gharama ileile ya kupiga ndani ya mtandao kupitia kifurushi kimoja cha ‘BongaMpakaBasi’.Bidhaa hiyo inatajwa kuchochea shughuli za kiuchumi na kijamii hapa nchini.
Akizungumza wakati wa uzinduzi...
9 years ago
Dewji Blog10 Sep
Wizara ya Afya yazindua mfumo wa utunzaji wa taarifa wa ‘e-Health’ nchini
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Donan Mmbando akitoa hotuba yake ya kuzindua mfumo wa utunzaji wa taarifa za vituo vya afya vya Tanzania Bara jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Donan Mmbando akionyeza kitufe kuashiria uzinduzi rasmi wa mfumo wa utunzaji wa taarifa za vituo vya afya vya Tanzania Bara jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau wakiwa katika uzinduzio huo.(Magreth Kinabo – Maelezo).
Beatrice Lyimo- MAELEZO
Serikali...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FOmQCIfwPm4/Xp_2o-QyW4I/AAAAAAALnxk/zKiJGcUtFvoy5kzUMTlrm2r32Z4U94KmACLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-namba-moja-Prof.-Adolf-Mkenda-768x768.jpg)
NCAA YAZINDUA MFUMO WA UTALII MTANDAO KUWAUNGANISHA WADAU MBALIMBALI DUNIANI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-FOmQCIfwPm4/Xp_2o-QyW4I/AAAAAAALnxk/zKiJGcUtFvoy5kzUMTlrm2r32Z4U94KmACLcBGAsYHQ/s640/Picha-namba-moja-Prof.-Adolf-Mkenda-768x768.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Prof. Adolf Mkenda akiongea na Menejimenti ya NCAA wakati wa uzinduzi wa mfumo wa Utalii kwa Njia ya Mtandao (Tourism Web Camera) katika Ofisi za Mamlaka hiyo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/Picha-namba-2--1024x592.jpg)
Sehemu ya wajumbe wa Menejimenti ya NCAA wakifuatilia uzinduzi huo
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/Picha-namba-3-1024x434.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Prof. Adolf Mkenda (wa pili kulia) akizungumza na Kamishna wa Uhifadhi NCAA Dkt Freddy Manongi (kushoto) na Kamishna wa Uhifadhi wa Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) Prof. Dos...