NCAA YAZINDUA MFUMO WA UTALII MTANDAO KUWAUNGANISHA WADAU MBALIMBALI DUNIANI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-FOmQCIfwPm4/Xp_2o-QyW4I/AAAAAAALnxk/zKiJGcUtFvoy5kzUMTlrm2r32Z4U94KmACLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-namba-moja-Prof.-Adolf-Mkenda-768x768.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Prof. Adolf Mkenda akiongea na Menejimenti ya NCAA wakati wa uzinduzi wa mfumo wa Utalii kwa Njia ya Mtandao (Tourism Web Camera) katika Ofisi za Mamlaka hiyo.
Sehemu ya wajumbe wa Menejimenti ya NCAA wakifuatilia uzinduzi huo
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Prof. Adolf Mkenda (wa pili kulia) akizungumza na Kamishna wa Uhifadhi NCAA Dkt Freddy Manongi (kushoto) na Kamishna wa Uhifadhi wa Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) Prof. Dos...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FJjBJ1s4THM/Xm_RFG9QouI/AAAAAAALj_Q/aj7LhNG6_hYqje7kHGfm-0dSwqRBhfObACLcBGAsYHQ/s72-c/a63befa7-0c22-4907-beb2-3f212ad464c1.jpg)
KAMPUNI YA YONO AUCTION MART YAZINDUA MFUMO WA MNADA MTANDAONI KWA AJILI YA WAUZAJI, WANUNUZI BIDHAA MBALIMBALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-FJjBJ1s4THM/Xm_RFG9QouI/AAAAAAALj_Q/aj7LhNG6_hYqje7kHGfm-0dSwqRBhfObACLcBGAsYHQ/s640/a63befa7-0c22-4907-beb2-3f212ad464c1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-t7vJFDIgAIM/Xm_RFDLMUjI/AAAAAAALj_M/1Lw17-B5uSMcM0-Go6EYeKG-f-VRrNxUwCLcBGAsYHQ/s640/64acf0f9-18d0-4abd-950d-aa3e0acab5ef.jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu ya jamii
KAMPUNI ya udalali ya Yono Auction Mart imezindua mfumo wa mnada mtandao ambao ni maalum kwa ajili ya kuwawezesha ...
10 years ago
Habarileo16 Mar
UNESCO, NCAA kuendeleza utalii
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), wameendesha kongamano la siku nne mjini hapa kuangalia mkakati mpya wa kuendeleza utalii kama kitovu cha mapato katika Hifadhi ya Ngorongoro.
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
NCAA, UNESCO waangalia utalii endelevu Ngorongoro
Mkufunzi ambaye pia ni mtaalamu mshauri wa Unesco, katika masuala ya utalii endelevu, James Banks akiendesha mafunzo kwenye warsha ya siku nne ya kutengeneza mkakati wa utalii endelevu hifadhi ya Ngorongoro iliyomalizika mwishoni mwa wiki mji mdogo wa Karatu, mkoani Arusha na kuandaliwa na Shirika la UNESCO kwa kushirikiana na Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA). Pichani chini kulia ni Mmoja wa wakufunzi wa warsha hiyo, Tamim Amijee.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog)
Na...
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA AZINDUA MFUMO WA KUWAUNGANISHA WAKULIMA NA WANUNUZI WA MAZAO (MOBILE KILIMO)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-upXPEjD_Dpw/VHX4jCYOW2I/AAAAAAACvZU/4t92O1kdQjk/s72-c/unnamed.jpg)
Wafanyakazi wa Airtel kuwaunganisha wadau katika kusaidia shule ya msingi Kumbukumbu-Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-upXPEjD_Dpw/VHX4jCYOW2I/AAAAAAACvZU/4t92O1kdQjk/s1600/unnamed.jpg)
Wafanyakazi wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kupitia mpango wake maalumu wa “Airtel tunakujali” imeandaa matembezi ya hisani huku ikialika wadau wote wenye wito wa kuchangia elimu kuungamkono jitiada hizo ili kukamilisha lengo la kuikarabati shule ya msingi kumbukumbu iliyopo kinondoni jijini Dar es...
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
HDP yakutanisha wadau wa sekta ya utalii katika mkutano wa pili wa kukuza sekta ya ukarimu na utalii
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Shirika la Kimataifa la Ukarimu na Utalii (HDP) kwa kushirikiana na Wamiliki wa Hoteli Tanzania (HAT) wamefanya mkutano wa kukutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii kujadili mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya sekta hiyo.
Akizungumzia mkutano huo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru amesema mashirika hayo yamefanya mkutano huo kwa awamu ya pili kwa ajili ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xOHbWN1SM9A/XrfHLIoVwZI/AAAAAAAEG90/EZ550BNLslgEH1754wCkXT1XoNkeMentQCLcBGAsYHQ/s72-c/SAUT.jpg)
CHUO KIKUU CHA SAUT NA KAMPUNI YA REAL PR SOLUTIONS WASAINI MAKUBALIANO YA UTEKELEZAJI WA PAMOJA MPANGO WA MAFUNZO KWA WADAU WA UTALII UJULIKANAO “UTALII MPYA WAKATI NA BAADA YA CORONA" .
Zaidi, mafunzo hayo yanalenga pia kuandaa wadau wa utalii hapa nchini ili waweze kutoa huduma zao kwa weledi huku wakizingatia kanuni za kiafya pindi sekta hiyo itakapoimarika baada ya kuathirika kwa kiasi kikubwa kutokana na janga la ugonjwa wa homa ya mapafu (COVID0-19) unaosababishwa na virus vya corona ambalo...
9 years ago
Mwananchi02 Sep
Wizi wa mtandao nchini watikisa sekta ya utalii
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
China yazindua mfumo wa kutambua unyanyasaji