Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bonde la Galwan: Picha zimeonyesha kwamba vyuma vilivyowekwa misumari ndio vilivyotumika katika vita kati ya India na China

Picha iliosambaa sana katika mitandao ya kijamii nchini India inaonesha vyuma vya misumari vilivyotumiwa na China

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

China na India: Kwanini hofu imerudi kati ya majeshi ya mataifa haya yenye idadi kubwa ya watu duniani

Majeshi ya China na India yamejikuta katika makabiliano makali kwenye eneo la Himalayas, ambao una uwezo wa kuongezeka zaidi wakati ambapo pande zote mbii zinajitahidi kuendeleza malego yake ya kimkakati.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Vyoo vilivyofurika, shuka chafu Ndio hali katika katrantini India

India ipo katika kupindi cha karantini kwa muda wa siku 21 kufuatia kasi ongezeko la visa vya coronavirus katika siku za hivi karibuni, lakini wataalamu wanasema hali si hali

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE WA MVOMERO AINGILIA KATI MGOGORO WA WAKULIMA NA WAFUGAJI KUHUSIANA NA BONDE LA MGONGOLA

Mbunge wa Mvomero, Mh Amos Makalla akimpa pole na fedha za matibabu mmoja wa wakulima aliyejeruhiwa kwa kuvunjwa Mkono. Maelfu ya wananchi wakimsikiliza kwa makini baada ya Mbunge wao Amos Makalla kukubali kufadhili Kamati ya kwenda kumuona Waziri mkuu.Mamia ya wananchi akimpokea mbunge wao aongee na wakulima bonde la Mgongolwa.

Mbunge wa Mvomero, Mh Amos Makalla akiongea na wananchi nje ya kituo cha polisi kuwa mahabusu wapo salamaMbunge wa Mvomero, mkuu wa wilaya , Kamati ya ulinzi na...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Uhasama kati ya Marekani na China wajitokeza katika kukabiliana na mlipuko huo Afrika

Bara la Afrika linaendelea kuwa ulingo wa vita baridi kati ya Washington na Beijing.

 

5 years ago

Michuzi

BODI YA MAJI BONDE LA KATI YATOA MAAGIZO MAZITO KWA WAMILIKI WA MABWAWA TOPE SUMU


Afisa wa Maji Bonde la Kati, William Mabula, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mara baada ya kukagua athari za mafuriko kufuatia kujaa kwa maziwa ya Kindai, Munang na Singidani mkoani hapa jana.
Afisa Maendeleo ya Jamii Mwandamizi, Bodi ya Maji Bonde la Kati, Nelea Bundala, akionesha athari za mafuriko hayo.
Muonekano wa Ofisi ya Bodi ya Maji Bonde la Kati mkoani Singida.





Na Waandishi Wetu, Singida

KUFUATIA mvua kubwa za masika zinazoendelea kunyesha Bodi ya Maji Bonde la...

 

10 years ago

Vijimambo

ZAIDI WANAFUNZI 100 WAPEWA SEMINA YA KUWAJENGEA UWEZO KUANZA SAFARI YA MASOMO KATIKA VYUO VIKUU VYA INDIA NA CHINA

Mkurugenzi wa Global Link Education (GEL) ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi, Abdulmaliki Mollel akitoa maelezo katika semina ya kuwajengea uwezo wazazi na wanafunzi wanaokwenda kusoma Vyuo Vikuu vya India na China leo katika ofisi zao zilizopo viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.
 Meneja Mkuu wa Global Link Education (GEL) ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi, David Nsimba akitoa semina ya kuwajengea uwezo wanafunzi wanaokwenda kusoma ...

 

5 years ago

Michuzi

BODI YA MAJI BONDE LA KATI YAWATAKA WANANCHI KUCHUKUA TAHADHARI KUFUATIA MAFURIKO KWENYE MAZIWA YA KINDAI, MUNANG NA SINGIDANI

 Mhandisi Rasilimali za Maji, Bodi ya Maji Bonde la Kati, Moses Salumbi (kushoto),  akiweka alama za ukomo wa maji ya mafuriko kwenye Maziwa ya Kindai na Munang mkoani Singida jana.Wengine kutoka kulia ni Mhandisi Ujenzi, Danford Samson, Mhandisi Mazingira, Nyagheri Mramba, Afisa wa Maji, Bodi ya Maji  Bonde la Kati, William Mabula na Afisa Maendeleo ya Jamii Mwandamizi wa ofisi hiyo, Nelea Bundala. Athari za mafuriko hayo. Afisa Maendeleo ya Jamii Mwandamizi,  Bodi ya Maji  Bonde la...

 

11 years ago

Michuzi

makamu wa rais wa china,Li Yuanchao afungua mkutano wa uwekezaji kati ya tanzania na china jijini Dar leo

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao wakitazama picha za ziara ya hayati Baba wa taifa Mwalimu Julius Nyerere kabla ya mgeni huyo kufungua mkutano wa Uwekezaji kati ya Tanzania na China kwenye ukumbi wa Benki Kuu jijini Dar es salaam  Juni 23, 3014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akimkabidhi zawadi ya kinyago, Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao  kabla ya mgeni huyo kufungua mkutano wa Uwekezaji kati ya Tanzania na China...

 

9 years ago

Vijimambo

CCM ndio chama kinachopendwa zaidi na wananchi Takwimu zinaonyesha kwamba wananchi hawaelewi nafasi rasmi ya Ukawa

22 Septemba, Dar es Salaam: Asilimia 62 ya wananchi wanasema kwamba wanajisikia wapo karibu zaidi na chama cha CCM kuliko vyama vingine. Aidha, walipoulizwa watawachagua wagombea wa chama gani – bila kutajiwa majina ya wagombea – wananchi 6 kati ya 10 walisema kwamba watawachagua wagombea wa CCM kwa Urais (66%), Ubunge (60%) na Udiwani (60%). Takwimu hizi zinatoa picha kwamba CCM inaungwa mkono, kama ilivyokuwa mwaka 2012.
Chadema ni chama cha pili kinachopendwa kushinda vyama vingine vya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani