BONDIA IMANI DAUD AMSAMBARATISHA HAMADUU MWALIMU KWA POINT
Bondia Imani Daud kushoto akipambana na Hamaduu Mwalimu wakati wa mchezo wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita tandika Dar es salaam Daud alishinda kwa pointi katika mpambano huo wa raundi sita.
Bondia Hamaduu Mwalimu akimrushia konde Imani Daud wakati wa mchezo wao uliofanyika Tandika Dar es salaa Daud alishinda kwa pointi
Bondia Nobel Syrvesta kushoto akipambana na Bakari Dunda wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Nobel alishinda kwa point picha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oJTYyyN45HY/VRXnA1HdS7I/AAAAAAAHNs4/JEAtxzCgJ4A/s72-c/DSCF6974.jpg)
BONDIA MOHAMED MATUMLA AMTANDIKA KWA POINT BONDIA WANG XIN HUA KUTOKA CHINA
![](http://3.bp.blogspot.com/-oJTYyyN45HY/VRXnA1HdS7I/AAAAAAAHNs4/JEAtxzCgJ4A/s1600/DSCF6974.jpg)
10 years ago
Vijimambo29 Oct
BONDIA FADHILI MAJIHA AONESHA MAAJABU KWA KUPIGWA KWA POINT THAILAND MCHEZO WA RAUNDI 12
![](https://2.bp.blogspot.com/-cK42mR3-87E/VE_yTeQHWSI/AAAAAAAAO2M/95lLIlrnNYg/s1600/10155008_545657868900715_6021983416470434928_n.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-A4-xt1NZPT4/VE_yTR0g4PI/AAAAAAAAO2Q/1o_PvKZOEY4/s1600/10341942_545657938900708_3969098675456894504_n.jpg)
10 years ago
Vijimambo27 Oct
BONDIA SAIDI MBELWA APIGA GEORGE DIMOSO KWA POINT
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Oj5rFamCSQI/VX7MdTWPGdI/AAAAAAADr7k/GNrtUlmwMSQ/s72-c/Daudi%2BMrindoko.jpg)
MBIO ZA UBUNGE MOSHI MJINI,KWA NINI ? KIJANA DAUD MRINDOKO VUTIO LA WENGI !
![](http://3.bp.blogspot.com/-Oj5rFamCSQI/VX7MdTWPGdI/AAAAAAADr7k/GNrtUlmwMSQ/s640/Daudi%2BMrindoko.jpg)
5 years ago
CNBC13 Mar
Dow futures point to more than 500 point opening loss following market's worst day since 'Black Monday'
11 years ago
Michuzi10 Jul
Mwalimu Dodoma matatani kwa tuhuma za kuua mwalimu mwenzake kisa deni la buku moja
11 years ago
Michuzi20 Apr
MABONDIA CHEKA, MIYEYUSHO WASHINDWA KUTAMBA; KING CLASS MAWE AMSAMBARATISHA MUSTAFA DOTO
11 years ago
Habarileo17 May
Ateketezwa kwa moto kwa imani za ushirikina
MKAZI wa Kitongoji cha Chanji Kisiwani Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa, Elizabeth Mwananjela (60) ameungua na kufia ndani ya nyumba yake baada ya kuteketezwa na moto na watu wasiojulikana kisha kuibomoa.