Bonga, gonga, chonga
Mmmh, usinione kimya wenzangu. Baada ya kuona wengine wametuachia nafasi, nilikimbia kwenye hospitali za humuhumu nikitafuta kurekebisha makengeza yangu. Kweli, nakwambia makengeza yanachosha maana unaona vitu na unajaribu kuwaambia wenye macho mazuri.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LydsDEffQVk/VCvjO96jx6I/AAAAAAAGm-4/Yl5aWnrdqP8/s72-c/unnamed.png)
11 years ago
Michuzi18 Jul
HONGERA SANA MR. PRESIDENT JAKAYA MRISHO . KIKWETE - GONGA CEO
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Cy4F4gvVaCSelMcCQ9VbnHmYPYQRagS5n4sersKTAa36JCUZWDP3d3u5YbMjktxx9WuStvIJBjvTllO0e6WhodbUZ0KddFiLrLUMzjHqoTF65RpMuCb1ana4tA=s0-d-e1-ft#http://www.gongamx.com/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete3.jpg)
“I am Moved”, sababu nikirudi nyuma kidogo katika historia ya nchi ya Tanzania mwanzoni mwa miaka ya 90 wakati sanaa ya muziki wa kizazi kipya ilipoanza kuchipuka ikifuatiwa na vita kubwa dhidi ya kukemea kijana kuwa msanii waHIP HOP nchini na sanaa hii kupewa majina ya kutisha kama muziki wa “kufoka foka, kihuni”na sanaa hii haikukubalika kabisa katika jamii ya kitanzania.Binafsi naweza nikasema kipindi cha awamu ya 4 ya uongozi wa serikali ya...
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
"NDOTO TEJA" Filamu mpya to Gonga Entertainment. Inaongelea kuhusu madawa ya kulevya.
Swahili
"Ndoto Teja" ni mtiririko wa "Short Films" ambao unatengenezwa na Director Frank 'Gonga' Mgoyo ambao umeanza na "NDOTO TEJA - DRUGS" Filamu fupi hii inaonyesha ni jinsi gani vijana wanaharibikiwa kwa matumizi ya madawa ya kulevya ambayo huanzia kwenye unywaji POMBE, Uvutaji BANGI na mpaka kuingia kwenye utumiaji wa MADAWA YA KULEVYA. "NDOTO TEJA" ni neno ambalo lina maanisha kuwa, ukiweza kuingia kwenye matumizi ya madawa ya kulevya na hata ukiamua kuacha na kwenda REHAB, maisha...
10 years ago
MichuziUJENZI WA BARABARA YA DODOMA (MAYAMAYA) HADI BABATI (BONGA) KM 188.15 UNAENDELEA VIZURI
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA MAYAMAYA — MELA-BONGA KM 188.15
11 years ago
MichuziMKOA WA DODOMA WASHEREHEKEA KUANZA KWA UJENZI WA MRADI WA BARABARA YA DODOMA (MAYAMAYA) - BABATI (BONGA)
11 years ago
Dewji Blog04 Jul
Mkoa wa Dodoma washerehekea kuanza kwa ujenzi wa mradi wa Barabara ya Dodoma (Mayamaya) — Babati (Bonga)
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchmbi (wa nne kutoka kushoto) akiwaongoza wadau waliofika kuadhimisha sherehe za kuanza kwa ujenzi wa mradi wa barabara ya kutoka Mayamaya Dodoma hadi Bonga Babati kwa kiwango cha lami kuomba Dua ili mradi huo ukamilike kwa wakati bila kukwamishwa na changamoto mbalimbali. Sherehe hizo zilifanyika mapema Julai Mosi, 2014 kijijini Kolo Wilayani Kondoa.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi (wa pili kushoto) na ujumbe alioambatana nao wakikagua magari...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10