Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Born2Shine Clothing Line ya B12 yapata mwekezaji mkubwa

12224439_483314045182488_248383566_n

Mtangazaji wa redio na mjasiriamali wa fashion, Hamis Mandi aka B12 amesema amepata wawekezaji ambao wataifanya brand yake ya Born2shine Clothing Line na maduka yake kuwa kubwa zaidi.

12224339_185675791775528_1390936129_n

Akizungumza katika kipindi cha Mkasi, mtangazaji huyo wa Clouds FM alisema katika siku za baadaye kampuni yake itakuwa kubwa zaidi.

“Mimi nimejipanga, nimeinvest,” alisema. “Nina duka langu la nguo Bonr2Shine ambalo linafanya vizuri na in the near future Born2Shine tayari imepata mwekezaji. Kwahiyo ni kitu...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya matangazo ya Right Here nchini yapata mwekezaji mpya na kuingia ubia na kampuni kubwa ya kimataifa

Mshauri Mkuu wa kampuni ya RIGHT HERE TANZANIA, Gerard Govaerts akizungumza na baadhi ya waandishi wa habari katika Ukumbi wa mikutano katika Hoteli ya Double Tree jijini Dar es Salaam leo, Kushoto ni Mkuu wa Hati Miliki wa kampuni ya RIGHT HERE TANZANIA, Asnath Heriel na kulia ni  Mkurugenzi Mkuu wa RIGHT HERE TANZANIA Jenny Woodier.

Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria katika mkutano wa kampuni ya RIGHT HERE TANZANIA uliofanyika katika hoteli ya Double Tree jijini Dar es...

 

10 years ago

Dewji Blog

Skimu ya Mpunga Kiroka yapata ugeni mkubwa

DSC_0576

Msimamizi wa mradi wa FAO kijiji cha Kiroka mkoani Morogoro, Ajuaye Sigalla, akitoa muhtasari wa maendeleo ya mradi FAO unaotekelezwa na wanakikundi wa Umoja wa Wakulima Kiroka (UWAKI) mbele ya Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) na Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini, Filiberto Sebregondi walipofanya ziara ya kugagua miradi yao ya maendeleo mkoani Morogoro.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog)

Na...

 

11 years ago

GPL

RAYMOND MSHANA AMECHUKUA MIKOBA YA B12, MCHOMVU NA DJ FETTY

Raymond Mshana (25), mzaliwa wa Same, Kilimanjaro. HIVI karibuni, watangazaji nyota waliojizolea umaarufu mkubwa Bongo kupitia Redio Clouds FM, wakitangaza kipindi cha XXL, Hamisi Mandi ‘B12’ na Adam Mchomvu ‘Baba John’  walisimamishwa kazi kituoni hapo kwa muda usiojulikana. Inaelezwa kuwa, hata yule mtangazaji mwenye sauti yenye mvuto wa aina yake Fatuma Hassan ‘Dj Fetty’ naye yupo...

 

11 years ago

GPL

NEW ARRIVALS!! MZIGO MPYA!! - SACHQUES CLOTHING STORE

NEW ARRIVALS!! MZIGO MPYA!! Tuna Mzigo mpya Dukani kwetu.. Blouse, Trousers, Vikoti, Jeans, Hot-pants ni 15,000; Magauni: Marefu 30,000/= Mafupi 20,000; Viatu: Flats 25,000/= Heels 50,000/= Raba 45,000 & Handbags 40,000. SIMU: 0774801316, Tupo Kijitonyama karibu na Police Mabatini.   INSTAGRAM @SACHQUES Tembelea www.facebook.com/SachquesClothingStore kuona nguo zaidi.… ...

 

11 years ago

GPL

Mzigo Mpya LEO!! - Sachques Clothing Store

Kuna Mzigo mpya katika Duka la Sachques Clothing lililopo Kijitonyama Karibu na kituo cha Police Mabatini, Vitu kama Blouse, Tops, Magauni marefu na mafupi, Shirts, Skirts, Accessories, Trousers, Jump Suit, Mapochi na Viatu, Bei zao ni kati ya Elfu 15 na 35, Wasiliana nao kwa simu Namba +255-774-801316.. Tembelea page yao ya Facebook kuona vitu zaidi www.facebook.com/SachquesClothingStore na Instagram @Sachques. ...

 

9 years ago

Bongo5

Mimi ni mtu mwenye aibu sana kiasi ambacho watu huhisi najisikia – B12

11191079_151146088570015_1052326676_n

Mtangazaji mahiri wa kipindi cha XXL cha Clouds FM, Hamis Mandi aka B12 amesema watu wengi humfirikia tofauti na alivyo.

11875267_897046123708898_1580579379_n

B-Dozen amesema watu wengi huhisi ni mtu mwenye kujisikia na asiyependa kujichanganya na watu.

“Watu hunifikiria tofuti na nilivyo,” Dozen ameliambia gazeti la Mwananchi. “Mimi ni mtu mwenye aibu sana. Mara nyingi kama mtu simjui vizuri inanipa wakati mgumu kutoa ushirikiano kutokana na kuwa huwa najishtukia,” aliongeza.

“Sio kama najitenga ni udhaifu wangu unasababisha...

 

5 years ago

Reuters

Clothing rental service Rent the Runway lays off workers amid coronavirus outbreak

Clothing rental service Rent the Runway lays off workers amid coronavirus outbreak  ReutersView Full coverage on Google News

 

9 years ago

Michuzi

MKUBWA FELLA AANZISHA BAND NYINGINE YA VIJANA KUTOKA MKUBWA NA WANAWE

Mkurugenzi wa kituo cha Mkubwa na Wanawe, Mkubwa Fella ameweza kutoa zao la vijana wengine kutoka Mkubwa na Wanawe ambao wanafanya muziki wa Taarab na kuwabariki jina la Moyo Band, band hii imechanganya wanawake na wanaume na kwa mala ya kwanza itatambulishwa siku ya Ijumaa ya tarehe 11 pale Dar Live wakati Yamoto Band wakizindua Chupa lao jipya ambalo limefanyika SA Cheza kwa Madoido. Zaidi msikilize Saidi Fella Akielezea......

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana ahutubia mkutano mkubwa Tanga, awashukuru watanzania kuipatia CCM ushindi mkubwa uchaguzi serikali za mitaa

01

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kuwapongeza wananchi kuwachagua viongozi wa CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyka nchini kote Desemba 14 mwaka jana. CCM imepata ushindi wa asilimia 81 nchi nzima.

Kinana amesema maeneo yote ambayo upinzania wameshinda na ushindi uliosababishwa na baadhi ya wana CCM NA ENDAPO WATAGUNDULIKA WAMEFANYA KUSUDI KUKIKOSESHA USHINDI CHAMA WATAWAJIBISHWA.

Katibu Mkuu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani