Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bosi Zantel auawa na majambazi

Gabriel+PGOTOTunu Nassoro na Veronica Romwald, Dar es Salaam

MKUU wa Kitengo cha Mawasiliano wa Kampuni ya simu za mkononi ya Zantel, Gabriel Raphael, ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi.

Tukio hilo la kusikitisha limegubikwa na utata, hasa baada ya watu hao kumuua mkuu huyo wa mawasiliano ndani ya gari yake na kuchukua bahasha ambayo inadaiwa ilikuwa na nyaraka muhimu na kuacha fedha.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillus Wambura,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Bosi zantel azikwa kwa tamko zito!

IMG_1730

Jeneza lililobeba mwili wa marehemu likiwa Kanisani kwa ajili ya kuombewa.

Na Waandishi Wetu, UWAZI
DAR ES SALAAM: Tamko zito limetolewa na waombolezaji kufuatia kifo cha bosi wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja wa Kampuni ya Zanzibar Telecom Limited (Zantel), Gabriel Kamukara, 39, (pichani) kuuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi.

Kamukara alipigwa risasi Desemba 22, mwaka jana eneo la Barabara ya Cocacola jijini Dar na kuporwa shilingi milioni 10 alizotoka...

 

9 years ago

Mwananchi

Mfanyakazi wa Zantel auawa kwa kupigwa risasi

Meneja wa operesheni wa kampuni ya huduma za simu za mkononi ya Zantel, Gabriel Rafael ameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi.

 

10 years ago

Habarileo

Bosi kitengo cha kuzuia ujambazi auawa

MKUU wa Kitengo cha Kuzuia na Kupambana na Ujambazi Mkoa wa Morogoro, Elibariki Pallangyo (53), amepigwa risasi na kufa papo hapo nyumbani kwake eneo la Yombo jiji Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Askari JKT auawa akisaidiana na Polisi kukabili majambazi

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Iringa, Ramadhani MungiWATU wawili akiwemo jambazi mmoja na askari mwanafunzi wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), wamekufa na wengine kunusurika kuuawa katika tukio lililotokea juzi, mjini Mafinga mkoani Iringa wakati majambazi wakirushiana risasi na askari wa Jeshi la Polisi.

 

10 years ago

Bongo5

Nahodha na mlinda mlango wa Bafana Bafana Senzo Meyiwa auawa na majambazi

Nahodha wa timu ya soka ya Afrika Kusini ambaye pia alikuwa mlinda mlango, Senzo Meyiwa  ameuawa. Klabu yake Orlando Pirates imetangaza kuwa aliuawa kwa kupigwa risasi na jambazi nyumbani kwake maili 20 kusini mwa jiji la Johannesburg usiku wa jana. Meyiwa, 27,  aliuawa nyumbani kwake  Vosloorus. Ripoti ambazo bado hazijathibitishwa zinadai kuwa Meyiwa  alikuwa ndani […]

 

10 years ago

TheCitizen

Puzzle over Zantel sale

>The Board chairman of the Zanzibar Telecom (Zantel), Mr Essa Al Haddad, now says the mobile operator is not looking to sell its business.

 

9 years ago

TheCitizen

Zantel gets new boss after $1 acquisition

Zantel Tanzania now has a new boss as the firm strategizes on the way forward after being acquired by Millicom International.

 

10 years ago

Daily News

ZANTEL supports Dar orphanage


ZANTEL supports Dar orphanage
Daily News
AS part of involving vulnerable children in year-end holidays, ZANTEL has donated various items to an orphanage in Dar es Salaam. The Kimara Suka based orphanage known as Watoto Wetu Tanzania received foodstuffs including sugar, rice, maize flour, ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Zanzibar kufaidika na ubunifu wa Zantel

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Zantel kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Zanzibar (Zeco), imezindua huduma mpya ya kununua umeme wa ‘Tukuza’ kupitia EzyPesa. Akizungumza wakati wa kuzindua huduma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani