BRAZIL 2014: Walioongoza makundi wote waenda robo fainali
Historia mpya imeandikwa Brazil baada ya washindi wa makundi manane waliofuzu kucheza hatua ya 16 bora kuingia robo fainali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL11 years ago
BBCSwahili04 Jul
Mpambano wa robo fainali Brazil
Brazil dhidi ya Columbia, na Ujerumani ikikutana na Ufaransa. Ubelgiji dhidi ya Argentina na Uholanzi nao wanachuana na Costa Rica
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Brazil yaingia robo fainali Copa America
Thiago na Firmino wafunga bao kila mmoja na kuisaidia Brazil kujikatia nafasi ya kuingia katika robo fainali ya Copa America
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVlrxqCztzncLikIIolafLTochZGj88lo1vVIRNGySxWDVJJji2p1fTCJz8rdGt9dH53GzbrD9n9P5FhIoblRHHH/brazil3.jpg?width=650)
BRAZIL YATINGA ROBO FAINALI KWA MATUTA
Wachezaji wa Brazil wakishangilia baada ya kushinda kwa penalti 3-2 dhidi ya Chile. ...Mashabiki Brazil wakishangiia. Wachezaji wa timu ya…
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p3HKu_IN_GA/U7BmtNsbI6I/AAAAAAAFtiM/et7JzmCq4T4/s72-c/article-2674132-1F3F80F100000578-365_634x458.jpg)
goli la penati dhidi ya mexico yaipeleka uholanzi robo fainali kombe la dunia brazil leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-p3HKu_IN_GA/U7BmtNsbI6I/AAAAAAAFtiM/et7JzmCq4T4/s1600/article-2674132-1F3F80F100000578-365_634x458.jpg)
Na Sultani Kipingo wa Globu ya Jamii Yaani huko Old Trafford katika klabu ya Manchester United nchini Uingereza atakoenda kufundisha msimu ujao tayari waliishaanza kuandaa ofisi ya meneja wao mpya Louis van Gall anayeifundisha timu ya Uholanzi katika kombe la dunia, baada ya kuhisiwa kuwa ataaga mashindani hayo Jumapili hii walipocheza na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cwh76f0Jjbll9GGnp6y88JaQ4I5pAhNPkOpAsPhxB0WeffZS5wutWPQ-RGZifTDUk7bUIdtNtCDv46p8vFY5MYMG9SRrJo8l/02.jpg)
ROBO FAINALI YA DANCE 100% 2014 YANUKIA
Kikundi cha  Wakali Dance kutoka Bugurunii jijini Dar es salaam, wakionyesha umahiri wao wa kucheza wakati wa shindano la Dance miamia lililofanyika katika Viwanja vya Don Bosco Oysterbay chini ya udhamini wa Vodacom Tanzania.Wakati wa shindano la kutafuta makundi 16 ya kuingia robo fainali itakayoanza Agosti 23 na kikundi kitakachoshinda katika shindano hilo kitajinyakulia kitita cha shilingi milioni 5.
...
11 years ago
GPL11 years ago
Mwananchi30 Jun
BRAZIIL 2014: Costa Rica, Uholanzi zatinga robo fainali
>Costa Rica na Uholanzi zimetinga hatua ya robo fainali ya Fainali za Kombe la Dunia 2014 baada ya kushinda mechi zao za jana za hatua ya 16 bora nchini Brazil.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania