Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BRAZIL 2014: Walioongoza makundi wote waenda robo fainali

Historia mpya imeandikwa Brazil baada ya washindi wa makundi manane waliofuzu kucheza hatua ya 16 bora kuingia robo fainali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mpambano wa robo fainali Brazil

Brazil dhidi ya Columbia, na Ujerumani ikikutana na Ufaransa. Ubelgiji dhidi ya Argentina na Uholanzi nao wanachuana na Costa Rica

 

10 years ago

BBCSwahili

Brazil yaingia robo fainali Copa America

Thiago na Firmino wafunga bao kila mmoja na kuisaidia Brazil kujikatia nafasi ya kuingia katika robo fainali ya Copa America

 

11 years ago

GPL

BRAZIL YATINGA ROBO FAINALI KWA MATUTA

Wachezaji wa Brazil wakishangilia baada ya kushinda kwa penalti 3-2 dhidi ya Chile. ...Mashabiki  Brazil wakishangiia. Wachezaji wa timu ya…

 

11 years ago

Michuzi

goli la penati dhidi ya mexico yaipeleka uholanzi robo fainali kombe la dunia brazil leo

Kocha wa Uholanzi Louis van Gallakimpongeza Arjen Robben kwa kufanyiwa rafu iliyozaa penati na hatimaye bao la ushindi dhidi ya Mexico leo
Na Sultani Kipingo

wa Globu ya Jamii

Yaani huko Old Trafford katika  klabu ya Manchester United nchini Uingereza atakoenda kufundisha msimu ujao tayari waliishaanza kuandaa ofisi ya meneja wao mpya Louis van Gall anayeifundisha timu ya Uholanzi katika kombe la dunia, baada ya kuhisiwa kuwa ataaga mashindani hayo Jumapili hii walipocheza na...

 

11 years ago

GPL

ROBO FAINALI YA DANCE 100% 2014 YANUKIA

Kikundi cha   Wakali Dance  kutoka  Bugurunii jijini Dar es salaam, wakionyesha umahiri wao wa kucheza  wakati wa shindano la Dance miamia lililofanyika katika Viwanja vya Don Bosco Oysterbay chini ya  udhamini wa Vodacom Tanzania.Wakati wa shindano la kutafuta makundi 16 ya kuingia robo fainali itakayoanza Agosti 23 na kikundi kitakachoshinda katika shindano hilo kitajinyakulia kitita cha shilingi milioni 5.
...

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIIL 2014: Costa Rica, Uholanzi zatinga robo fainali

>Costa Rica na Uholanzi zimetinga hatua ya robo fainali ya Fainali za Kombe la Dunia 2014 baada ya kushinda mechi zao za jana za hatua ya 16 bora nchini Brazil.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani