Breaking News!! Hali si shwari milima ya Udzungwa, Wanajeshi waingia kazini mitutu yalia msitunu
*Update zilizotufikia hivi punde inasemakana watu 6 wamejeruhiwa kwa risasi, akiwemo mtu aliyeripotiwa kufariki dunia katika hao 6 katika kijiji cha Nyandeo Msolwa wilayani Kilombero… Taarifa zaidi tutaendelea kuwaletea kadri tunavyozipata.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Habari zilizotufikia katika chumba cha habari kutoka Wilayani Kilombero katika vijji vya Nyandeo na Kidatu Mkoani, Morogoro ni kuwa jeshi la Wananchi wameingia katika mji huo na kupiga kambi katika milima ya Udzungwa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Apr
Breaking News!!! Â Mabomu ya Machozi yanarindima muda huu Kituo cha Mabasi Ubungo hali mbaya mgomo wa madereva
Katibu wa Madereva Mboka akiongea na wandishi wa Habari muda huu, kabla ya mabomu hayajarindima
…Mgomo wa Mabasi kuwa endelevu hadi watakapo achiwa viongozi wao wanaoshikiliwa na jeshi la Polisi
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Modewji blog ambayo imepiga kambi katika kituo cha Mabasi Ubungo kuanzia majira ya saa 11, alfajiri, ni kuwa tayari baadhi ya viongozi wa madereva wametoa tamko rasmi kuwa mgomo wao huo utaendelea hadi hapo viongozi wao wakuu zaidi ya Sita (6) wanaoshikiliwa na...
10 years ago
BBCSwahili03 Feb
Wanajeshi wa Chad waingia Nigeria
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Hali si shwari Simba
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Hali si shwari nchini
11 years ago
BBCSwahili13 Jan
Wanajeshi waasi warejea kazini CAR
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Hali si shwari Tughe Taifa
10 years ago
BBCSwahili08 Dec
10 years ago
Mwananchi08 Nov
Hali si shwari CCM Mwanga