Breaking Nyuzzzzz: wananchi Kibaigwa wafunga barababa usiku huu
Wananchi wa kijiji cha kibaigwa wamefunga Barabara kuu ya Morogoro kwende Dodoma usiku huu, kwa madai ya kutaka kupunguzwa Kwa ushuru wa mazao na kuamua kufunga barabara hiyo ili waweze kuonana na uongozi wa juu wa Serikali ili kusikiliza mahitaji yao ambayo wanadai hayajawahi fanyika kazi na viongozi wa Kijiji.
Kinachoendelea hivi sasa ni Jeshi la Polisi likijaribu kuwatawanya wananchi hao kwa kutumia mabobu ya machozi.
Wananchi hao wamejikusanya kuwatawanya kwa wingi katika eneo hilo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wTXF7TErLIY/U5OvqoTy9kI/AAAAAAAFoos/kjm-gm68uVk/s72-c/b3.jpg)
BREAKING NYUZZZZZ.....: MZEE SMALL AFARIKI DUNIA USIKU HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-wTXF7TErLIY/U5OvqoTy9kI/AAAAAAAFoos/kjm-gm68uVk/s1600/b3.jpg)
AKITHIBITISHA TAARIFA YA KIFO CHA MZEE SMALL,MWANAE AITWAE MAHMOUD AMESEMA MZEE WAKE AMEFIKWA NA MAUTI HAYO MAJIRA YA SAA NNE USIKU WAKATI AKIWA HOSPITALINI HAPO AKIENDELEA KUPATIWA MATIBABU.
MIPANGO INAFANYIKA NYUMBANI KWAO TABATA NA KADRI TAARIFA ZITAKAVYOKUWA ZIKITUFIKIA TUTAENDELEA KUJULISHANA.
NI PIGO...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Uarnns2BDr8/VIX8NB7wh3I/AAAAAAAG2Iw/ZM4tXwU_0pA/s72-c/KIJANA%2BDANNY.jpg)
BREAKING NYUZZZZ.....: MSHAMBULIAJI DANNY MRWANDA AMWAGA WINO YANGA USIKU HUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uarnns2BDr8/VIX8NB7wh3I/AAAAAAAG2Iw/ZM4tXwU_0pA/s1600/KIJANA%2BDANNY.jpg)
Yanga imewafanyia umafia watani zao wa jadi Simba,ambayo ilionyesha nia kubwa ya kumuhitaji Mrwanda ikiwa ni kwa hudi na uvumba na tayariilishatangaza nia yake hiyo ya kutaka kumsajili.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Klabu ya Yanga kinasema kuwa,Yanga imeamua kumsajili Mrwanda kuchukua nafasi ya Said Bahanuzi aliyetolewa kwa mkopo kwenda Polisi Morogoro...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MJ3dTmDoG5I/U5kFcIPMTSI/AAAAAAAFp4o/4FGsZCvgQEQ/s72-c/a51753e235853734320d1b593db9c3ed.jpg)
Breaking Newssss: moto wateketeza soko la mitumba la karume jijini Dar usiku huu
![](http://2.bp.blogspot.com/-MJ3dTmDoG5I/U5kFcIPMTSI/AAAAAAAFp4o/4FGsZCvgQEQ/s1600/a51753e235853734320d1b593db9c3ed.jpg)
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Breaking News…Bomu lalipuka na kujeruhi mamia ya watu Arusha Night Park usiku huu
Habari za kuthibitika kutoka chanzo chetu kinasema watu wasiofahamika wamerusha bomu la mkono (Granade) kwenye Bar maarufu jijini Arusha inayofahamika kwa jina la Arusha Night Park almaarufu kama “Matako Bar” iliyopo maeneo ya Mianzini.
Chanzo chetu kinasema kuwa watu wawili wamepoteza maisha hadi sasa na wengine wengi idadi isiyofahamika wamejeruhiwa vibaya huku wengine wakiwa wamekatika mikono, miguu na kuchuruzikwa na damu.
Mkasa huo umetokea wakati umati wa watu ukiwa umekusanyika...
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Breaking News…Bomu lalipuka na kujeruhi watu kadhaa Arusha Night Park usiku huu
Habari za kuthibitika kutoka chanzo chetu kinasema watu wasiofahamika wamerusha kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu la mkono (Granade) kwenye Bar maarufu jijini Arusha inayofahamika kwa jina la Arusha Night Park iliyopo maeneo ya Mianzini.
Chanzo chetu kinasema kuwa watu kadhaa wamejeruhiwa vibaya kutokana na mlipuko huo.
Tukio hilo limetokea wakati umati wa watu ukiwa umekusanyika kwenye Bar hiyo ukitazama mpira jioni hii.
MOblog inaendelea kufuatilia kwa ukaribu zaidi na tutaendelea...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Rqi9IohuuwA/VQxnFYpKYGI/AAAAAAAHLug/UlUTzFCA8J8/s72-c/6.jpg)
Breaking newzzzz: Mhe Zitto Zuberi Kabwe aaga rasmi Bunge usiku huu dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-Rqi9IohuuwA/VQxnFYpKYGI/AAAAAAAHLug/UlUTzFCA8J8/s1600/6.jpg)
11 years ago
Dewji Blog31 May
Breaking News: Msiba mwingine Bongo Movie “George Tyson” afariki kwenye ajali ya gari usiku huu
Produza maarufu wa filamu nchini George Tyson (pichani) amefariki dunia usiku huu kwenye ajali ya gari Morogoro wakitokea Dodoma na wenzake sita kujeruhiwa akiwemo Blogger maarufu DJ Choka.
Chanzo cha jali hiyo akijajulikana bado MOblog inaendelea kufuatilia kwa ukaribu zaidi na tutawapa taarifa hapo baadae.
Taarifa hizi zimethibitishwa na jamaa wa karibu wa marehemu.
MOblog inaungana na watanzania wote kuomboleza kifo cha marehemu George Tyson na inawaombea nafuu wote waliojeruhiwa kwenye...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9XO0iVqomug/VMKw78ONDQI/AAAAAAAG_NM/3pctYRSdRBI/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
BREAKING NEWZZZZZ: majambazi wawili wauwawa katika jaribio la kupora pesa kariakoo, Dar es salaam usiku huu
![](http://2.bp.blogspot.com/-9XO0iVqomug/VMKw78ONDQI/AAAAAAAG_NM/3pctYRSdRBI/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hF70Av9Mx6Y/VMKw8PkcR0I/AAAAAAAG_NQ/VJITQghw-7E/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-J6rb7Y8vxdI/VjCpqi-XZ6I/AAAAAAAIDKQ/wem7bu-7ed0/s72-c/20151028035057.jpg)
BREAKING NYUZZZZZ.....: UCHAGUZI WA ZANZIBAR WAFUTWA
Taarifa kamili hii hapa chini.
![](http://2.bp.blogspot.com/-J6rb7Y8vxdI/VjCpqi-XZ6I/AAAAAAAIDKQ/wem7bu-7ed0/s1600/20151028035057.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-er8jVRkg_7o/VjCprncR3wI/AAAAAAAIDKU/zN8pUewvZ6g/s1600/20151028035057q.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MrQnzIPFK1w/VjCpsfCawUI/AAAAAAAIDKg/aahnc4w4iSk/s1600/20151028035048z.jpg)